Nigeria: Boko Haram wachinja wakulima 43

Jamii gani.?
Kuna jimii moja ya wafugaji Africa magharibi wa naitwa fulani.. ni jamii ya wafugaji hata Rahis Buhari nae ni mmoja wa Jamii hiyo.

Hii jamii imasambaa nchi zaidi ya 4..

wapo Chad

Nigeria.

Cameroon etc.
ni jamii hatari sana na ndo wapiganaji na waafadhili wa Bolo Haram na watu wengi wa
hii jamii wana ukwasi na USHAWISHI mkubwa kwenye hizo nchi.


 
Ila kuna watu Wana roho ngumu Sana.
Unaanze kumchinja binadamu mwenzako Kama kuku.
 
watanzania wanajifanya wanapenda sana vita na vitambi vyao..!


hakuna jipya chini ya jua"
 
Hivi kwanini magaidi wanaua watu kwa mwamvuli wa dini ya kiislamu na waislamu hawaonyeshi kupinga dini kuhusishwa na ugaidi na wanasema uislamu ni dini ya amani
 
Ni ukatili Tena mkubwa sana
Anas narrated:

"Some people from Urainah arrived in Al-Madinah, and they were uncomfortable (and ill from the climate). So Allah's Messenger sent them to some camels. He told them: "Drink from their milk and urine." So they killed the camel driver that Allah's Messenger sent, and they violently drove off the camels, and apostatized from Islam. So the Prophet came to them, he cut off their hands and feet on opposite side, and branded their eyes, and threw them in Al-Harrah." Anas said, "So I saw one of them working over the ground with his mouth, until they die"

" Their eyes were pierced, and they were thrown on the stony ground. They were asking for water, but they were not given water."

Grade:Sahih
Sahih Muslim The book of muhabrin 1671 c

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"WAISLAMU" siasa kali waua Wakulima 46" sasa wewe kwa namna ulivyoandika inakuwa shida kwa mtanzania mnyonge kuelewa hao Boko Harama, ukisema kundi la waislamu ambalo ni sawa na wale wa msumbiji wanaoaua watu, sawa na al shabab, uamsho nk
 
Hizo hadithi za uongo.
Ni Jambo ambalo haliwezekani mtume kuwafanya hivyo watu
 
Naikubali quran.ila hizo hadithi kwa kweli zimenipitia mbali..
Mimi ni muislam ambaye siamini Sana katika hadithi.
Maana baadhi ya hadithi Ni za kutunga.
Uwa sijali amepokea Nani.
interesting.
So let us be Consistent in Arguments

Hii position yako sijaiona bongo.


Kwahyo kwako nguzo tano ni zipi?Au hauna


Sent using Jamii Forums mobile app
 
interesting.
So let us be Consistent in Arguments

Hii position yako sijaiona bongo.


Kwahyo kwako nguzo tano ni zipi?Au hauna


Sent using Jamii Forums mobile app
Christian Prince amefanya Wakristo mpende ligi sana siku hizi...
Komenti yako ya kwanza kwa MJINGA MIMI hadi hii inazihirisha ilo.
 
Christian Prince amefanya Wakristo mpende ligi sana siku hizi...
Komenti yako ya kwanza kwa MJINGA MIMI hadi hii inazihirisha ilo.
Ndo nani huyo

Halafu nani kafir?Tuheshimiane asee
Tunaanza kuitana makafir mchana kweupe
 
Ndo nani huyo

Halafu nani kafir?Tuheshimiane asee
Tunaanza kuitana makafir mchana kweupe
Mkuu wapi nimeandika kafir?.
sina kumbukumbu mara ya mwisho kumuita mtu hivyo..

nimesema CHRISTIAN PRINCE(yule jamaa anae endeshamijadala ya kidini uko YouTube) Amewefanya wakristo mpende ligi(mijadala) ya kidini tofauti na zamani.

Nipo subscribed na chaneli yake, hiyo AYA uliyoiweka hapo ni sehemu ya kazi yake uko YouTube
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…