Nigeria: Boko Haram wachinja wakulima 43

Nigeria: Boko Haram wachinja wakulima 43

Mkuu wapi nimeandika kafir?.
sina kumbukumbu mara ya mwisho kumuita mtu hivyo..

nimesema CHRISTIAN PRINCE(yule jamaa anae endeshamijadala ya kidini uko YouTube) Amewefanya wakristo mpende ligi(mijadala) ya kidini tofauti na zamani.

Nipo subscribed na chaneli yake, hiyo AYA uliyoiweka hapo ni sehemu ya kazi yake uko YouTube
mkuu mbona unaendelea kuniita kafir?
nani kakuambia mimi mkristo?
Huyo christian prince Alitunga hiyo aya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu mbona unaendelea kuniita kafir?
nani kakuambia mimi mkristo?
Huyo christian prince Alitunga hiyo aya?

Sent using Jamii Forums mobile app
1)CP hatungi, ananukuu kama akina Sheikh Jongo(rip) alivyokuwa ananukuu biblia.

2) ujaniambia kuwa we ni mkristo,lakin we Mkristo( speculations zangu tu) lakini kumbuka hata petro walimtambua kwa kutembea na kuongea kwake kuwa ni mwanafunzi wa Yesu.

nami najaribu kukutambua uko upande gani kwa kupitia uandishi wako na uwasilishaji wako wa hoja
 
1)CP hatungi, ananukuu kama akina Sheikh Jongo(rip) alivyokuwa ananukuu biblia.

2) ujaniambia kuwa we ni mkristo,lakin we Mkristo( speculations zangu tu) lakini kumbuka hata petro walimtambua kwa kutembea na kuongea kwake kuwa ni mwanafunzi wa Yesu.

nami najaribu kukutambua uko upande gani kwa kupitia uandishi wako na uwasilishaji wako wa hoja

1.CP tena ndo nani?Unantajia mamtu hata siyajui
2.Unanikashfu kabisa

Inshort unanivunjia heshima.

Stop name calling and namedropping...sina mtu/kundi la watu ninaloliiga uandishi au uwasilishaji wa hoja.
I am a free thinker.
So nawewe toka kwenye huo utumwa wa mawazo tujadili hoja kwa hoja tuache umbea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.CP tena ndo nani?Unantajia mamtu hata siyajui
2.Unanikashfu kabisa

Inshort unanivunjia heshima.

Stop name calling and namedropping...sina mtu/kundi la watu ninaloliiga uandishi au uwasilishaji wa hoja.
I am a free thinker.
So nawewe toka kwenye huo utumwa wa mawazo tujadili hoja kwa hoja tuache umbea

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa
 
nlkuwa nauliza tu....kumkamata binadam mwenzio kumkata mikono na miguu,kumtoboa macho na kumuacha juani hata akiomba maji humpi mpaka afe ni roho ya ubinadamu au ukatili?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ukatili Tena mkubwa sana
Anas narrated:

"Some people from Urainah arrived in Al-Madinah, and they were uncomfortable (and ill from the climate). So Allah's Messenger sent them to some camels. He told them: "Drink from their milk and urine." So they killed the camel driver that Allah's Messenger sent, and they violently drove off the camels, and apostatized from Islam. So the Prophet came to them, he cut off their hands and feet on opposite side, and branded their eyes, and threw them in Al-Harrah." Anas said, "So I saw one of them working over the ground with his mouth, until they die"

" Their eyes were pierced, and they were thrown on the stony ground. They were asking for water, but they were not given water."

Grade:Sahih
Sahih Muslim The book of muhabrin 1671 c

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo hadithi za uongo.
Ni Jambo ambalo haliwezekani mtume kuwafanya hivyo watu
Yaani nimeangalia hili swali lako ulivyokuwa unauliza nikahisi tu kunaunachokitafuta, na kweli nilichokidhania ndio hicho hicho ilichokikusudia.

Aisee we jamaa ni sumbua sana.

Nimecheka sana
 
Matumizi ya neno kuchinjia kwa binadamu au yawakata koo ni udhalilishaji wa utukufu wa binadamu.Maneno haya pia yanatoa dalili ya upotoshaji kutoka kwa muandishi na dalili za kutia chumvi kwa kilichotokea.Hata muanzishaji mada atakuwa akili moja na hao walioandika kwa maara ya mwanzo.
Maneno halisi yaliyozoeleka tangu zamani kuripoti majanga ya vifo vya binadamu ni watu kadhaa wameuliwa.....au baadhi yao walikufa kwa kushambuliwa na vitu vya makali. Haiwezekani kuwa watu wote hao walichinjwa na kukatwa makoo.
Hivyo ndivyo alivyonukuliwa kiongozi wa jeshi la kienyeji Babakura Koloa, linalopambana na hao wendawazimu wa Boko Haram. Wameuawa kwa kuchinjwa yaani kukatwa makoo yao. Na hiyo ni moja ya staili ya mauaji inayotumiwa mara ya mara na hao wendawazimu. Kuuawa kwa kukatwa makoo kwa watu hao 43 wala si ajabu kwa kuwa hao wanaofanya hivyo ni wendawazimu.
 
View attachment 1637235
Amnesty International tawi la Nigeria inaripoti kuwa wakulima 43 wa Kijiji cha Maiduguri kilichopo Jimbo la Borno.


Wakulima 43 wa Jimbo la Borno, Nigeria wamechinjwa katika mashamba ya mpunga, Zabarmari na kikundi cha Boko Haram

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ameonesha kusikitishwa na kitendo hicho, pia katika ukurasa wake wa tiwtter ameandika kulaani mauaji hayo

Serikali ya Nigeria imefanya yote yanayowezekana kulinda nchi hiyo na watu wake, Rais amesema. Aidha shirika la kimataifa linalohusika na haki za binaadamu, Amnesty International lime laani kitend hicho

=====
Boko Haram Kills at Least 43 Farmworkers in Nigeria, Militia Says

Boko Haram fighters killed at least 43 farmworkers and injured six in rice fields near the northeast Nigerian city of Maiduguri on Saturday, anti-jihadist militia told AFP.

The assailants tied up the agricultural workers and slit their throats in the village of Koshobe, the militia said.

"We have recovered 43 dead bodies, all of them slaughtered, along with six others with serious injuries," said militia leader Babakura Kolo, who helped the survivors. "It is no doubt the handiwork of Boko Haram, who operate in the area and frequently attack farmers."

The victims were laborers from Sokoto state in northwest Nigeria, roughly 1,000 kilometers (600 miles) away, who had traveled to the northeast to find work, said Ibrahim Liman, another militiaman who gave the same toll.

"There were 60 farmers who were contracted to harvest ... the rice fields. Forty-three were slaughtered, with six injured," Liman said.

Eight others were missing, presumed to have been kidnapped by the jihadists, he said.

The bodies were taken to Zabarmari village, two kilometers away, where they would be kept ahead of burial Sunday, said resident Mala Bunu, who took part in the search-and-rescue operation.

Last month, Boko Haram militants slaughtered 22 farmers working in their irrigation fields near Maiduguri in two separate incidents.

Boko Haram and ISWAP, its IS-linked rival, have increasingly targeted loggers, herders and fishermen in their violent campaign, accusing them of spying and passing information to the military and the local militia fighting them.

At least 36,000 people have been killed in the jihadist conflict, which has displaced around 2 million people since 2009.

More: Boko Haram Kills at Least 43 Farmworkers in Nigeria, Militia Says
Ujinga wote huu ni kwa ajili ya dini za watu zisizo na mashiko kwetu Waafrika.....Mungu gani anaruhusu watu wake wauane kwa kugombania dini ambayo Mungu huyo huyo hajaunda?
 
Huwezi kukuta maeneo yenye madhehebu kama ahmadiya,shia n.k kukawa na vurugu,sasa muwepo wavaa suruali fupi ni balaa,ninyi ndio mnaupaka matope uislamu.
Usilolijua ni usiku wa giza! Hivi unawafahamu Khawaarij? Au kwa jina lingine Kilaabun nnar?
Ukiwa hujui kitu shughulisha bongo yako kuuliza, usitumie kichwa kama shamba la kufugia nywele!!

Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom