Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Umri ni kama kupokea vikwazo vya kiuchumi.Hauwezi kuhisi sasa nina miaka kadhaa na ukasema umri wangu ule pale nauona unapita.Au uleee umeingia mwilini.Au ukaguna ..."duh"...nimekuwa mzito umri umeongezeka.Guys,
September naingia miaka 30 kwa hiyo nipo kwenye kumalizia my 20s [emoji4]
Nikifikiria nakua Excited and Nervous at the same time,
What does it feel like to be in 30s? will my skin change? will my brain change? will i grow wrinkles?
Natakiwa nibadilishe kipi kwenye maisha yangu ili niendane na miaka yangu (sitaweza kuacha kuangalia Cartoon and Animations tho [emoji1][emoji119]),
Wengine walisema nibadili jinsi ya kulala eti nilalie mgongo sio tumbo kuavoid wrinkles [emoji848]
Kuna hizi Facial Serum, ni sawa nikianza kuzitumia au nitazidi kuharibu ngozi yangu [emoji134],
Too Many Questions hunh!
Lol, i'm confused,
Ambao mpo kwenye 30s au zaidi mnaweza kutoa uzoefu wenu ulijipangaje kuingia kwenye 30s na ulijisikiaje ulipofika 30?
View attachment 2190434
Jitahidi tu kuwa na juhudi ya kujitunza,kula vizuri kwa kiwango stahili,mazoezi,kufanya kazi halali kwa bidii na tija na kumchaji Mungu.