niko hapa rafki karibu hebu fanya kupmHabari zenu. naitwa Aniva ni msichana 25-30's Age
Nimejiunga humu Jana. Naombeni Kiti Na miongozo ya humu ndani. Ntafurahi Kama nitapata marafiki Wa aina zote Asanteni.
Ukitaka kulaza weka i katika ya mabano halafu inafuatiwa na ujumbe nje ya mabano kama ulivyofanya kwenye kuboldBado kulaza maneno
mzee acha ujambazi wa kutumia silahaa[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Usiweke mpk hawa majambazi wengine waone niwekee PM nione akama Aniva yako kubwa
Mara nyingi id za kike zinazojitambilisha zikiingia jf huwa ni za kiume. Ili kuvuta attention.Me huyo
[emoji51][emoji51], kwani wakati anajitambulisha hujasoma vzri.... Yeyote aliyekaribu na wewe akupe konzi kwa niaba yangu....hahahahnilikuwa nasubiri hili swali nilijua lazima litaulizwa ..heshima yko mkuu
mbona umewataja wazee tu ..bwana wako huwa humpigi mizinga kweli !!?Hapana maisha yangu yakawaida sana somtimez napiga mizinga wazee
hahaaaHuko hapana
hahaaa akishanipiga konzi utamlipa vipi sasa maana atakuwa amepoteza nguvu kwakufnya kazi bure[emoji51][emoji51], kwani wakati anajitambulisha hujasoma vzri.... Yeyote aliyekaribu na wewe akupe konzi kwa niaba yangu....hahahah
Nevo255
weee Cheka tu ..hahaaaYani ni sahihi usemacho hapa nimecheka mchana kutwa . humu usipojiangalia utakuwa unacheka kama chizi njiani
yap..humu hata ukitukanwa au kukashfiwa wewe puuza tuHumu ndani kuna raha yake, kamwe hutajutia kujiunga na JF kwani kuna watu wa kila aina ! Kwa ufupi utajifunza mengi ila tu usiwe mwepesi wa hasira.
naonaa maana hata idadi ya namba za msg ulizonazo PM inazidi kuongezeka tu ..waambie wakutumie na Pesa..Mwanamke ni lulu
Wewe ni bikra?Habari zenu. naitwa Aniva ni msichana 25-30's Age
Nimejiunga humu Jana. Naombeni Kiti Na miongozo ya humu ndani. Ntafurahi Kama nitapata marafiki Wa aina zote Asanteni.