Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Msichepuke ad mzae na michepskila siku mnaambiwa sio lazima kupima DNA hamsikiii, sasa sisi tufanyaje
Sasa kama wewe huna naniliu, si anakusaidia kukutunzia heshima jamani😊Msichepuke ad mzae na micheps
Sio kwa ishu hio kwamba wanaozaa watoto wa nje ya ndoa wote waume zao hawarutubishi?sasa kama wewe huna naniliu, si anakusaidia kukutunzia heshima jamani😊
sawa 🙌🙌🙌Sio kwa ishu hio kwamba wanaozaa watoto wa nje ya ndoa wote waume zao hawarutubishi?
kosa la kutoka nje ya mahusiano ni kawaida, ila kulea mtoto ambae sio wako ni upumbavi kwa kwelisasa kama wewe huna naniliu, si anakusaidia kukutunzia heshima jamani😊
sawakosa la kutoka nje ya mahusiano ni kawaida, ila kulea mtoto ambae sio wako ni upumbavi kwa kweli
Awapeleke kwa ndugu wa mama yao huwa wanajua baba zao ila wanakalia unafiki tu.
Majibu ya mipasho ya uswahilini, wewe ulitaka awe wapi.!!Nae aende nae tu.... ulikuwa wapi mpaka zigo linamwagiwa
awapeleke kwa ndugu wa mwanamke. ushahidi kwamba sio wake anao....