G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,625
- 8,639
Moto upi ambao umewahi kuuona wewe?Moto unamhusu na pesa zimeliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moto upi ambao umewahi kuuona wewe?Moto unamhusu na pesa zimeliwa
Ok kwahiyo kitabu kinasema wajiue Ili wakapate wanawake warembo? Una uhakika na Hilo mkuu?Wewe ni dini gani?
Kwa nini maandiko ya hiyo dini unayaita ni fikra tu?
Wenye dini yao wanajua fika wanaume wote wa kiislam kuna zawadi huko ahera watapewa nayo ni kila mmoja atamiliki warembo 70 mabikira.
Kama hujui hiyo ofa basi na uislam haukuhusu, kaa kimya tu.
Ok kwahiyo kitabu kinasema wajiue Ili wakapate wanawake warembo? Una uhakika na Hilo mkuu?
Sasa huku ni mada nyengine ambayo mwisho wa siku hatutakubaliana tu nadhan tufikie hapa as long as umeelewa waislam ni watu wa amani mpaka pale utakapowaanzaUmeleta upalestina na uisrael ukajumlisha humo humo na uislam!!
Hivi unajua kuwa hata kabla ya ukristo kuanzishwa Israel ilikuwepo?
Uislam uliotokea uarabuni uliingia Yerusalem kabla ya Israel kuwepo?
Hujui historia Ila upo hapa kushabikia usichokijua.
Uliwahi kusikia Israel inasema Maka ni yao?
Huyo mungu anayepiganiwa na watu wanaojitoa mhanga anatatizo na haiwezekani kamwe kuitwa ni mungu mwenye nguvu
Soma vizuri history.
Ni kweli. ni kama waislam ambao hukamuliwa kwenda makka kusali kwenye makaburi utadhani hawana makaburi kwao mbali kuabudia kwa kulibusu jiwe al kaaba kana kwamba hawana wa kubusu mbali na kutozwa zakat anayodai mnigeriaWakiristo wezi tu mali ya babu jinga huliwa ni babu jinga tu
Acha matusiNi kweli. ni kama waislam ambao hukamuliwa kwenda makka kusali kwenye makaburi utadhani hawana makaburi kwao mbali kuabudia kwa kulibusu jiwe al kaaba kana kwamba hawana wa kubusu mbali na kutozwa zakat anayodai mnigeria
Hii hatariView attachment 2515813
Bora tu adai pesa zake
Ni hatari sanaHii hatari