Jinsi tunavyolifikiria au kulitatua tatizo kunaweza kua ndio tatizo kubwa kuliko tatizo lenyewe.Nimesoma hio sura ya kwanza ya Ruth , kwa jinsi huyo mama alivyo pitia kadhia ile sijui kwa nini mleta mada ameamua kutumia hii kama kichwa cha mada yake.
Ukitazama kwa jicho lingine unaweza kuona ndani ya mleta mada kuna hali isiyo rahisi.
Imenifikirisha sana.
Kwa kweli ni ngumu, ila miaka hii watu wanaanza kuelewa. Huenda akapata support mapemaJirani ninapoishi kuna mtoto binti miaka 6 ana vishiria vyote vya usonji.
Nilivyosoma uzi wako nimewaza huenda na yeye akapitia kama uliyopitia sababu ya uelewa mdogo wa jamii juu ya usousonji
Mwaliko tu., kuchanga aaah..Naomba na mwaliko wa harusi sasa π
Nina taaluma hiyo kiasi ila nashindwa kuanza kuwaeleza wazazi wao wanadhani ni utoto.Kwa kweli ni ngumu, ila miaka hii watu wanaanza kuelewa. Huenda akapata support mapema
Oh bibi Harusi upo salama?Mwaliko tu., kuchanga aaah..
Nipo salama.Oh bibi Harusi upo salama?
Vipi ndoa lini?
( samahani kwa kukusalimia kwenye uzi wa huzuni)
π€π€π€π€Nipo salama.
Ndoa trh 13 july.