Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
ndo muwe mnajiaandaa kisaikolojia sasa incase ukikuta watoto sio wako ujue nini cha kufanya kabisa sio kuanza kusumbua watu
ikishatokea hivyo ni bora tu mjue mnasolve vipi kuliko kujifanya unapretend halafu mwisho wa siku uwadhuru watotoMpaka unafika hapo unakuwa umeshajiandaa kisaikolojia. Ila sasa ita depend na muhusika yukoje.
Wengine wako strong mentaly, such thing haiwashtui sana.
But ishu inabaki pale pale, pretend kuwa ww ni mzaz wa watoto wasio wako ili kumaintain fake peace, or take the truth pill?
Madam usaliti kwenye ndoa ni mbaya sana afu mbaya zaidi unaleta na mtoto kabisa duu.ikishatokea hivyo ni bora tu mjue mnasolve vipi kuliko kujifanya unapretend halafu mwisho wa siku uwadhuru watoto
so sad😔, yani unamtenga mtoto na alishakuzoea kabisa....hakufanya vizuri huyo jamaa angemlea tu kwasababu babake hajulikani hata alipoMadam usaliti kwenye ndoa ni mbaya sana afu mbaya zaidi unaleta na mtoto kabisa duu.
Kuna dada mmoja alileta uzi humu kuwa ilikuwa one night stand na mbaba mmoja hata hajui sasa yupo wapi ,
Bila kujali akapata na mimba mtoto kuzaliwa baba wa kwenye ndoa anamuita Baba baba , mwishowe moyo ukaanza kumtesha akaamua kumwambia alimsemahe ila akamwambia mtoto huyu sio wangu so pambana wewe mwenye mimi sitahusika kwa lolote kuhusu mtoto huyo hata kwenye urithi na vingine.
Aoe mke mwengine awalee tu. Mradi kishajuwa siyo damu yake, haina shida.Imetokea nigeria mwanaume mmoja aliamua kupima watoto wake wawili DNA.
Majibu yakatoka watoto wote si wake.
Mkewe akafa ghafla baada ya kupata majibu.
Ungekuwa weae ungechukua uamuzi gani kwa watoto au unampa ushauri gani huyo jamaa.
View attachment 2633586
Kwa hapo kama baba mzazi akiamua kukausha anakausha tu na watoto wataishia kutangatanga tu.Ila sisi wanawake tunazingua kweli, hyo ujue ni dhulma kwa watoto, baba halisi wa watoto na kwa baba mbambikiwa kwan mbambikiwa anajitwisha mzigo usokua wake tena bila hiyara na watoto wanakosa haki za msingi kwa baba yao mzazi na baba mzaz nae ananyima haki ya kulea wanae, toba yake sii mchez, Mungu atuongoze
ikishatokea hivyo ni bora tu mjue mnasolve vipi kuliko kujifanya unapretend halafu mwisho wa siku uwadhuru watoto
so sad[emoji17], yani unamtenga mtoto na alishakuzoea kabisa....hakufanya vizuri huyo jamaa angemlea tu kwasababu babake hajulikani hata alipo
aseme tu mwenyewe seriously 🙄, hilo haliwezekaniThe problem upande wa mwanamke utaluwa tayari kusema ukweli kabla hujafikia level ya vipimo?
NonoSasa kama wewe huna naniliu, si anakusaidia kukutunzia heshima jamani😊
Kama hivyo sawaNono
Ni dhambi.
Kwasababu inahusisha uhongo/ udanganyifu afu inaathili kiroho kwa Sababu ile sio uzao wa hiyo familia.