Widowmaker
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 305
- 572
Habari Wakuu?
Mimi naomba watalaam haswa kama ni Dr uniambie vidonge navyoweza kumeza ili niweze kuongeza testosterone. Naomba nijue vidonge vizuri ambavyo vinapatikana maduka ya dawa hapa Tanzania.
Nimeomba kutajiwa vidonge sababu nimejaribu njia za kawaida naona inachukua muda mrefu sana.
Asanteni.
Mimi naomba watalaam haswa kama ni Dr uniambie vidonge navyoweza kumeza ili niweze kuongeza testosterone. Naomba nijue vidonge vizuri ambavyo vinapatikana maduka ya dawa hapa Tanzania.
Nimeomba kutajiwa vidonge sababu nimejaribu njia za kawaida naona inachukua muda mrefu sana.
Asanteni.