Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamuziki wa Nyimbo za Injili kutoka Nigeria aitwaye Sis Osinachi Nwachukwu maarufu kwa wimbo wake “Ekwueme” amefariki dunia.
Osinachi alishirikishwa na Prospa Ochimana katika wimbo huo, amefikwa na mauti jioni ya Aprili 8, 2022, hii baada ya kupambana na ugonjwa usiojulikana kwa takriban miezi miwili huku vyanzo vingine vikidai ni kansa ya koo.
Baadhi yake nyimbo ni pamoja na “Nara Ekele” akiwa na Mchungaji Paul Enenche (Dunamis,Abuja), “Ekwueme” akiwa na Prospa Ochimana na nyinginezo.
Wimbo wa Ekwueme umejipatia umaarufu sana kutokana maudhui yake huku ukitasambaa na kuimbwa na jamii kubwa duniani.
Source: Dailypost
😂😂😂😂😂😂😂😂mkuu umeuaKumwembee kumwembee.
Kumbe ni Ekwueme
Kivipi mkuu?[emoji24][emoji24]Hyo sauti yake unayosema imekubaliki ndo imempa ugonjwa wa kansa ya Koo.
hii Ina tukumbusha msoma Quran mkubwa Abdul baswit Abdul swamad yeye mishipa ya fahamu ilipasuka Sababu ya kutoa sauti kali
Kivipi mkuu?[emoji24][emoji24]
Duuuh ...account zipi hizo za wapopo nikasome mkuuInavyosemekana sio kansa iliyomuua bali kipigo kutoka kwa mumewe alimpiga kifuani akawa kwenye life support mpaka umauti unamkuta. Katika ndoa yake amepitia vipigo na unyanyasaji toka kwa mumewe. Account za baadhi ya wanaijeria wamefunguka mengi ambayo tulikuwa hatujui
ThisDuuuh ...account zipi hizo za wapopo nikasome mkuu
Aisee amepitia abuse za hatari sana, haya makanisa na msemo wa “watu watasema nini “yatawamaliza wanawake..Inavyosemekana sio kansa iliyomuua bali kipigo kutoka kwa mumewe alimpiga kifuani akawa kwenye life support mpaka umauti unamkuta. Katika ndoa yake amepitia vipigo na unyanyasaji toka kwa mumewe. Account za baadhi ya wanaijeria wamefunguka mengi ambayo tulikuwa hatujui