kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Wakuu kwema?
Tarehe 27 mwezi huu nimeitwa interview mbili kama ifuatavyo;
Saa 2 kamili asubuhi natakiwa kuwa Iringa University mkoani Iringa kufanya usaili wa kuandika ya nafasi ya Uhasibu, muajiri akiwa Iringa University mwenyewe. Nafasi zinazogombaniwa hapa ni 2 kati ya watahiniwa 24 tulioitwa.
Halafu siku hiyo hiyo tarehe 27 saa 1 kamili asubuhi, natakiwa kuwa jijini Dodoma katika Chuo Kikuu cha UDOM kufanya usaili wa nafasi ya Auditor ii, muajiri akiwa ni NAOT. Nafasi zinazogombaniwa hapa ni 37 kati ya watahiniwa 5000+ tulioitwa kwenye huu usaili.
So niko njia panda hapa, niende wapi wakuu? Nafasi zote mbili nazipenda kwa usawa.
Tarehe 27 mwezi huu nimeitwa interview mbili kama ifuatavyo;
Saa 2 kamili asubuhi natakiwa kuwa Iringa University mkoani Iringa kufanya usaili wa kuandika ya nafasi ya Uhasibu, muajiri akiwa Iringa University mwenyewe. Nafasi zinazogombaniwa hapa ni 2 kati ya watahiniwa 24 tulioitwa.
Halafu siku hiyo hiyo tarehe 27 saa 1 kamili asubuhi, natakiwa kuwa jijini Dodoma katika Chuo Kikuu cha UDOM kufanya usaili wa nafasi ya Auditor ii, muajiri akiwa ni NAOT. Nafasi zinazogombaniwa hapa ni 37 kati ya watahiniwa 5000+ tulioitwa kwenye huu usaili.
So niko njia panda hapa, niende wapi wakuu? Nafasi zote mbili nazipenda kwa usawa.