KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Kama hujaolew, ambukizwa ujauzito tu mdogo angu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe umefika 30??30's ndio mwanzo wa umri wa kuacha legacy
naomba kujua una jinsia ipi?1. Nimechumbia bado Sijaoa
2. Nina Mtoto nategemea na wa pili soon.
Shukrani
Kwani wewe umefika 30??
Nikifikisha 30 naomba unielekeze namna ya kuacha legasi
Na Maji kwa wingi [emoji23]Kula matunda zaidi
Usijali wala nini tutatoboa tu,Wengine tuna miaka 37 bado tunaishi kwetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Life begin at fote bana aalaah...
Nimesikia 3rd floor na sex drive inakua High sana full ku enjoy hehehehe utu uzima dawaaaaa3rd floor eti hawa watoto wanatuita wazee.
Wamesahau huu ndo umri ambao tunaweza kitembea na babu zao, baba zao, na wao wenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haaaaa Haaaaa 😂 nilikuwa nasubiri unitaje mwenyewe babe wangu.Jamani Bush Babe [emoji8]
I miss youuuu,
wewe mbona umejitoa kwenye list ya marafiki zangu
[emoji134]
Aah jamaniiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Hizo lips zinaonesha unakula pussycats balaaaaaaaaaaaaaa sana. Oke happy birthday
Nilikua buzzzy mamaaa, ngoja nimuwish mume kipenziiii.cocastic hujamuwish mumeo hadi muda huu mbona waniangusha Mwari wangu [emoji3525]