Nigeria tayari, Uislamu unaenda kuimeza Ulaya, wakristo watakuwa dini ya upili

Nigeria tayari, Uislamu unaenda kuimeza Ulaya, wakristo watakuwa dini ya upili

Yesu ni Mungu Kamili na ni Mwanadamu Kamili!
Yesu Aliongea kuhusu Kutumwa Alipokuwa katika Hali yake ya Ubinadamu Kamili!
[emoji116][emoji116]

Yohana 1
1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

Ratiba ya Huduma ya Yesu duniani Ilikuwa hivi kabla ya Ufufuko!
[emoji116][emoji2535][emoji116][emoji2535]
Isaya 49
6 naam, asema hivi, Ni neno dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu ili kuziinua kabila za Yakobo, na kuwarejeza watu wa Israeli waliohifadhiwa; zaidi ya hayo nitakutoa uwe nuru ya mataifa, upate kuwa wokovu wangu hata miisho ya dunia.

Baada ya Ufufuko!
[emoji116][emoji2535][emoji116][emoji2535]
Mathayo 28
16 Na wale wanafunzi kumi na mmoja wakaenda Galilaya mpaka mlima ule aliowaagiza Yesu.

17 Nao walipomwona, walimsujudia; lakini baadhi yao waliona shaka.

18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;

20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.View attachment 2234652
Da mgen!!
JamiiForums-726556413.jpg
 
Nchi nyingi za ulaya zinapokea waislamu wengi sana, si ajabu hata kuna mitaa ambayo ni ya waislamu tu (wakristo hawaruhusiwi)

waislamu hujazana kwa hizi mbinu

- Kuomba kuishi ulaya, wengi hupewa ruhusa ya visa kwasababu nchini kwao kuna vita na maisha duni, wakifika ulaya wanaita familia zao.

-Sheria dhaifu kwa wazamiaji - nchi kama za uingereza, ufaransa, n.k hata ukizamia kiharamu sio kesi sana, kuna vyama vya siasa kibao vinalinda wahamiaji haramu na mashirika mengi yanatotoa misaada kwa maharamia.

- Kuzaliana sana ili kuongeza idadi, waislam huwa na watoto 4 hadi 6 ila wakristo wengi hasa wazungu huzaa mtoto moja tu, wengine hawana habari kabisa na ndoa wengine mashoga, n.k

- Kuoa mabinti wa kikristo na kuwabadili dini

- kushawishi wakristo kubadili dini wawe waislamu, hili linafanikiwa mno, imefikia kipindi makanisa yanabomolewa na kugeuzwa misikiti

Kwenye hesabu kuna kitu kinaitwa "compunding" ni swala la muda tu ulaya itakuwa chini ya waislamu,

Namba zinaongea, kwa sasa miji majiji kama London yana waislam kibao na Mayor wa London ni muislamu anaepewa sapoti kubwa na waislamu, kadri ulaya itavyozidi kuwa na waislamu wengi basi viongozi wengi watakuwa waislamu na ulaya itakuwa ya kiislamu.
Wanaomba kuishi Ulaya kisha wanajilipua baada ya kuona maisha ya kule yanatofautiana na ya kwao. Waislam wana matatizo sana na ndiyo maana wanachukiwa Marekani na Ulaya
 
Ukileta andiko kwenye Qur'an Muhammad alikula tende,nitakuletea Hilo alilokatwa govi
Ulizungumzia govi na ukatoa ushahidi kwenye biblia Yesu alikatwa govi, Mimi nataka andiko Allah akisema muhammad alikatwa govi
 
Ulizungumzia govi na ukatoa ushahidi kwenye biblia Yesu alikatwa govi, Mimi nataka andiko Allah akisema muhammad alikatwa govi
Akili ndogo,ukileta andiko toka quran Muhammad alikula tende nitakuletea alikatwa govi
 
Akili ndogo,ukileta andiko toka quran Muhammad alikula tende nitakuletea alikatwa govi
Yesu umeweza kuleta andiko haraka sana na kuthibitisha alikatwa govi ila Muhammad unashindwa? hatuongelei tende hapa
 
Yesu umeweza kuleta andiko haraka sana na kuthibitisha alikatwa govi ila Muhammad unashindwa? hatuongelei tende hapa
Uwezo wako wa kufikiri mdogo,kukataa govi na kula tense ni utamaduni wa watu wa mashariki ya Kati,hawakuhitaji maandiko kuwaambia
 
Ogopa sana jina linaloponya, ogopa sana damu inayonena ndugu - utahangaika sana huko na huko lakini ukweli ni kwamba ni nguvu kuiona ahera kama hutamkili Yesu Kristo kama mesiya na mwana pekee wa Mungu.
 
Umewahi kusikia Yesu akisema watu waongezeke kwa kuzaliana?kuzaliwa kwenye ukristo hakukupi fursa ya kuwa mkristo
 
Una uwezo mdogo Sana wa kufikiri..na hivyo kujenga hoja!
Wewe ndio uwezo mdogo , Umesema Yesu Kakatwa govi na andiko liko wazi mpaka umri gani , Nimekuuliza swali dogo sana leta andiko Muhammad alikatwa govi , wewe unakimbilia tende , tende inahusiana vipi na tohara,
  • Matendo 7:8 Halafu Mungu akafanya naye agano ambalo tohara ni ishara yake. Hivyo, Abrahamu alimtahiri mtoto wake Isaka siku ya nane baada ya kuzaliwa....
  • Luk 2;21Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu,
Cha msingi umeshindwa kuweka aya Muhammad kupata huduma ya tohara , ndio nimekwambia tumefunga mada
 
Si nilikuuliza Kama alikuphila Hadi ukajua ni Govinda,hukunijibu umekua vipi Kama ni Govinda..narudia Tena,alikuphila Hadi ukajua kuwa alikua govi!?
ww ni kafiri tu[emoji849][emoji2957]
Ungekuwa muumini umgefuata maagizo haya ya Mungu wako
[emoji1484][emoji1484]
ادْعُ إِلَىٰ سَبِيلِ رَبِّكَ بِالْحِكْمَةِ
وَالْمَوْعِظَةِ الْحَسَنَةِ ۖ وَجَادِلْهُم بِالَّتِي هِيَ أَحْسَنُ ۚ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِ ۖ وَهُوَ أَعْلَمُ بِالْمُهْتَدِينَ

[ AN NAH'L - 125 ]
Waite waelekee kwenye Njia ya Mola wako Mlezi kwa hikima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka.

Au kwa kwa vile hii deen ni ya warabu sio yako ndio sababu unaichafua??
[emoji1484][emoji1484]
وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ

[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Mji wa makka na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.

Kama matusi tunayajua sana!
Tafadhali usifanye zoezi la kujamba huku una tumbo la uharo dogo!
 
ww ni kafiri tu[emoji849][emoji2957]
Ungekuwa muumini umgefuata maagizo haya ya Mungu wako
[emoji1484][emoji1484]
ادْعُ إِلَىٰ سَبِيلِ رَبِّكَ بِالْحِكْمَةِ
وَالْمَوْعِظَةِ الْحَسَنَةِ ۖ وَجَادِلْهُم بِالَّتِي هِيَ أَحْسَنُ ۚ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِ ۖ وَهُوَ أَعْلَمُ بِالْمُهْتَدِينَ

[ AN NAH'L - 125 ]
Waite waelekee kwenye Njia ya Mola wako Mlezi kwa hikima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka.

Au kwa kwa vile hii deen ni ya warabu sio yako ndio sababu unaichafua??
[emoji1484][emoji1484]
وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ

[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Mji wa makka na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.

Kama matusi tunayajua sana!
Tafadhali usifanye zoezi la kujamba huku una tumbo la uharo dogo!
Nakua kafiri na hapohapo Qur'an inakua maagizo ya mungu wangu!!!..unajua unachokizungumza!?...jua kiarabu kwanza ili uijue Qur'an iliyoteremshwa kwa lugha ya kiarabu
 
Wewe ndio uwezo mdogo , Umesema Yesu Kakatwa govi na andiko liko wazi mpaka umri gani , Nimekuuliza swali dogo sana leta andiko Muhammad alikatwa govi , wewe unakimbilia tende , tende inahusiana vipi na tohara,
  • Matendo 7:8 Halafu Mungu akafanya naye agano ambalo tohara ni ishara yake. Hivyo, Abrahamu alimtahiri mtoto wake Isaka siku ya nane baada ya kuzaliwa....
  • Luk 2;21Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu,
Cha msingi umeshindwa kuweka aya Muhammad kupata huduma ya tohara , ndio nimekwambia tumefunga mada
Uelewa wako juu ya neno utamaduni ni finyu,utamaduni unajumlisha na vyakula,nikaileta tense kwa sababu ni chakula Cha mashariki ya Kati,yaani utamaduni Kama kukata govi
 
Uelewa wako juu ya neno utamaduni ni finyu,utamaduni unajumlisha na vyakula,nikaileta tense kwa sababu ni chakula Cha mashariki ya Kati,yaani utamaduni Kama kukata govi
Huo sio utamaduni ni Agano kati ya Mungu na Abrahamu , sio mambo ya tende hayo
Matendo 7:8 Halafu Mungu akafanya naye agano ambalo tohara ni ishara yake. Hivyo, Abrahamu alimtahiri mtoto wake Isaka siku ya nane baada ya kuzaliwa....

Leta aya Muhammad kapata tohara, mpaka sasa anaendelea kuwa govinda
 
Huo sio utamaduni ni Agano kati ya Mungu na Abrahamu , sio mambo ya tende hayo
Matendo 7:8 Halafu Mungu akafanya naye agano ambalo tohara ni ishara yake. Hivyo, Abrahamu alimtahiri mtoto wake Isaka siku ya nane baada ya kuzaliwa....

Leta aya Muhammad kapata tohara, mpaka sasa anaendelea kuwa govinda
Na tohara wakifanya waisrael tu!?..duniani kote!!
 
Na tohara wakifanya waisrael tu!?..duniani kote!!
Ndio maana nimeomba andiko Muhammad akipata huduma ya tohari ili tujue na wapagani walikuwa wanakata govi, au ata andiko akiwa mtu mzima baada ya kupokea dini ya kiislamu kama alikatwa govi
 
Back
Top Bottom