TANZIA Nigeria: Sis Osinachi Nwachukwu aliyeshirikishwa wimbo wa ‘Ekwueme’ afariki dunia

Mungu amlaze mahali anapostahili
 
Tunwomba waziri anayekusika na mambo ya sanaa na burudani aiwakilishe nchi yetu 🇹🇿 Kwenye mazishi. Wimbo wake umeliwaza kuburudisha na kuleta hisia za ki Mungu miongoni mwa watanzania
 
Inavyosemekana sio kansa iliyomuua bali kipigo kutoka kwa mumewe alimpiga kifuani akawa kwenye life support mpaka umauti unamkuta. Katika ndoa yake amepitia vipigo na unyanyasaji toka kwa mumewe. Account za baadhi ya wanaijeria wamefunguka mengi ambayo tulikuwa hatujui
 
Duuuh ...account zipi hizo za wapopo nikasome mkuu
 
Aisee amepitia abuse za hatari sana, haya makanisa na msemo wa “watu watasema nini “yatawamaliza wanawake..
Mmewe amekamatwa, I hope justice will be served( ila ni africa, we can only hope)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…