sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Nchi nyingi za Ulaya zinapokea Waislamu wengi sana, si ajabu hata kuna mitaa ambayo ni ya Waislamu tu (Wakristo hawaruhusiwi).
Waislamu hujazana kwa hizi mbinu:
- Kuomba kuishi Ulaya, wengi hupewa ruhusa ya visa kwa sababu Nchini kwao kuna vita na maisha duni, wakifika Ulaya wanaita familia zao.
-Sheria dhaifu kwa wazamiaji - Nchi kama za Uingereza, Ufaransa, n.k hata ukizamia kiharamu sio kesi sana, kuna vyama vya siasa kibao vinalinda wahamiaji haramu na mashirika mengi yanatoa misaada kwa maharamia.
- Kuzaliana sana ili kuongeza idadi, waislam huwa na watoto 4 hadi 6 ila Wakristo wengi hasa wazungu huzaa mtoto moja tu, wengine hawana habari kabisa na ndoa wengine mashoga, n.k
- Kuoa mabinti wa Kikristo na kuwabadili dini.
- Kushawishi Wakristo kubadili dini wawe Waislamu, hili linafanikiwa mno, imefikia kipindi makanisa yanabomolewa na kugeuzwa misikiti.
Kwenye hesabu kuna kitu kinaitwa "compunding" ni swala la muda tu Ulaya itakuwa chini ya Waislamu.
Namba zinaongea, kwa sasa miji majiji kama London yana Waislam kibao na Mayor wa London ni Muislamu anapewa sapoti kubwa na Waislamu, kadri Ulaya itavyozidi kuwa na Waislamu wengi basi viongozi wengi watakuwa Waislamu na Ulaya itakuwa ya Kiislamu.
Waislamu hujazana kwa hizi mbinu:
- Kuomba kuishi Ulaya, wengi hupewa ruhusa ya visa kwa sababu Nchini kwao kuna vita na maisha duni, wakifika Ulaya wanaita familia zao.
-Sheria dhaifu kwa wazamiaji - Nchi kama za Uingereza, Ufaransa, n.k hata ukizamia kiharamu sio kesi sana, kuna vyama vya siasa kibao vinalinda wahamiaji haramu na mashirika mengi yanatoa misaada kwa maharamia.
- Kuzaliana sana ili kuongeza idadi, waislam huwa na watoto 4 hadi 6 ila Wakristo wengi hasa wazungu huzaa mtoto moja tu, wengine hawana habari kabisa na ndoa wengine mashoga, n.k
- Kuoa mabinti wa Kikristo na kuwabadili dini.
- Kushawishi Wakristo kubadili dini wawe Waislamu, hili linafanikiwa mno, imefikia kipindi makanisa yanabomolewa na kugeuzwa misikiti.
Kwenye hesabu kuna kitu kinaitwa "compunding" ni swala la muda tu Ulaya itakuwa chini ya Waislamu.
Namba zinaongea, kwa sasa miji majiji kama London yana Waislam kibao na Mayor wa London ni Muislamu anapewa sapoti kubwa na Waislamu, kadri Ulaya itavyozidi kuwa na Waislamu wengi basi viongozi wengi watakuwa Waislamu na Ulaya itakuwa ya Kiislamu.