Nigeria: Muumini alitaka kanisa lirejeshe pesa zake kwa kuwa hana mpango wa kwenda mbinguni

Nigeria: Muumini alitaka kanisa lirejeshe pesa zake kwa kuwa hana mpango wa kwenda mbinguni

Wewe ni dini gani?
Kwa nini maandiko ya hiyo dini unayaita ni fikra tu?

Wenye dini yao wanajua fika wanaume wote wa kiislam kuna zawadi huko ahera watapewa nayo ni kila mmoja atamiliki warembo 70 mabikira.

Kama hujui hiyo ofa basi na uislam haukuhusu, kaa kimya tu.
Ok kwahiyo kitabu kinasema wajiue Ili wakapate wanawake warembo? Una uhakika na Hilo mkuu?
 
Nimekuuliza swali hujajibu halafu unakuja na maswali 🙄

Hebu nijibu kwanza ndipo nami nikukibu

Swali ni hili "wewe ni dini gani?
Ok kwahiyo kitabu kinasema wajiue Ili wakapate wanawake warembo? Una uhakika na Hilo mkuu?
 
Umeleta upalestina na uisrael ukajumlisha humo humo na uislam!!

Hivi unajua kuwa hata kabla ya ukristo kuanzishwa Israel ilikuwepo?
Uislam uliotokea uarabuni uliingia Yerusalem kabla ya Israel kuwepo?

Hujui historia Ila upo hapa kushabikia usichokijua.

Uliwahi kusikia Israel inasema Maka ni yao?

Huyo mungu anayepiganiwa na watu wanaojitoa mhanga anatatizo na haiwezekani kamwe kuitwa ni mungu mwenye nguvu

Soma vizuri history.
Sasa huku ni mada nyengine ambayo mwisho wa siku hatutakubaliana tu nadhan tufikie hapa as long as umeelewa waislam ni watu wa amani mpaka pale utakapowaanza
 
Kwani kipindi anazitoa walikubaliana kurudisha. Kama walikubariana kwamba ipo siku atazidai basi apewe chake.
 
Imagine wakajitokeza watu kibao wakaliambia kanisa liwalipe

Yaani jamaa kagairi kwenda peponi na kachagua hell fire [emoji91]
Kuna watu wana dhihaka kwa kweli
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wakiristo wezi tu mali ya babu jinga huliwa ni babu jinga tu
Ni kweli. ni kama waislam ambao hukamuliwa kwenda makka kusali kwenye makaburi utadhani hawana makaburi kwao mbali kuabudia kwa kulibusu jiwe al kaaba kana kwamba hawana wa kubusu mbali na kutozwa zakat anayodai mnigeria
 
Ni kweli. ni kama waislam ambao hukamuliwa kwenda makka kusali kwenye makaburi utadhani hawana makaburi kwao mbali kuabudia kwa kulibusu jiwe al kaaba kana kwamba hawana wa kubusu mbali na kutozwa zakat anayodai mnigeria
Acha matusi
 
WhatsApp Image 2023-02-13 at 10.43.16.jpeg
 
Back
Top Bottom