JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Osinachi alishirikishwa na Prospa Ochimana katika wimbo huo, amefikwa na mauti jioni ya Aprili 8, 2022, hii baada ya kupambana na ugonjwa usiojulikana kwa takriban miezi miwili huku vyanzo vingine vikidai ni kansa ya koo.
Baadhi yake nyimbo ni pamoja na “Nara Ekele” akiwa na Mchungaji Paul Enenche (Dunamis,Abuja), “Ekwueme” akiwa na Prospa Ochimana na nyinginezo.
Wimbo wa Ekwueme umejipatia umaarufu sana kutokana maudhui yake huku ukitasambaa na kuimbwa na jamii kubwa duniani.
Source: Dailypost