albab
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,198
- 2,562
Wewe unajitambua kiasi gani kwenye hili au unafuta upepo wa hotuba ya jamaa kukataa wakoloni wa magharib na kuwapa njia wa masharikiWanajitambua kuliko watz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unajitambua kiasi gani kwenye hili au unafuta upepo wa hotuba ya jamaa kukataa wakoloni wa magharib na kuwapa njia wa masharikiWanajitambua kuliko watz
Weweeeee! Hujafanya uchambuzi wa kutosha. Misri kiongozi aliyepo madarakani Gen. Al Asisi aliingia kwa mapinduzi, Hosni Mubara aliingia kwa mapinduzi, Babu yeru hapo jirani Museveni aliingia kwa Mapinduzi, Gen Kagame n.k.Huyu jamaa mnaemsifia ni swala la muda atageukwa Hadi ashangae ..... Jeshi haijawahi kuongoza likafanikiwa hasa Kwa mfumo wa mapinduzi
Kwa maana rahisi Hilo jeshi limeganyika vipande.
Niswala la muda tu ngaja njaa iwaingie raia
Wafrika wengi hawalijui hili. Baada ya kuona wengine wananufaika naye ameingia rasmi.Huku ni kuhama kutoka mkoloni mmoja kwenda mwingine. Wagner ni mamluki wa Urusi walio na kazi ya uporaji wa mali na uuzaji haramu wa silaha.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Maendeleo ya ghafla ila matokeo yake?Weweeeee! Hujafanya uchambuzi wa kutosha. Misri kiongozi aliyepo madarakani Gen. Al Asisi aliingia kwa mapinduzi, Hosni Mubara aliingia kwa mapinduzi, Babu yeru hapo jirani Museveni aliingia kwa Mapinduzi, Gen Kagame n.k.
Kwa ufupi nchi zilizoendeshwa kijeshi zimewahi kuwa maendeleo ya haraka. Mfano mzuri ni Misri, Libya ya Gadafi, Ethiopia ya Mengistu na Zenawi n.k
Pia Al-Sisi wa MisriKwa taarifa yako Kagame na Museveni ni wanajeshi.
Unamjua kagame si mwanajeshiHuyu jamaa mnaemsifia ni swala la muda atageukwa Hadi ashangae ..... Jeshi haijawahi kuongoza likafanikiwa hasa Kwa mfumo wa mapinduzi
Kwa maana rahisi Hilo jeshi limeganyika vipande.
Niswala la muda tu ngaja njaa iwaingie raia
SAWA..... Jeshi lake unaliona SAWA??Unamjua kagame si mwanajeshi