Kukaa kimya pia ni jibu dhidi ya mjinga!!Una uhakika na usemalo?
Tukimuweka Warsh na Hafs hapa hatutaona tofauti yoyote kwenye Aya?
Kitabu gani chetu sisi waAlkebukan unachokiongelea?
Basi poa turudi kwenye mada ya Jihad.Citizen B Jadili mada iliyotolewa na mtoa hoja, ukitaka kuyajua hayo hapa sio sehemu yake.
FUNGUA UZI WAKO UJUZWE!!
Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
Yaani wewe ni sawa na unaanza chekechea ila unajiona ushamaliza Chuo.Kukaa kimya pia ni jibu dhidi ya mjinga!!
JADILI MADA ILIYOPO
Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
Je hao unaowataja wanahusika nini na mapokezi ya Quran? Walihusika vipi na uhifadhi wa Quran!? Kumbe mjinga mjinga tu!!Una uhakika na usemalo?
Tukimuweka Warsh na Hafs hapa hatutaona tofauti yoyote kwenye Aya?
Kitabu gani chetu sisi waAlkebukan unachokiongelea?
Hapa iliyopo hapa haiongelei Jihad, fungua uzi kuhusiana nayo upewe darsa hapa sio mahalo pake.Yaani wewe ni sawa na unaanza chekechea ila unajiona ushamaliza Chuo.
Basi sawa turudi kwenye Mada ya Jihad.
Ambayo wanaoua na wanaouliwa kwa ajili ya Allah watapata thawabu maradufu kwenye mbingu ya Allah.
1.Wanawake mabikra ambao ukimla bikra inajishona upya
2.Wanawake wenye matiti kama Vikombe
3.Wanawake weupee mpaka unaona mifupa.
4.Sehemu ambayo utapata kila mwanamkeunayemtaka hata ukimuomba Rihana a akuja.
Sijuo wanawake wataenda huko kufanya nini
Ndomana nasema wewe kama unaanza chekechea tena vidudu kabisa.Je hao unaowataja wanahusika nini na mapokezi ya Quran? Walihusika vipi na uhifadhi wa Quran!? Kumbe mjinga mjinga tu!!
Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
This world is no longer a better place for anyone, binadamu anamchinja binadamu mwenzie bila hata huruma[emoji25][emoji25]View attachment 1637235
Amnesty International tawi la Nigeria inaripoti kuwa wakulima 43 wa Kijiji cha Maiduguri kilichopo Jimbo la Borno.
Wakulima 43 wa Jimbo la Borno, Nigeria wamechinjwa katika mashamba ya mpunga, Zabarmari na kikundi cha Boko Haram
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ameonesha kusikitishwa na kitendo hicho, pia katika ukurasa wake wa tiwtter ameandika kulaani mauaji hayo
Serikali ya Nigeria imefanya yote yanayowezekana kulinda nchi hiyo na watu wake, Rais amesema. Aidha shirika la kimataifa linalohusika na haki za binaadamu, Amnesty International lime laani kitend hicho
=====
Boko Haram Kills at Least 43 Farmworkers in Nigeria, Militia Says
Boko Haram fighters killed at least 43 farmworkers and injured six in rice fields near the northeast Nigerian city of Maiduguri on Saturday, anti-jihadist militia told AFP.
The assailants tied up the agricultural workers and slit their throats in the village of Koshobe, the militia said.
"We have recovered 43 dead bodies, all of them slaughtered, along with six others with serious injuries," said militia leader Babakura Kolo, who helped the survivors. "It is no doubt the handiwork of Boko Haram, who operate in the area and frequently attack farmers."
The victims were laborers from Sokoto state in northwest Nigeria, roughly 1,000 kilometers (600 miles) away, who had traveled to the northeast to find work, said Ibrahim Liman, another militiaman who gave the same toll.
"There were 60 farmers who were contracted to harvest ... the rice fields. Forty-three were slaughtered, with six injured," Liman said.
Eight others were missing, presumed to have been kidnapped by the jihadists, he said.
The bodies were taken to Zabarmari village, two kilometers away, where they would be kept ahead of burial Sunday, said resident Mala Bunu, who took part in the search-and-rescue operation.
Last month, Boko Haram militants slaughtered 22 farmers working in their irrigation fields near Maiduguri in two separate incidents.
Boko Haram and ISWAP, its IS-linked rival, have increasingly targeted loggers, herders and fishermen in their violent campaign, accusing them of spying and passing information to the military and the local militia fighting them.
At least 36,000 people have been killed in the jihadist conflict, which has displaced around 2 million people since 2009.
More: Boko Haram Kills at Least 43 Farmworkers in Nigeria, Militia Says
Hawa ndugu zetu wameikosesha Sana amani ya dunia,badala ya kutulia sasa wameenda kwenye amani lakini lazima nahuko waanze kuua watu yaani wanahudhunisha na kukera Sana.Cha ajabu wanapenda kukimbilia nchi zilizostaarabika kama France,germany,UK,Canada etc. ila wakishafika huko wakaanza kuwa wengi wanaanza kutaka iwepo Sharia na wanaanza na kujilipua
Unajiona mkubwa wakati hata unaemquote humjui!!Ndomana nasema wewe kama unaanza chekechea tena vidudu kabisa.
Kama hujui Warsh na hafs ni kina nani mdogo wangu rudi madrassa
Bwana wewe hapa Boko Haram wamechinja wakulima.Citizen B
Jadili mada iliyopo hapa kama ilivyotolewa na mtoa mada. Kama una yako fungulia uzi upewe darsa nje ya hapa.
Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
Kwa mtizamo wako unaona ni hivyo lakini katika Uislam hao hawapo na nimeshakwambia hao ni Khawaarij. Endelea kubisha kiasi cha kuingiza hata yasiyohusiana na mada lakini ukweli ndio huo.Bwana wewe hapa Boko Haram wamechinja wakulima.
Hiyo ni Jihad mkuu
Allah akurehemu.Unajiona mkubwa wakati hata unaquote humjui!!
Kwa akili yako unajiona unajua wakati hujui chochote! Uislam hausomwi kwenye mitandao....Kawaulize wenzako waliobadili majina yote na bado waliypka kapa.
Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
Allah unamjua wewe? Huna ulijualo.Allah akurehemu.
kama hujui uliza kistaarabu utajibiwa kuhusu hafs and warsh ila sio kusema sijui kitu wakati mwenyewe hujui.
Basi em eleza wewe basi maana mimi sijui Warsh na Hafs ni nini?
Kwanini Uthman alichoma maelfu ya Quran?
kwanini Egypt walienda kuzitupa Quran kwenye Nile?
Sasa uzuri mimi siongelei mtizamo wangu mimi naongelea mambo yaliyomo kwenye Hadith na Quran ndomaana nkakuuliza Jihad zipo za aina ngapi ukachenga.Kwa mtizamo wako unaona ni hivyo lakini katika Uislam hao hawapo na nimeshakwambia hao ni Khawaarij. Endelea kubisha kiasi cha kuingiza hata yasiyohusiana na mada lakini ukweli ndio huo.
Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
Allah mimi namjua...Alikuwepo hata kabla ya Muhammad pale kwenye Kaaba Hata babake Muhammad alikuwa anaitwa Abdallah
Sijacheza kwasababu labda sijui ila nimechenga upuuzi wako kuhusianisha jihad na kuchinjana tu. Akili yako imestiki kwenye kuchinjana tu kwa kudhani ndio jihad.... Haluna Uislam huo. Na hao unaohisi ni waislam kwa taarifa yako tu wapo nje ya Uislam, nakukumbusha tena unawajua KHAWAARIJ. Au kwa jina jingine Kilabuun nnari (Mbwa wa motoni)Sasa uzuri mimi siongelei mtizamo wangu mimi naongelea mambo yaliyomo kwenye Hadith na Quran ndomaana nkakuuliza Jihad zipo za aina ngapi ukachenga.
Sasa According to Quran and Hadith walichokifanya hao jamaa Kimewaongezea point ya Akhera.
Kuendelea kukuchekea ni ujinga zaidi.Allah mimi namjua...Alikuwepo hata kabla ya Muhammad pale kwenye Kaaba Hata babake Muhammad alikuwa anaitwa Abdallah
Sura mbaya Kama roho yako ndio maana Kelvin hakuoi, mtu akapigwa visu viwili moyoni, akafa. DuhThis world is no longer a better place for anyone, binadamu anamchinja binadamu mwenzie bila hata huruma[emoji25][emoji25]
Nimepanic nikasema hivi Calvin ndio nani kumbe unazungumzia ule uzi wa housegirlSura mbaya Kama roho yako ndio maana Kelvin hakuoi, mtu akapigwa visu viwili moyoni, akafa. Duh