Nigeria tayari, Uislamu unaenda kuimeza Ulaya, wakristo watakuwa dini ya upili

Nigeria tayari, Uislamu unaenda kuimeza Ulaya, wakristo watakuwa dini ya upili

Nchi nyingi za ulaya zinapokea waislamu wengi sana, si ajabu hata kuna mitaa ambayo ni ya waislamu tu (wakristo hawaruhusiwi)

waislamu hujazana kwa hizi mbinu

- Kuomba kuishi ulaya, wengi hupewa ruhusa ya visa kwasababu nchini kwao kuna vita na maisha duni, wakifika ulaya wanaita familia zao.

-Sheria dhaifu kwa wazamiaji - nchi kama za uingereza, ufaransa, n.k hata ukizamia kiharamu sio kesi sana, kuna vyama vya siasa kibao vinalinda wahamiaji haramu na mashirika mengi yanatotoa misaada kwa maharamia.

- Kuzaliana sana ili kuongeza idadi, waislam huwa na watoto 4 hadi 6 ila wakristo wengi hasa wazungu huzaa mtoto moja tu, wengine hawana habari kabisa na ndoa wengine mashoga, n.k

- Kuoa mabinti wa kikristo na kuwabadili dini

- kushawishi wakristo kubadili dini wawe waislamu, hili linafanikiwa mno, imefikia kipindi makanisa yanabomolewa na kugeuzwa misikiti

Kwenye hesabu kuna kitu kinaitwa "compunding" ni swala la muda tu ulaya itakuwa chini ya waislamu,

Namba zinaongea, kwa sasa miji majiji kama London yana waislam kibao na Mayor wa London ni muislamu anaepewa sapoti kubwa na waislamu, kadri ulaya itavyozidi kuwa na waislamu wengi basi viongozi wengi watakuwa waislamu na ulaya itakuwa ya kiislamu.
Kuongezea tuu USA idadi kwa asilimia kwa sasa ni sawa na ya Wayahudi ambao walianza kufika huko karne nyingi zilizopita
Mwaka huu misikiti mipya imejengwa kutokana na uhitaji Bueno Aires,La Paz na Bogota
Mwenyezi Mungu Mkubwa
 
Mpinga Kristi anapinga nini!?..Kama waislam ndiyo mpinga kristo mbona Imani yao haipingi kristo!!...wanaamini kazaliwa kwa uwezo wa mungu na mwanamke bikira,alikua alifanya maajabu,alikua akitawadha kabla ya kuswali Kama waislam,akisujudu Kama waislam

Waislamu wanaamini yesu (isa) na sio concept ya christ (kristo). Kwamba ni messiah wa mungu alieletwa kuwakomboa wanadamu na dhambi zao.waislamu hawaamini kwamba yesu ni masiah wa mungu kwao yesu ni binadamu wa kawaida na atakufa kama binadamu wengine siku ya mwisho. Kwa hiyo christ concept ni kitu ambacho hawakubaliani nacho kabisa hivyo hao ni Antichrist.
IMG_0307.jpg
 
Waislamu wanaamini yesu (isa) na sio concept ya christ (kristo). Kwamba ni messiah wa mungu alieletwa kuwakomboa wanadamu na dhambi zao.waislamu hawaamini kwamba yesu ni masiah wa mungu kwao yesu ni binadamu wa kawaida na atakufa kama binadamu wengine siku ya mwisho. Kwa hiyo christ concept ni kitu ambacho hawakubaliani nacho kabisa hivyo hao ni Antichrist.View attachment 2241052
Qur'an 5:17 wamekufuru wanaosema hakika ni mungu MASIHI mwana wa Maryam...tafuta jingine lakini siyo umasihi wa yesu,muwe mnasoma siyo kufuata mnayosimuliwa na watu
 
Ndivyo älivyokuambia Yohana asiye Na Baba wala kujulikana?
Hizo nazo ni mikelele ya mlango ambazo hazinizuii mini Mwenye nyumba kupata usingizi mnono[emoji42][emoji38][emoji38]
 
Hizo nazo ni mikelele ya mlango ambazo hazinizuii mini Mwenye nyumba kupata usingizi mnono[emoji42][emoji38][emoji38]

Sasa tuambie huyo Yohanna ni Yohana yupi ?
Na utupe ushahidi wa majibu yako.

Ulete ushahidi wa Kuvuviwa

Kupata usingizi, Nani alikuleta hapa ? usingalikuja JF
Ungeedelea kulala Kanisani
 
Dola pesa au unamaanisha nini?

Nabii Daniel alioneshwa Tawala zote zinazopita duniani had Tawala ya mwisho ,

Haya Mambo huwez kuyakuta kwenye Quran hata kidogo
 

Attachments

  • images (7).jpeg
    images (7).jpeg
    22.9 KB · Views: 9
Dola pesa au unamaanisha nini?

Nabii Daniel alioneshwa Tawala zote zinazopita duniani had Tawala ya mwisho ,

Haya Mambo huwez kuyakuta kwenye Quran hata kidogo

Biblia ipi utakuta hiyo picha uliyoleta?
 
Nchi nyingi za ulaya zinapokea waislamu wengi sana, si ajabu hata kuna mitaa ambayo ni ya waislamu tu (wakristo hawaruhusiwi)

waislamu hujazana kwa hizi mbinu

- Kuomba kuishi ulaya, wengi hupewa ruhusa ya visa kwasababu nchini kwao kuna vita na maisha duni, wakifika ulaya wanaita familia zao.

-Sheria dhaifu kwa wazamiaji - nchi kama za uingereza, ufaransa, n.k hata ukizamia kiharamu sio kesi sana, kuna vyama vya siasa kibao vinalinda wahamiaji haramu na mashirika mengi yanatotoa misaada kwa maharamia.

- Kuzaliana sana ili kuongeza idadi, waislam huwa na watoto 4 hadi 6 ila wakristo wengi hasa wazungu huzaa mtoto moja tu, wengine hawana habari kabisa na ndoa wengine mashoga, n.k

- Kuoa mabinti wa kikristo na kuwabadili dini

- kushawishi wakristo kubadili dini wawe waislamu, hili linafanikiwa mno, imefikia kipindi makanisa yanabomolewa na kugeuzwa misikiti

Kwenye hesabu kuna kitu kinaitwa "compunding" ni swala la muda tu ulaya itakuwa chini ya waislamu,

Namba zinaongea, kwa sasa miji majiji kama London yana waislam kibao na Mayor wa London ni muislamu anaepewa sapoti kubwa na waislamu, kadri ulaya itavyozidi kuwa na waislamu wengi basi viongozi wengi watakuwa waislamu na ulaya itakuwa ya kiislamu.

Si kama unavyofikiria.

Wachache sana kwenye kisazi cha pili ya hao Wakimbizi ndio wanaofuata Uislamu. Wazungu wameshapiga mahesabu.
 
huwezi kuizuia dini ya kislaamu kukua fanya utakalo lakini huwezi kuizuia nyerere aliunda bakwata kuimaliza nguvu uislamu lakini wapi
 
Nchi nyingi za ulaya zinapokea waislamu wengi sana, si ajabu hata kuna mitaa ambayo ni ya waislamu tu (wakristo hawaruhusiwi)

waislamu hujazana kwa hizi mbinu

- Kuomba kuishi ulaya, wengi hupewa ruhusa ya visa kwasababu nchini kwao kuna vita na maisha duni, wakifika ulaya wanaita familia zao.

-Sheria dhaifu kwa wazamiaji - nchi kama za uingereza, ufaransa, n.k hata ukizamia kiharamu sio kesi sana, kuna vyama vya siasa kibao vinalinda wahamiaji haramu na mashirika mengi yanatotoa misaada kwa maharamia.

- Kuzaliana sana ili kuongeza idadi, waislam huwa na watoto 4 hadi 6 ila wakristo wengi hasa wazungu huzaa mtoto moja tu, wengine hawana habari kabisa na ndoa wengine mashoga, n.k

- Kuoa mabinti wa kikristo na kuwabadili dini

- kushawishi wakristo kubadili dini wawe waislamu, hili linafanikiwa mno, imefikia kipindi makanisa yanabomolewa na kugeuzwa misikiti

Kwenye hesabu kuna kitu kinaitwa "compunding" ni swala la muda tu ulaya itakuwa chini ya waislamu,

Namba zinaongea, kwa sasa miji majiji kama London yana waislam kibao na Mayor wa London ni muislamu anaepewa sapoti kubwa na waislamu, kadri ulaya itavyozidi kuwa na waislamu wengi basi viongozi wengi watakuwa waislamu na ulaya itakuwa ya kiislamu.
Jambo moja ulisahau , Ulaya makanisa yameruhusu ndoa Za wasenge, matokeo yake uzazi umepungua sana na wenyewe wanazalishana mavi.
 
Una tatizo kwani ukristo ukiwa dini ya upili?
 
huwezi kuizuia dini ya kislaamu kukua fanya utakalo lakini huwezi kuizuia nyerere aliunda bakwata kuimaliza nguvu uislamu lakini wapi
Kweli, maana kwa jihad na kujitoa mhanga, uislam utaenea popote duniani.
 
Hata dunia nzima wangeslim na kuwa Waislam wapo Wakristo wachache watakaobaki,(Mathayo24:13-14)
Wakristo watakaobaki ni wale ambao wako tayari kufa kwa ajili ya Jina la Yesu! Hawa ndio tangu Yesu arudi Mbinguni wamepitia mateso makali na wanaendelea kupitia vipindi vigumu vya mateso hadi leo! Hawa ndio Yesu atapokuja atawachukua mbinguni,(1 Wathesalonike 4:13-17),kabla Mungu hajaiadhibu dunia kwa kipindi cha miaka 7 (DHIKI KUU).Ole ni kwa wale watakaobaki duniani,(Ufunuo6:15-17)(Ufunuo9:12)(Mathayo24:21-22).
Mkuu tujitahidi sana tuingie ule Mlango mwembamba kabla parapanda haijalia,(Luka13:24-28)
MUNGU ATUSAIDIE!
 
Back
Top Bottom