n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Demonic toungs, hapo ana invoke dwarfs kama wote vile.View attachment 2515813
Bora tu adai pesa zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demonic toungs, hapo ana invoke dwarfs kama wote vile.View attachment 2515813
Bora tu adai pesa zake
Pastor Rokata, YakataView attachment 2515813
Bora tu adai pesa zake
Afadhali wakristo kuliko wale wanao jiongeza ktk dini yao hadi kujitoa uhai ili wakajipatie mademu bikira huko ahera 🤣🤣Wakiristo wezi tu
Lakini kiendacho kwa Mungu urudi Tena urudi maradufu kulingana na rehema kwa muhusika.Kiendacho kwa mganga hakirudi
Kujitoa uhai haikubaliki katika uislamuAfadhali wakristo kuliko wale wanao jiongeza ktk dini yao hadi kujitoa uhai ili wakajipatie mademu bikira huko ahera 🤣🤣
Kujitoa uhai haikubaliki katika uislamu
Sio kweli walimwambia ajiwekee hazina Kwa mungu ,tayari Hana mpango huo lijadiliwe na wazee wakanisa na mdau ,kipindi Hana akili timamu walimanisha nnKiendacho kwa mganga hakirudi
Waislamu ni binadamu hufanya makosa pia., lakini ukiwauliza wanayo sababu ya kufanya hivyoHao wanaojilipuaga na mabomu sio waislam?
Yupi!?..maana mmoja ana title mbili,yeye mwana na yeye mungu mkuu yaani dingiMuumba wa mbingu na ardhi
Sababu ni ipi?lakini ukiwauliza wanayo sababu ya kufanya hivyo
Sababu ni kwamba uislamu maana yake ni amani (peace) na watu wake naturally wanakuwa hivyo, watu wa amani huruma na mapenzi lakini ikitokezea kuchokozwa na kudhulumiwa ndio hutokea kama hayo au zaidiSababu ni ipi?
Mie Nijuavyo ni kama nilivyo kuambiwa maana hata wanaojilipuaga ni vijana wa kiume tu. Sasa kama sio kuwahi ahera kupata wanawali mabikira, kuna sababu nyingine?
Mungu Hana mkuu wake yeye ndo mkuu tuyemwabudu na kumuomba ndo huyo mkuu hatumwabudu mshirikaYupi!?..maana mmoja ana title mbili,yeye mwana na yeye mungu mkuu yaani dingi
Hizo ni fikra mkuu sidhani kama mtu kwa akili tafanya hivo kusudio kupata wanawake , ingekuwa hivo basi hata hapa duniani mtu atahatarisha maisha yake Ili apate mademu(wanawake)Sababu ni ipi?
Mie Nijuavyo ni kama nilivyo kuambiwa maana hata wanaojilipuaga ni vijana wa kiume tu. Sasa kama sio kuwahi ahera kupata wanawali mabikira, kuna sababu nyingine?
Umeleta upalestina na uisrael ukajumlisha humo humo na uislam!!Nitakupa mfano wa Israel na Palestine, Historical hakuna nchi iitwayo Israel, walianza kwa kumega ardhi ya Palastine
Nitakupa mfano wa Israel na Palestine, Historical hakuna nchi iitwayo Israel, walianza kwa kumega ardhi ya Palastine
ingekuwa hivo basi hata hapa duniani mtu atahatarisha maisha yake Ili apate mademu(wanawake)