mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
na baba yao halisi yupo duniani tu anakula bata.... mwanaume anabeba majukumu yakeHapana awalee tu kitanda hakizai haramu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na baba yao halisi yupo duniani tu anakula bata.... mwanaume anabeba majukumu yakeHapana awalee tu kitanda hakizai haramu
Daah aisee kama watoto wamekuakua kidogo itawaathiri sana hiyo kitu, hawatakuja msahau mwamba.Atangaze siku ya msiba wenye watoto wao waje wachukue
Wachepuke ila wasizae huko njeMsichepuke ad mzae na micheps
na baba yao halisi yupo duniani tu anakula bata.... mwanaume anabeba majukumu yake
una hoja nzuri lakini ni ngumu kufanya maamuzi ya kulea watoto sio wako....ukute kiuchumi hayuko vizuri labdaHuyo sperm donor yeye ndiye mwenyewe
Hili ni la muhimu sanaWachepuke ila wasizae huko nje
Kweli asee aamke alete majibu anaachaje mtihani huku,akati mwenye majibu ni yeyeWanawake ni wanafki kinoma,Sasa anakufaje,wakati anazagamuliwa na njemba ingine kwann hakufa?aamke alete majibu hapa.Inauma
Ila sisi wanawake tunazingua kweli, hyo ujue ni dhulma kwa watoto, baba halisi wa watoto na kwa baba mbambikiwa kwan mbambikiwa anajitwisha mzigo usokua wake tena bila hiyara na watoto wanakosa haki za msingi kwa baba yao mzazi na baba mzaz nae ananyima haki ya kulea wanae, toba yake sii mchez, Mungu atuongozeDaah aisee kama watoto wamekuakua kidogo itawaathiri sana hiyo kitu, hawatakuja msahau mwamba.
Em ngoja tuone ... ilitakiwa awe wapi muda huo😜Majibu ya mipasho ya uswahilini, wewe ulitaka awe wapi.!!
kila siku mnaambiwa sio lazima kupima DNA hamsikiii, sasa sisi tufanyaje
ndo mfe baada ya kutoka vipimo?[emoji1787][emoji1787]kila siku mnaambiwa sio lazima kupima DNA hamsikiii, sasa sisi tufanyaje
Sasa kitu gani kilichomfanya afe??kila siku mnaambiwa sio lazima kupima DNA hamsikiii, sasa sisi tufanyaje
ndo muwe mnajiaandaa kisaikolojia sasa incase ukikuta watoto sio wako ujue nini cha kufanya kabisa sio kuanza kusumbua watuWatu hawapimi sababu ni lazima ila sababu ni muhimu pale mashaka yanapodhihirika.
Huwez ishi ukijidanganya miaka yoye, hiyo hali itakuwa inakutafuna maisha yako yote
mshituko,, hakutegemea kama ingekuja kujulikana kama kacheatSasa kitu gani kilichomfanya afe??