TANZIA Nigeria: Sis Osinachi Nwachukwu aliyeshirikishwa wimbo wa ‘Ekwueme’ afariki dunia

TANZIA Nigeria: Sis Osinachi Nwachukwu aliyeshirikishwa wimbo wa ‘Ekwueme’ afariki dunia

Makanisani wanawake wanahubiriwa wawe wavumilivu ni mapito wazidishe maombi ati Mungu atawabadilisha waume zao, matokeo yake ni mauti

Watu wengi wanapotea kwa kukosa maarifa
 
Rest In Peace... Tutawaza kumiliki magari na majumba ya kifahari lakini hakika kifo ndio ndoto pekee ambayo kila mmoja wetu atafanikiwa kuitimiza!
Ningeipita hii comment bila kusoma ningekosa bonge la ujumbe .
 
kale kajamaa kataanza kuchangisha rambi rambi
 
Huyu mama amepitia mengi ya kutisha
Unbearable[emoji24]

Nimesikiliza mahojiano na mama yake mzazi
Walishawahi kumtoa kwa nguvu mikononi mwa huyo mwanaume, lakini baada ya mwaka mwanaume alienda nyumbani kwao kuomba msamaha na kutudiana tena

Inaumiza kwa kweli
 
Hili swala la mwanamke kutoka kwenye ndoa zenye domestic violence inahitaji uhamasishaji wa hali ya juu, elimu kwa victim na jamii na maandalizi (akishatoka nini kinafatia, anaenda wapi hasa hasa kama hana kipato chochote)

Ni rahisi kumshauri mtu tu haraka haraka toka, aende wapi
 
Hili swala la mwanamke kutoka kwenye ndoa zenye domestic violence inahitaji uhamasishaji wa hali ya juu, elimu kwa victim na jamii na maandalizi (akishatoka nini kinafatia, anaenda wapi hasa hasa kama hana kipato chochote)

Ni rahisi kumshauri mtu tu haraka haraka toka, aende wapi
Ni kweli kabisa. Na uhamasishaji huu unatakiwa ujumuishe jamii nzima, sio wanawake peke yao.

Katika jamii zetu ndoa inapovunjika, lawama zote hua zinaelekezwa kwa mwanamke kwamba ameshindwa kuvumilia au ameshindwa kupigania ndoa yake. Matokeo yake wanawake wanajikuta wanaishi kwenye ndoa zenye mateso kwa kuogopa wakiondoka jamii itawaonaje?
 
Kutolewa na Madirid uefa kumenifanya nimkumbuke huyu dada ..kwakweli Leo ndio nimepata uchungu aise, Yani nimeumia sana ..unajua sometime maumivu Fulani yanaeza amsha maumivu menginee..😭😭😭 ndio ivyo Sasa..

R.I.P Ekuemwe😭😭😭
#CFC💙💙💙
 
Hili swala la mwanamke kutoka kwenye ndoa zenye domestic violence inahitaji uhamasishaji wa hali ya juu, elimu kwa victim na jamii na maandalizi (akishatoka nini kinafatia, anaenda wapi hasa hasa kama hana kipato chochote)

Ni rahisi kumshauri mtu tu haraka haraka toka, aende wapi
Nyie bwana mnakuwa kama hamjui scenario za mapenzi, kuna wanawake ni ving'ang'anizi kiasi kwamba wapo tayari hata kuuliwa ilimradi tu wasiachwe.

Kuna mdada mwanamke mmoja alikuwa anapigwa kipigo kikali nadhani kila week ni lazima kuna siku abweke, ila ukienda na ushauri wa amuache mmewe mnakuwa maadui wakubwa.

Niseme tu wanawake ni viumbe dhaifu unaoweza kufawafanya unachotaka oale wanapopenda.

Kupenda kwa wanawake ndo kumewafanya wajikute hata wanalazimika kufanya vitu ambavyo hawakuwahi kufikiria kuvifanya ili tu wawatunze wanaume wao, kwa swala mfano kugeuzwa nyuma, kujilengesha mimba zinazopelekea wawe single mothers na mengine mengi.
 
Duh,roho imeniuma
Hunishindi mimi, hasa ukizingatia hizi taarifa zinazisema kidfo chake kimesababishwa na domestic violence, hivi kwa nini hakuondoka kwenye hiyo ndoa na kwa ni i hakutaka watu wajue kwamba anapitia ukatili?
 
Inavyosemekana sio kansa iliyomuua bali kipigo kutoka kwa mumewe alimpiga kifuani akawa kwenye life support mpaka umauti unamkuta. Katika ndoa yake amepitia vipigo na unyanyasaji toka kwa mumewe. Account za baadhi ya wanaijeria wamefunguka mengi ambayo tulikuwa hatujui
Imenihuzunisha sana, mpaka watoto wake wamezungumza mambo mazito kuhusu unyanyasaji aliopitia mama, huyo mume amekamatwa lakini bado naona kama haitoshi
 
Hunishindi mimi, hasa ukizingatia hizi taarifa zinazisema kidfo chake kimesababishwa na domestic violence, hivi kwa nini hakuondoka kwenye hiyo ndoa na kwa ni i hakutaka watu wajue kwamba anapitia ukatili?
Hiyo Avatar yako imenikumbusha kitu.
 
Nyie bwana mnakuwa kama hamjui scenario za mapenzi, kuna wanawake ni ving'ang'anizi kiasi kwamba wapo tayari hata kuuliwa ilimradi tu wasiachwe.

Kuna mdada mwanamke mmoja alikuwa anapigwa kipigo kikali nadhani kila week ni lazima kuna siku abweke, ila ukienda na ushauri wa amuache mmewe mnakuwa maadui wakubwa.

Niseme tu wanawake ni viumbe dhaifu unaoweza kufawafanya unachotaka oale wanapopenda.

Kupenda kwa wanawake ndo kumewafanya wajikute hata wanalazimika kufanya vitu ambavyo hawakuwahi kufikiria kuvifanya ili tu wawatunze wanaume wao, kwa swala mfano kugeuzwa nyuma, kujilengesha mimba zinazopelekea wawe single mothers na mengine mengi.
This is beyond imagination, kwa sababu yeye sio tu alikua anatendewa ukatili ila mume alimfanya mtumwa, alikua anakula kwa mgongo wa mkewe huku akimnyima hata mia inayopatikana kwa kazi yake ya uimbaji, anafukuza hadi ndugu wa mke na mama mzazi wanapokuja kusalimia, he was overcontrol of his wife, kuna video moja nimeona mtoto anasema baba alimfukuza mama ndani akamwambia awe analalala kwenye nyumba ambayo haijaezekwa

Honestly kama haya yanayosemwa ni kweli natamqni sana kujua historia ya huyo mwanaume kuanzia utoto wake, inawezekana kuna malezi amepitia ambayo ndio matokeo ya hiyo tabia yake
 
This is beyond imagination, kwa sababu yeye sio tu alikua anatendewa ukatili ila mume alimfanya mtumwa, alikua anakula kwa mgongo wa mkewe huku akimnyima hata mia inayopatikana kwa kazi yake ya uimbaji, anafukuza hadi ndugu wa mke na mama mzazi wanapokuja kusalimia, he was overcontrol of his wife, kuna video moja nimeona mtoto anasema baba alimfukuza mama ndani akamwambia awe analalala kwenye nyumba ambayo haijaezekwa

Honestly kama haya yanayosemwa ni kweli natamqni sana kujua historia ya huyo mwanaume kuanzia utoto wake, inawezekana kuna malezi amepitia ambayo ndio matokeo ya hiyo tabia yake
Mmmh sasa hapo kulikuwa na mshusiano kweli? Nadhani huyo jamaa alikuwa na insecurities kiasi kwamba umaarufu wa mkewe ulimfanya awe na wivu kupitiliza.
 
Upo sahihi. Osinachi alianza pata mateso mapema sana alishawahi kurudi kwao kisa kipigo akiwa katoka kujifungua mtoto wa pili,ila mume na wapambe wakaenda kuomba msamaha kuwa kajirekebisha. Osinachi akarudi,tangia hapo akawa hasemi matatizo yanayompata huku akijipa matumaini ipo siku mume atabadilika

Just imagine anatimuliwa kupanda gari lake mwenyewe eti atembee kwa miguu au apande baiskeli

Wengi wanavumilia ndoa za mateso ili mradi aendelee kuonekana ana ndoa na kuogopa jamii itamsema vibaya
Nyie bwana mnakuwa kama hamjui scenario za mapenzi, kuna wanawake ni ving'ang'anizi kiasi kwamba wapo tayari hata kuuliwa ilimradi tu wasiachwe.

Kuna mdada mwanamke mmoja alikuwa anapigwa kipigo kikali nadhani kila week ni lazima kuna siku abweke, ila ukienda na ushauri wa amuache mmewe mnakuwa maadui wakubwa.

Niseme tu wanawake ni viumbe dhaifu unaoweza kufawafanya unachotaka oale wanapopenda.

Kupenda kwa wanawake ndo kumewafanya wajikute hata wanalazimika kufanya vitu ambavyo hawakuwahi kufikiria kuvifanya ili tu wawatunze wanaume wao, kwa swala mfano kugeuzwa nyuma, kujilengesha mimba zinazopelekea wawe single mothers na mengine mengi.
 
Mmmh sasa hapo kulikuwa na mshusiano kweli? Nadhani huyo jamaa alikuwa na insecurities kiasi kwamba umaarufu wa mkewe ulimfanya awe na wivu kupitiliza.
Sio insecurity ni matatizo ya akili,a real man would never treat a woman as such
 
Back
Top Bottom