Nijiandae vipi kuingia Miaka 30?

Nijiandae vipi kuingia Miaka 30?

Guys,
September naingia miaka 30 kwa hiyo nipo kwenye kumalizia my 20s [emoji4]
Nikifikiria nakua Excited and Nervous at the same time,

What does it feel like to be in 30s? will my skin change? will my brain change? will i grow wrinkles?

Natakiwa nibadilishe kipi kwenye maisha yangu ili niendane na miaka yangu (sitaweza kuacha kuangalia Cartoon and Animations tho [emoji1][emoji119]),

Wengine walisema nibadili jinsi ya kulala eti nilalie mgongo sio tumbo kuavoid wrinkles [emoji848]

Kuna hizi Facial Serum, ni sawa nikianza kuzitumia au nitazidi kuharibu ngozi yangu [emoji134],

Too Many Questions hunh!
Lol, i'm confused,

Ambao mpo kwenye 30s au zaidi mnaweza kutoa uzoefu wenu ulijipangaje kuingia kwenye 30s na ulijisikiaje ulipofika 30?

View attachment 2190434
Umri ni kama kupokea vikwazo vya kiuchumi.Hauwezi kuhisi sasa nina miaka kadhaa na ukasema umri wangu ule pale nauona unapita.Au uleee umeingia mwilini.Au ukaguna ..."duh"...nimekuwa mzito umri umeongezeka.
Jitahidi tu kuwa na juhudi ya kujitunza,kula vizuri kwa kiwango stahili,mazoezi,kufanya kazi halali kwa bidii na tija na kumchaji Mungu.
 
Umri ni kama kupokea vikwazo vya kiuchumi.Hauwezi kuhisi sasa nina miaka kadhaa na ukasema umri wangu ule pale nauona unapita.Au uleee umeingia mwilini.Au ukaguna ..."duh"...nimekuwa mzito umri umeongezeka.
Jitahidi tu kuwa na juhudi ya kujitunza,kula vizuri kwa kiwango stahili,mazoezi,kufanya kazi halali kwa bidii na tija na kumchaji Mungu.
Shukrani sana Kaka Mkubwa,
Umenipa Muongozo makini sana.
 
Well hata mimi sijaacha kuangalia katuni.

Nashauri njoo ukae wiki mbili na mimi ujifunze kwa vitendo.
 
Yes dear, banana na Alovera gel una blend pamoja waweza kuweka na asali mbichi, osha uso wako kwa maji safi na sabuni, ukaushe halafu upake mchanganyiko wako, kaa nao muda wowote uwezavyo hakuna madhara hadi ukijisikia kunawa utanawa kwa maji ya vugu vugu,

Una Ngozi nzuri sana nikuonavyo Pichani, hongera sana.
Weeeh!
Queen kasema nina Ngozi nzuri mimi napingaje sasa [emoji4]

Shukrani sana My Queen.
 
Niliingia kwangu nikiwa 35, ilikua ni ndogo lakini ilinisaidia kujiendeleza nikiwa na peace of mind. Ninategemea kuhamia nyumba kubwa zaidi miaka mitatu ijayo.
Safi sanaaa,
Kuna dili lilitiki nikapata Pesa ndefu, nikanunua Nyumba haraka kabla ya kuzitumbua wakati huo nilikua na miaka 26 lakini sasa nimeanza kujenga nyumba ya Ndoto yangu, taratibu bila presha hadi siku itakapoisha.
 
Back
Top Bottom