Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya haya mawili ukifikia umri huo.
1. Uoelewe
2. Uzae
Shukrani.
Hujanishawishi, Pesa yangu hua hailiwi kizembe...Hii ni mpya zaidi kuwahi kwako ndio utajiri wako, nafasi zipo chache, msimu wa mavuno unakaribia[emoji1787]
Hivyo ni vitu vidogo vidogo kuvimudu hatushindwi, Ada ndio mtihani.
Sema sishindwi, usijumlishe watu ujuwe... Umewahi enda shule za vijijini ukaona wanafunzi na sare zao? Umewahi sikia kuna watu kwenye kula tu, wana mlo mmoja kwa siku?
Haya ada shule za serikali kabla hazijaondolewa ilikuwa shilingi ngapi? Say 70,000/- kwa mwaka.. Haya hivyo unavyoviita vidogo ni shilingi ngapi kwa mwaka? AU kwa sababu unalipa kidogokidogo ndo unaona siyo gharama?
Chukulia unampa mtoto nauli, shilingi 500/- kila siku. Kwa siku tano za wiki ni Tshs 2,500/-, mwezi 10,000/- Kwa mwaka 100,000/-. Hapo bado hivyo vingine unavyoviita vidogo vidogo
Umechumbia wakati wewe ni mwanamke?1. Nimechumbia bado Sijaoa
2. Nina Mtoto nategemea na wa pili soon.
Shukrani
mkuu unataka nunua ndogo 😂🤣😅Hongera.....
Niuzie ndogo basi.
Fanyia kazi ushauri wangu.1. Nimechumbia bado Sijaoa
2. Nina Mtoto nategemea na wa pili soon.
Shukrani
UmejipangajeI'm too close kufika 30
Utajua Hujui
wow!Nina 42 na sijawahi kuwaza eti[emoji848][emoji848][emoji848]
Nimekupata Mzee wa Miongozo,Ishi maisha yako kama unavyoishi ziku zote... Kufumba na kufumbua utakuja ona 40 hii hapa na 50 ile pale...
Halafu bado mtu aseme ada ni kazi kubwa kuilipa kuliko kununua vitendea kazi vya shuleni..!!Iliyotolewa ni 20k
Mkubwa una hasira kali,Halafu bado mtu aseme ada ni kazi kubwa kuilipa kuliko kununua vitendea kazi vya shuleni..!!
Shukrani sana My Dear,Welcome to the 3rd floor.
Tulioko huku ndo tunaitwa "mishangazi"
Kwakweli...Welcome to the 3rd floor.
Tulioko huku ndo tunaitwa "mishangazi"
We ponda mali tu maana hamna namna[emoji1787][emoji1787]wow!
So unanishauri nisiwaze kabisa niponde Mali kufa kwaja
[emoji1]