Nigeria yawazimia umeme Niger kama kikwazo cha ECOWAS

Nigeria yawazimia umeme Niger kama kikwazo cha ECOWAS

We jamaa nimekwambia acha kutupatia story za wazungu zilizotungwa zikawekwe shuleni za kiafrika kuwazuga fuatilia historia ya africa ya ukweli utajua vizuri mambo yakoje
Hivi ww duniani hapa nchi zote zilizoendelea hazitumii mfumo wa democrasia hata hiyo marekani unayoiona kwa jicho la kwaida utaona inatumia democrasia ila kwa jicho la kijasusi pale hamna democrasia soma saana mkuu naona unakuwa mchanga sana kwenye historia. Nchi nyingi zilzo na democrasia hazina maendeleo.
Rwanda tu hapa imejificha kwenye democrasia ila ni dictatorship iliyokomaa ona tu maendeleo yake. all in all democrasia inachelewesha sana maendeleo hasa afrika.
Let me give you facts:

Demokrasia haikuanza West kwa wazungu,ilianza medieval Greece karne nyingi huko nyuma na Europe wakaanza kuitumia karne ya 18,19,20 na sasa 21

So far the best system to organize and society to rule itself ni DEMOCRACY na sio hizo military dictatorships unazotetea ujinga wake hapa

Another fact,chuki zako kwa wazungu hapo hapo unawapenda mabepari kutoka East kama China na Russia ni ujinga,kataa wote maana wote ni wanyonyaji!

Let me debunk Rwanda biggest lie:

Rwanda ni dictatorship eti ina maendeleo zaidi ya democratic country of the same size and nature,NEVER!Ukweli ni kwamba Botswana ina demokrasia nzuri na iliyokomaa na ina mazingira ya watu na land size kama Rwanda ila ina maendeleo na uchumi bora na hali bora ya maisha ya watu mmoja mmoja mara tatu ya Rwanda....

Usilete sababu ya "maendeleo" kuhalalisha dictatorship mbwa nyie
 
Mzuka wanajamvi!

Miji mikubwa ya Niger ikiwemo mjii mkuu Niamey kumeanza ghafla kuwa na shida na umeme kwaanzia jana.

Inasemekana Nigeria imeamua kimya kimya kutoipelekea umeme Niger kwani Niger inategemea nishati na umeme kutoka Nigeria.

Japo Nigeria pamoja na ECOWAS kuiwekea vikwazo vya uchumi "sankshen" lakini hawajaweka wazi kuwakatia umeme.

Ni Wakati sasa utawala huu wa kijeshi kuweka umeme wao kutumia Wagner.
Ngoja Mrusi Apeleke jenereta kubwa kubwa kwa madege makubwa zifanye kazi kwa niaba ya Nigeria na wao wasafe economic terms
 
Kwa hiyo kuna mtu anayetegemea mtu kama huyu Traore anayevaa gloves 24/7 ndio atakuwa kiongozi bora kuliko kiongozi wa kiraia?
20230802_195801.jpg

Alafu cha kushangilia nini, mbona Traore mwenyewe kafanya mapinduzi mwaka jana kwa mwanajeshi mwingine Damiba aliyefanya mapinduzi mwaka jana huohuo?
Sasa ni mapinduzi yapi mnashangilia, ya mwaka jana mwanzoni ya Damiba au ya mwishoni ya Traore. Na vipi akitokea mapinduzi mengine (which I strongly believe yatatokea) dhidi ya Traore napo mtashangilia? Kuongoza nchi imekuwa kama Simba na Yanga kila mwaka mnasajiri?
Akili za maandazi kabisa hizi.

Kama mapinduzi yangekuwa ya maana basi Afrika lingekuwa ndio bara linatoa misaada maana ndio lenye mapinduzi mengi. Sudan ingekuwa ni nchi ya kwanza kiuchumi Afrika maana imefanya majaribio 17 ya mapinduzi tangu iwe huru, ila mpaka sasa Tanzania tunaizidi kiuchumi. Basi Sierra Leone ingekuwa ya pili kiuchumi maana imefanya majaribio 15 ya mapinduzi.
Na South Africa ingekuwa mwishoni mwishoni uko kiuchumi, haijawahi fanya jaribio lolote.
 
Hivyo vikwazo kwanini NIGER tu wakati zipo nchi kibao West Africa zimepigwa mapinduzi[emoji4]
 
Mkuu

Naomba tuelewane

As human beings tuna evolve from barbaric way of living and way of governing ourselves

Beyond anything else mfumo wa kidemokrasia ni best method for human beings organizing and governing themselves.

Kila kitu unadhani Westerners ndio wameanzisha,mfumo wa demokrasia ulianza Greece karne nyingi kabla ya kwenda Europe,ambapo Europe yote ilitawaliwa na Wafalme kama huku kwetu Africa.

Usije wasingizia Westerners kila kitu.

By the way yaani kwa definition yako anything coming from the West ni kibaya?

Like really?

Kwahiyo mbadala wa Democracy ni kenge yeyote anaejisikia huko jeshini na kabunduki kake achukue madaraka kwa hiyari yake na kutoka madarakani ni mpaka huruma yake binafsi?

Katiba haina maana tena chenye maana ni mapumbavu yaliyofeli form four yaliyopo jeshini ndio yaanze kututawala bila hiyari yetu?

Demokrasia ina mapungufu yake makubwa,ila dictatorship ni more lethal than anything

hebu tuache kushabikia upumbavu
The so called mifumo ya kidemokrasia ndio imesababisha leo hii Ulaya Amerika kusini na Kaskazini kuwa na idadi kubwa ya watu wanaobadili au kukana jinsia zao.

Demokrasia ni too barbaric kuliki neno barbarism.
 
Hizi ni tuhuma,udhibitisho huna

ECOWAS ina wanachama 13

Nchi 13 zimekaa kitako ku-save kuingiza serikali za hovyo kwenye serikali za wanachama hao hao 13?

Yaani marais 13 wamekaa kitako kubadilishiana waweke marais wabovu kwenye nchi zao hizo hizo?

Your reasoning is very flawed!

Huenda ECOWAS inaweza tumika na West to push western agenda na kumbuka hiyo hiyo inaweza kutumika na China au Russia to push their agendas as well

Proof kwamba wanapush which agenda ni hard to prove

Majeshi yanachukua nchi wanachama kwa lazima bila kupigiwa kura halafu ECOWAS ikae kimya?

Kwahiyo mifumo sahihi ni mifumo ya majinga ya jeshini kuchukua madaraka kwa lazima wanapojisikia bila ruksa ya wananchi?

Hilo halitawezekana,ni lazima katiba ya hizo nchi zihemike na demokrasia iheshiwe regardless rais alieko madarakani ni mbaya kiasi gani maana miaka yake mitano ikiisha ataondolewa kwa amani

Au kama miaka mitano ni mingi sana wananchi wana ruhusa ya kumtoa kwa kufanya civil revolution na sio militarya coupe-de-tat ya kvma mmoja huko jeshini anajiamulia leo nataka kua rais then anakua rais kisenge tu

Unalalamikia nchi za magharibi yaani as if nchi za east ni malaika,wakati na wao wana maslahi yao tena wana hadi majeshi ya Wagner huko huko

Hakuna cha urafiki na yeyote,sio West wala East maana naona unataja west as if huoni East!

Na chaguzi kuingiliwa au kufanyika vibaya ni democratic process ambapo zina grow mwaka hadi mwaka kuanzia kua na katiba bora,bunge bora then executive bora

Kingine kwa taarifa yako Marekani imeingiza madarakani zaidi military dictators huku Africa zaidi kuliko waliochaguliwa na wananchi...

The being ni harder ku-control electoral process

Mimi nakushangaa kuona solution ya democratic processes yatatuliwe na military dictatorship,yaani ni kuleta mavi mezani
Unaandika ngonjera nyingii zisizo na kichwa wala miguu.

Kwa taarifa yako hata Ufaransa hakuna Demokrasia ndio maana waandamanaji wanapigwa kama mbwa koko.

In short democracy is a myth.

Na hao wahuni mnaohisi wamestaarabika wanatumia huo uhuni wa takataka yao ya Demokrasia kuwanyonya na kuwakandamiza waafrika.

In fact I wish death to all people who support western demons.
 
Let me give you facts:

Demokrasia haikuanza West kwa wazungu,ilianza medieval Greece karne nyingi huko nyuma na Europe wakaanza kuitumia karne ya 18,19,20 na sasa 21

So far the best system to organize and society to rule itself ni DEMOCRACY na sio hizo military dictatorships unazotetea ujinga wake hapa

Another fact,chuki zako kwa wazungu hapo hapo unawapenda mabepari kutoka East kama China na Russia ni ujinga,kataa wote maana wote ni wanyonyaji!

Let me debunk Rwanda biggest lie:

Rwanda ni dictatorship eti ina maendeleo zaidi ya democratic country of the same size and nature,NEVER!Ukweli ni kwamba Botswana ina demokrasia nzuri na iliyokomaa na ina mazingira ya watu na land size kama Rwanda ila ina maendeleo na uchumi bora na hali bora ya maisha ya watu mmoja mmoja mara tatu ya Rwanda....

Usilete sababu ya "maendeleo" kuhalalisha dictatorship mbwa nyie
Wewe jamaa unachekesha, kwani Greece wanaishi waarabu, si kwa wazungu hao hao ambao wanapambana wasitoke kwenye Jumuiya ya Umoja wa Ulaya.
 
Kwa hiyo kuna mtu anayetegemea mtu kama huyu Traore anayevaa gloves 24/7 ndio atakuwa kiongozi bora kuliko kiongozi wa kiraia?View attachment 2707270
Alafu cha kushangilia nini, mbona Traore mwenyewe kafanya mapinduzi mwaka jana kwa mwanajeshi mwingine Damiba aliyefanya mapinduzi mwaka jana huohuo?
Sasa ni mapinduzi yapi mnashangilia, ya mwaka jana mwanzoni ya Damiba au ya mwishoni ya Traore. Na vipi akitokea mapinduzi mengine (which I strongly believe yatatokea) dhidi ya Traore napo mtashangilia? Kuongoza nchi imekuwa kama Simba na Yanga kila mwaka mnasajiri?
Akili za maandazi kabisa hizi.

Kama mapinduzi yangekuwa ya maana basi Afrika lingekuwa ndio bara linatoa misaada maana ndio lenye mapinduzi mengi. Sudan ingekuwa ni nchi ya kwanza kiuchumi Afrika maana imefanya majaribio 17 ya mapinduzi tangu iwe huru, ila mpaka sasa Tanzania tunaizidi kiuchumi. Basi Sierra Leone ingekuwa ya pili kiuchumi maana imefanya majaribio 15 ya mapinduzi.
Na South Africa ingekuwa mwishoni mwishoni uko kiuchumi, haijawahi fanya jaribio lolote.
Kama Demokrasia ina maana leo hii george bush na barack obama walitakiwa kuwa magereza kwa mauaji makubwa waliyoyasababisha wakati wa tawala zao.

Demokrasia is a myth

Demokrasia ni takataka.
 
Kama Demokrasia ina maana leo hii george bush na barack obama walitakiwa kuwa magereza kwa mauaji makubwa waliyoyasababisha wakati wa tawala zao.

Demokrasia is a myth

Demokrasia ni takataka.
Bush na Obama wakifungwa au wasipofungwa ndio itasababisha Sudan waliofanya majaribio ya mapinduzi mara 17 wapate maendeleo?

Basi tuseme demokrasia ni mbovu, hao Niger mapinduzi matano mpaka leo yamewaletea nini kimaisha. Mnavyoshangilia as if hili ni tukio la kwanza, jaribio la sita hili na moja ndio liliwahi kufeli. Mapinduzi mara tano, hata umeme hawana Nigeria imezima 70% ya power supply yao. Mbona hayo mapinduzi matano hayakuleta maendeleo.
 
Bush na Obama wakifungwa au wasipofungwa ndio itasababisha Sudan waliofanya majaribio ya mapinduzi mara 17 wapate maendeleo?

Basi tuseme demokrasia ni mbovu, hao Niger mapinduzi matano mpaka leo yamewaletea nini kimaisha. Mnavyoshangilia as if hili ni tukio la kwanza, jaribio la sita hili na moja ndio liliwahi kufeli. Mapinduzi mara tano, hata umeme hawana Nigeria imezima 70% ya power supply yao. Mbona hayo mapinduzi matano hayakuleta maendeleo.
Na nyinyi ambao mnajifanya mna demokrasia inakuwaje mnashindwa kusimamia uendeshaji wa bandari yenu hadi mnafikia hatua ya kwenda kuchukua wawekezaji kwenye mataifa ya kidikteta ?
 
Bush na Obama wakifungwa au wasipofungwa ndio itasababisha Sudan waliofanya majaribio ya mapinduzi mara 17 wapate maendeleo?

Basi tuseme demokrasia ni mbovu, hao Niger mapinduzi matano mpaka leo yamewaletea nini kimaisha. Mnavyoshangilia as if hili ni tukio la kwanza, jaribio la sita hili na moja ndio liliwahi kufeli. Mapinduzi mara tano, hata umeme hawana Nigeria imezima 70% ya power supply yao. Mbona hayo mapinduzi matano hayakuleta maendeleo.
Unavyo question hayo mambo ya ukosefu wa umeme, usijizime data ukasahu ku question roles played by Western nations kuhakikisha hilo eneo linabaki kuwa maskini na tegemezi wa misaada kutoka nchi za Magharibi.
 
Mfumo wa Kidemokrasia mlijichagulia wewe na nani ?

Kabla ya kuja mabwana zenu wakoloni, tawala karibia zote za Afrika zilikuwa zinaongozwa na wafalme au Malkia. Uliona wapi mfalme anapigiwa kura.
Ukiwa mwanaume hupasw kuonesha unapenda kuamuliwa kila kitu na mwanaume mwenzio , mfumo wa kidemokrasia ni bora sn
 
Sijakuelewa

Una evidence gani ya kusema ECOWAS ni shirikisho la kisenge na EAC au SADCC sio mashirikisho ya kisenge?

Na umetumia hoja gani kutoa hiyo hukumu?

Mkuu,tunachotaka ni mfumowa kuingiza mtu na kumtoa madarakani bila hiyari au utashi wa mtu mmoja

Traore,una uhakika gani atatoka madarakani?Kwa sheria ipi au demokrasia ipi inambana?Hakuna,ni mpaka yeye "huruma" yake binafsi,na tukifika hapo hatuna nchi wala hatuna mfumo hapo tuna upumbavu
Unamuelewesha nyan unapoteza muda , mwenzie akimchukia kiongoz wake bas anajali kutolewa kwa yule kiongoz wala hajali kuhus nan anachukuwa madaraka
 
Tatizo la Ufaransa ni la Niger na wananchi wake sio la Nigeria

Kinachotakiwa ni wananchi wa Niger wajitawale wao kwa matakwa yao wao kwa kupigia kura wanaemtaka awaongoze na muda wake ukiisha waweke mwingine wanaemtaka

Tatizo la jeshi ni kwamba anaejisikia ana mapafu huko jeshini kwa hiyari yake na kwa lazima ana-impose himself on citizens by force bila kupigiwa kura wala nini,maana yake the citizens didnt elect him,hivyo by default huyo ni haramu.

Kibaya zaidi huyu Traore aliejiingiza madarakani kwa uamuzi wake binafsi wananchi wakimchoka watamuondoaje kwa amani?Hakuna military dictator anaondoka kwa amani ni lazima damu imwagike,

Hii system ya mtu kujiamulia yeye ni rais na kutawala watu kwa lazima yake sio system

Akiachwa huu mtindo utaenea na nchi zote zitatawaliwa na watu kutoka jeshi kwa mapinduzi na kuwaondoa haiwezekani mpaka kwa hiyari yake

Nchi haziendeshwi kwa hiyari ya mtu mmoja,zinaendeshwa kwa mifumo,na mfumo tulijichagulia ni wa Kidemokrasia

ECOWAS ina haki ya kufukuza military dictators wote wananchi wajichagulie viongozi wao kwa mifumo ya kikatiba na sio huu ujinga wa mtu mmoja

In a long term view hii inakaribisha mapinduzi nchi zingine zote,mifumo ya kikatiba inaondoka,democrasia inaondoka,inabaki utashi wa lijitu limoja lililojiamulia huko jeshini


Haijalishi huyo mwanajeshi ana nia njema kiasi gani,mtindo huu ukileta dikteta mbaya kama Idd Amini,mtamuondoaje maana hakuna kitu kinaitwa katiba wala uchaguzi?


ECOWAS fukuza huu ujinga kabisa
But they have to be given time. Maybe they listen to other leaders and consider that the morals that western leaders have started to lack in leadership are worth the risk of enforcing change. Let’s give them time.
 
But they have to be given time. Maybe they listen to other leaders and consider that the morals that western leaders have started to lack in leadership are worth the risk of enforcing change. Let’s give them time.
Siafikiani na wewe kuhusu hili

Kama sheria tumeelewana kama citizens kupitia katiba yetu kwamba mtu kuingia madarakani ni mpaka tumpigie kura,then wewe unajichagua unajiingiza madarakani kwa kuvunja katiba yetu,wewe ni haramu to begin with!

Kama rais tuliemchagua hatumtaki au anatutendea mabaya kuna utaratibu tumejiwekea kwenye katiba kwamba tutaandamana wananchi wote tumtoe madarakani kwa CIVIL REVOLUTION na sio kikundi cha jeshi kama alivyofanya Traore na wapumbavu wenzie wa jeshini

Hakuna kumpa time maana yeye ni haramu

Mtu alieingia madaraka kwa kutoheshimu katiba halafu eti tumtegemee atende mema na mazuri ni impossible.

Just a clue tu nikupe,Niger constitution is suspended mpaka hapo Traore atakapoamua kurudisha hiyo katiba,hivyo yeye ubongo wake ndio katiba,law,etc of Niger!

Kila mtu anachukia Western Powers lakini ni upumbavu zaidi kama eti hapo hapo unapenda Eastern Powers ambao wote ni wanyonyaji na washenzi....kataa wote kwa nguvu zote!
 
Back
Top Bottom