Nigeria yawazimia umeme Niger kama kikwazo cha ECOWAS

Nigeria yawazimia umeme Niger kama kikwazo cha ECOWAS

Nigeria wangese sana. Ukiangalia hii picha yote anatuchezesha mfaransa kwa niaba yake.
Tatizo la Ufaransa ni la Niger na wananchi wake sio la Nigeria

Kinachotakiwa ni wananchi wa Niger wajitawale wao kwa matakwa yao wao kwa kupigia kura wanaemtaka awaongoze na muda wake ukiisha waweke mwingine wanaemtaka

Tatizo la jeshi ni kwamba anaejisikia ana mapafu huko jeshini kwa hiyari yake na kwa lazima ana-impose himself on citizens by force bila kupigiwa kura wala nini,maana yake the citizens didnt elect him,hivyo by default huyo ni haramu.

Kibaya zaidi huyu Traore aliejiingiza madarakani kwa uamuzi wake binafsi wananchi wakimchoka watamuondoaje kwa amani?Hakuna military dictator anaondoka kwa amani ni lazima damu imwagike,

Hii system ya mtu kujiamulia yeye ni rais na kutawala watu kwa lazima yake sio system

Akiachwa huu mtindo utaenea na nchi zote zitatawaliwa na watu kutoka jeshi kwa mapinduzi na kuwaondoa haiwezekani mpaka kwa hiyari yake

Nchi haziendeshwi kwa hiyari ya mtu mmoja,zinaendeshwa kwa mifumo,na mfumo tulijichagulia ni wa Kidemokrasia

ECOWAS ina haki ya kufukuza military dictators wote wananchi wajichagulie viongozi wao kwa mifumo ya kikatiba na sio huu ujinga wa mtu mmoja

In a long term view hii inakaribisha mapinduzi nchi zingine zote,mifumo ya kikatiba inaondoka,democrasia inaondoka,inabaki utashi wa lijitu limoja lililojiamulia huko jeshini


Haijalishi huyo mwanajeshi ana nia njema kiasi gani,mtindo huu ukileta dikteta mbaya kama Idd Amini,mtamuondoaje maana hakuna kitu kinaitwa katiba wala uchaguzi?


ECOWAS fukuza huu ujinga kabisa
 
Tatizo la Ufaransa ni la Niger na wananchi wake sio la Nigeria

Kinachotakiwa ni wananchi wa Niger wajitawale wao kwa matakwa yao wao kwa kupigia kura wanaemtaka awaongoze na muda wake ukiisha waweke mwingine wanaemtaka

Tatizo la jeshi ni kwamba anaejisikia ana mapafu huko jeshini kwa hiyari yake na kwa lazima ana-impose himself on citizens by force bila kupigiwa kura wala nini,maana yake the citizens didnt elect him,hivyo by default huyo ni haramu.

Kibaya zaidi huyu Traore aliejiingiza madarakani kwa uamuzi wake binafsi wananchi wakimchoka watamuondoaje kwa amani?Hakuna military dictator anaondoka kwa amani ni lazima damu imwagike,

Hii system ya mtu kujiamulia yeye ni rais na kutawala watu kwa lazima yake sio system

Akiachwa huu mtindo utaenea na nchi zote zitatawaliwa na watu kutoka jeshi kwa mapinduzi na kuwaondoa haiwezekani mpaka kwa hiyari yake

Nchi haziendeshwi kwa hiyari ya mtu mmoja,zinaendeshwa kwa mifumo,na mfumo tulijichagulia ni wa Kidemokrasia

ECOWAS ina haki ya kufukuza military dictators wote wananchi wajichagulie viongozi wao kwa mifumo ya kikatiba na sio huu ujinga wa mtu mmoja

In a long term view hii inakaribisha mapinduzi nchi zingine zote,mifumo ya kikatiba inaondoka,democrasia inaondoka,inabaki utashi wa lijitu limoja lililojiamulia huko jeshini


Haijalishi huyo mwanajeshi ana nia njema kiasi gani,mtindo huu ukileta dikteta mbaya kama Idd Amini,mtamuondoaje maana hakuna kitu kinaitwa katiba wala uchaguzi?


ECOWAS fukuza huu ujinga kabisa
Ecowas ni shirikisho la kise,nge ndio maana wase.nge wa Ulaya na Marekani na wengine wa Afrika wanalipenda sana.
 
Tatizo la Ufaransa ni la Niger na wananchi wake sio la Nigeria

Kinachotakiwa ni wananchi wa Niger wajitawale wao kwa matakwa yao wao kwa kupigia kura wanaemtaka awaongoze na muda wake ukiisha waweke mwingine wanaemtaka

Tatizo la jeshi ni kwamba anaejisikia ana mapafu huko jeshini kwa hiyari yake na kwa lazima ana-impose himself on citizens by force bila kupigiwa kura wala nini,maana yake the citizens didnt elect him,hivyo by default huyo ni haramu.

Kibaya zaidi huyu Traore aliejiingiza madarakani kwa uamuzi wake binafsi wananchi wakimchoka watamuondoaje kwa amani?Hakuna military dictator anaondoka kwa amani ni lazima damu imwagike,

Hii system ya mtu kujiamulia yeye ni rais na kutawala watu kwa lazima yake sio system

Akiachwa huu mtindo utaenea na nchi zote zitatawaliwa na watu kutoka jeshi kwa mapinduzi na kuwaondoa haiwezekani mpaka kwa hiyari yake

Nchi haziendeshwi kwa hiyari ya mtu mmoja,zinaendeshwa kwa mifumo,na mfumo tulijichagulia ni wa Kidemokrasia

ECOWAS ina haki ya kufukuza military dictators wote wananchi wajichagulie viongozi wao kwa mifumo ya kikatiba na sio huu ujinga wa mtu mmoja

In a long term view hii inakaribisha mapinduzi nchi zingine zote,mifumo ya kikatiba inaondoka,democrasia inaondoka,inabaki utashi wa lijitu limoja lililojiamulia huko jeshini


Haijalishi huyo mwanajeshi ana nia njema kiasi gani,mtindo huu ukileta dikteta mbaya kama Idd Amini,mtamuondoaje maana hakuna kitu kinaitwa katiba wala uchaguzi?


ECOWAS fukuza huu ujinga kabisa
Mfumo wa Kidemokrasia mlijichagulia wewe na nani ?

Kabla ya kuja mabwana zenu wakoloni, tawala karibia zote za Afrika zilikuwa zinaongozwa na wafalme au Malkia. Uliona wapi mfalme anapigiwa kura.
 
Jicho jingine inawezekana naijeria inachochea ili mfaransa achukiee zaidi hapo nijer na kanda nzima.

Itakua wamenusq yeye ndio sababu ya kutokutulia Kwa kanda. Hizi ishu huwa zinakuaga zimesukwa hasa.
 
Ecowas ni shirikisho la kise,nge ndio maana wase.nge wa Ulaya na Marekani na wengine wa Afrika wanalipenda sana.
Sijakuelewa

Una evidence gani ya kusema ECOWAS ni shirikisho la kisenge na EAC au SADCC sio mashirikisho ya kisenge?

Na umetumia hoja gani kutoa hiyo hukumu?

Mkuu,tunachotaka ni mfumowa kuingiza mtu na kumtoa madarakani bila hiyari au utashi wa mtu mmoja

Traore,una uhakika gani atatoka madarakani?Kwa sheria ipi au demokrasia ipi inambana?Hakuna,ni mpaka yeye "huruma" yake binafsi,na tukifika hapo hatuna nchi wala hatuna mfumo hapo tuna upumbavu
 
Sijakuelewa

Una evidence gani ya kusema ECOWAS ni shirikisho la kisenge na EAC au SADCC sio mashirikisho ya kisenge?

Na umetumia hoja gani kutoa hiyo hukumu?

Mkuu,tunachotaka ni mfumowa kuingiza mtu na kumtoa madarakani bila hiyari au utashi wa mtu mmoja

Traore,una uhakika gani atatoka madarakani?Kwa sheria ipi au demokrasia ipi inambana?Hakuna,ni mpaka yeye "huruma" yake binafsi,na tukifika hapo hatuna nchi wala hatuna mfumo hapo tuna upumbavu
Ecowas haipo ku serve interest za wananchi wa nchi wanachama, since time immemorial Ecowas inafanya kazi kubwa ya kuzirudisha madarakani tawala za kihuni ambazo kwa namna moja au nyingine huingia madarakani kuja kulinda maslahi ya nchi magharibi ambazo zimeendelea kuzinyonya nchi za kìafrica huku wananchi wakiendelea kuteseka
 
Mfumo wa Kidemokrasia mlijichagulia wewe na nani ?

Kabla ya kuja mabwana zenu wakoloni, tawala karibia zote za Afrika zilikuwa zinaongozwa na wafalme au Malkia. Uliona wapi mfalme anapigiwa kura.
Mkuu

Naomba tuelewane

As human beings tuna evolve from barbaric way of living and way of governing ourselves

Beyond anything else mfumo wa kidemokrasia ni best method for human beings organizing and governing themselves.

Kila kitu unadhani Westerners ndio wameanzisha,mfumo wa demokrasia ulianza Greece karne nyingi kabla ya kwenda Europe,ambapo Europe yote ilitawaliwa na Wafalme kama huku kwetu Africa.

Usije wasingizia Westerners kila kitu.

By the way yaani kwa definition yako anything coming from the West ni kibaya?

Like really?

Kwahiyo mbadala wa Democracy ni kenge yeyote anaejisikia huko jeshini na kabunduki kake achukue madaraka kwa hiyari yake na kutoka madarakani ni mpaka huruma yake binafsi?

Katiba haina maana tena chenye maana ni mapumbavu yaliyofeli form four yaliyopo jeshini ndio yaanze kututawala bila hiyari yetu?

Demokrasia ina mapungufu yake makubwa,ila dictatorship ni more lethal than anything

hebu tuache kushabikia upumbavu
 
Ecowas haipo ku serve interest za wananchi wa nchi wanachama, since time immemorial Ecowas inafanya kazi kubwa ya kuzirudisha madarakani tawala za kihuni ambazo kwa namna moja au nyingine huingia madarakani kuja kulinda maslahi ya nchi magharibi ambazo zimeendelea kuzinyonya nchi za kìafrica huku wananchi wakiendelea kuteseka
Hizi ni tuhuma,udhibitisho huna

ECOWAS ina wanachama 13

Nchi 13 zimekaa kitako ku-save kuingiza serikali za hovyo kwenye serikali za wanachama hao hao 13?

Yaani marais 13 wamekaa kitako kubadilishiana waweke marais wabovu kwenye nchi zao hizo hizo?

Your reasoning is very flawed!

Huenda ECOWAS inaweza tumika na West to push western agenda na kumbuka hiyo hiyo inaweza kutumika na China au Russia to push their agendas as well

Proof kwamba wanapush which agenda ni hard to prove

Majeshi yanachukua nchi wanachama kwa lazima bila kupigiwa kura halafu ECOWAS ikae kimya?

Kwahiyo mifumo sahihi ni mifumo ya majinga ya jeshini kuchukua madaraka kwa lazima wanapojisikia bila ruksa ya wananchi?

Hilo halitawezekana,ni lazima katiba ya hizo nchi zihemike na demokrasia iheshiwe regardless rais alieko madarakani ni mbaya kiasi gani maana miaka yake mitano ikiisha ataondolewa kwa amani

Au kama miaka mitano ni mingi sana wananchi wana ruhusa ya kumtoa kwa kufanya civil revolution na sio militarya coupe-de-tat ya kvma mmoja huko jeshini anajiamulia leo nataka kua rais then anakua rais kisenge tu

Unalalamikia nchi za magharibi yaani as if nchi za east ni malaika,wakati na wao wana maslahi yao tena wana hadi majeshi ya Wagner huko huko

Hakuna cha urafiki na yeyote,sio West wala East maana naona unataja west as if huoni East!

Na chaguzi kuingiliwa au kufanyika vibaya ni democratic process ambapo zina grow mwaka hadi mwaka kuanzia kua na katiba bora,bunge bora then executive bora

Kingine kwa taarifa yako Marekani imeingiza madarakani zaidi military dictators huku Africa zaidi kuliko waliochaguliwa na wananchi...

The being ni harder ku-control electoral process

Mimi nakushangaa kuona solution ya democratic processes yatatuliwe na military dictatorship,yaani ni kuleta mavi mezani
 
Sijakuelewa

Una evidence gani ya kusema ECOWAS ni shirikisho la kisenge na EAC au SADCC sio mashirikisho ya kisenge?

Na umetumia hoja gani kutoa hiyo hukumu?

Mkuu,tunachotaka ni mfumowa kuingiza mtu na kumtoa madarakani bila hiyari au utashi wa mtu mmoja

Traore,una uhakika gani atatoka madarakani?Kwa sheria ipi au demokrasia ipi inambana?Hakuna,ni mpaka yeye "huruma" yake binafsi,na tukifika hapo hatuna nchi wala hatuna mfumo hapo tuna upumbavu
Hivi ww unajua unachokiongea au inajua unachokiandika au unaandika tu kisa una smartphone ya kuingia JF. Au kisa umesoma history ya kubumba ile ya darasani take care rudi darasani mkuu
 
Mkuu

Naomba tuelewane

As human beings tuna evolve from barbaric way of living and way of governing ourselves

Beyond anything else mfumo wa kidemokrasia ni best method for human beings organizing and governing themselves.

Kila kitu unadhani Westerners ndio wameanzisha,mfumo wa demokrasia ulianza Greece karne nyingi kabla ya kwenda Europe,ambapo Europe yote ilitawaliwa na Wafalme kama huku kwetu Africa.

Usije wasingizia Westerners kila kitu.

By the way yaani kwa definition yako anything coming from the West ni kibaya?

Like really?

Kwahiyo mbadala wa Democracy ni kenge yeyote anaejisikia huko jeshini na kabunduki kake achukue madaraka kwa hiyari yake na kutoka madarakani ni mpaka huruma yake binafsi?

Katiba haina maana tena chenye maana ni mapumbavu yaliyofeli form four yaliyopo jeshini ndio yaanze kututawala bila hiyari yetu?

Demokrasia ina mapungufu yake makubwa,ila dictatorship ni more lethal than anything

hebu tuache kushabikia upumbavu
We jamaa nimekwambia acha kutupatia story za wazungu zilizotungwa zikawekwe shuleni za kiafrika kuwazuga fuatilia historia ya africa ya ukweli utajua vizuri mambo yakoje
Hivi ww duniani hapa nchi zote zilizoendelea hazitumii mfumo wa democrasia hata hiyo marekani unayoiona kwa jicho la kwaida utaona inatumia democrasia ila kwa jicho la kijasusi pale hamna democrasia soma saana mkuu naona unakuwa mchanga sana kwenye historia. Nchi nyingi zilzo na democrasia hazina maendeleo.
Rwanda tu hapa imejificha kwenye democrasia ila ni dictatorship iliyokomaa ona tu maendeleo yake. all in all democrasia inachelewesha sana maendeleo hasa afrika.
 
Hivi ww unajua unachokiongea au inajua unachokiandika au unaandika tu kisa una smartphone ya kuingia JF. Au kisa umesoma history ya kubumba ile ya darasani take care rudi darasani mkuu
Ni vizuri ukapambana na hoja nilizoweka mezani kuliko kuanza vitisho eti watu wasiandike chochote sababu umeamua wewe!
 
Back
Top Bottom