Nikaribisheni

Habari zenu. naitwa Aniva ni msichana 25-30's Age

Nimejiunga humu Jana. Naombeni Kiti Na miongozo ya humu ndani. Ntafurahi Kama nitapata marafiki Wa aina zote Asanteni.
Natafta mke na Mimi mgeni njoo pm
 
Yaani mngejua nilivo wakaiwa sanaa na sometimes nakosa hata ya soda msinge niita 'Mkuu' maana hicho cheo hata sistahiki
Endelea kutafta wanaume humu utawapata watakununuliaa vyote hivo mrembo wew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…