TANZIA Nigeria: Sis Osinachi Nwachukwu aliyeshirikishwa wimbo wa ‘Ekwueme’ afariki dunia

TANZIA Nigeria: Sis Osinachi Nwachukwu aliyeshirikishwa wimbo wa ‘Ekwueme’ afariki dunia

Upo sahihi. Osinachi alianza pata mateso mapema sana alishawahi kurudi kwao kisa kipigo akiwa katoka kujifungua mtoto wa pili,ila mume na wapambe wakaenda kuomba msamaha kuwa kajirekebisha. Osinachi akarudi,tangia hapo akawa hasemi matatizo yanayompata huku akijipa matumaini ipo siku mume atabadilika

Just imagine anatimuliwa kupanda gari lake mwenyewe eti atembee kwa miguu au apande baiskeli

Wengi wanavumilia ndoa za mateso ili mradi aendelee kuonekana ana ndoa na kuogopa jamii itamsema vibaya
Nadhani pia alikuwa anampenda sana huyo jamaa, bila kuwepo penzi la kweli juu ya mwanaume fulani hakuna mwanamke ambae angevumilia mateso ya kiwango hicho, tena kwa pesa zake mwenyewe.

Hili swala la kuijuliza jamii itakuchukuliaje liwamaliza wanandoa wengi, na sio wanawake tu. Utasikia mume auliwa na mkewe kwa kupigwa na kitu chenye ncha kichwani akiwa usingizini, hayo hayaji suddenly ni matokeo ya hasira zenye malimbikizi ya muda mrefu.
 
You are the living God O!
Eze, no one like you

Dha, hii nyimbo nilikua napenda kuisikiliza asubuhi kabla sijatoka nyumbani. Ilikua inanifanya na kuwa na hofu ya mungu, iliniepusha sana na vishawishi vya dhambi

R.I.P
Sijawahi kuuchoka wimbo huu wa EKWUEME na una upako wa hali ya you sana na kwangu ni the best Gospel song ever...yaani ni my favourite track of all the time
 
Back
Top Bottom