Nigeria tayari, Uislamu unaenda kuimeza Ulaya, wakristo watakuwa dini ya upili

Nigeria tayari, Uislamu unaenda kuimeza Ulaya, wakristo watakuwa dini ya upili

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Nchi nyingi za Ulaya zinapokea Waislamu wengi sana, si ajabu hata kuna mitaa ambayo ni ya Waislamu tu (Wakristo hawaruhusiwi).

Waislamu hujazana kwa hizi mbinu:

- Kuomba kuishi Ulaya, wengi hupewa ruhusa ya visa kwa sababu Nchini kwao kuna vita na maisha duni, wakifika Ulaya wanaita familia zao.

-Sheria dhaifu kwa wazamiaji - Nchi kama za Uingereza, Ufaransa, n.k hata ukizamia kiharamu sio kesi sana, kuna vyama vya siasa kibao vinalinda wahamiaji haramu na mashirika mengi yanatoa misaada kwa maharamia.

- Kuzaliana sana ili kuongeza idadi, waislam huwa na watoto 4 hadi 6 ila Wakristo wengi hasa wazungu huzaa mtoto moja tu, wengine hawana habari kabisa na ndoa wengine mashoga, n.k

- Kuoa mabinti wa Kikristo na kuwabadili dini.

- Kushawishi Wakristo kubadili dini wawe Waislamu, hili linafanikiwa mno, imefikia kipindi makanisa yanabomolewa na kugeuzwa misikiti.

Kwenye hesabu kuna kitu kinaitwa "compunding" ni swala la muda tu Ulaya itakuwa chini ya Waislamu.

Namba zinaongea, kwa sasa miji majiji kama London yana Waislam kibao na Mayor wa London ni Muislamu anapewa sapoti kubwa na Waislamu, kadri Ulaya itavyozidi kuwa na Waislamu wengi basi viongozi wengi watakuwa Waislamu na Ulaya itakuwa ya Kiislamu.
 
Kirahisi tu hivyo?
Wazunu wengi wana mtoto 1 tu, waislamu ni watoto 4 hadi 6, na hapo bado wengine wanaendelea kwenda ulaya, mfano hapo majuzi wale wa Afghanistan maaelfu wapo uingereza na ujerumani kwa sasa, ni mwendo wa kuzaliana tu na kuwachorea ramani ndugu zao
 
hao waislam wanaweza kupunguzwa kwa style ya covid 19
Vyama vya siasa vinatafta mtaji wa kura za uhakika kupitia uislamu, hivyo vyama vinalinda sana waislamu na hata wakija kwa njia za panya wanapewa uraia....

Mfano kwa sasa jiji la london, Mayor wake ni muislamu na anapendwa sana na waislamu wengi, huu ni mwanzo tu, kuni zinachochewa moto.
 
Sasa ww hao waislamu wakijazana huko Ulaya au Marekani na kuzidi idadi ya wakristo binafsi inakusaidia kitu gani? Watu huwajui na Wala hawakujui kwann ushughulike na maisha yao?

Hizi dini zingine theory zake zikiwajaa sana kwenye ubongo zinawapekea kuwaza ujinga ujinga muda mwingi.
 
Ni mkakati kabisa kabisa wa islamic religion kuiteka ulaya na marekani kwa studies zao wanasema mpaka 2050 the whole of europe na america about 90% itakuwa islam njia wanazotumia ni
Migration
Kuzaliana sana ili kuongeza idadi
Kuoa mabinti wa kikristo na kuwabadili dini
 
Ni mkakati kabisa kabisa wa islamic religion kuiteka ulaya na marekani kwa studies zao wanasema mpaka 2050 the whole of europe na america about 90% itakuwa islam njia wanazotumia ni
Migration
Kuzaliana sana ili kuongeza idadi
Kuoa mabinti wa kikristo na kuwabadili dini
Na kuzaana kote Kenya waislamu hawafiki 15%
 
Ni mkakati kabisa kabisa wa islamic religion kuiteka ulaya na marekani kwa studies zao wanasema mpaka 2050 the whole of europe na america about 90% itakuwa islam njia wanazotumia ni
Migration
Kuzaliana sana ili kuongeza idadi
Kuoa mabinti wa kikristo na kuwabadili dini
Kuna Aya kwenye Qur'an Inasema 'mwenyezi mungu ni fundi wa kugeuza vitimbi'
 
Back
Top Bottom