Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wengine wanaume wa darTeh kwahiyo wengine wote wanawake
Aniva una upepo wa jini. Siku mbili tu una like 250+. KaribuHabari zenu. naitwa Aniva ni msichana 25-30's Age
Nimejiunga humu Jana. Naombeni Kiti Na miongozo ya humu ndani. Ntafurahi Kama nitapata marafiki Wa aina zote Asanteni.
Aniva una upepo wa jini. Siku mbili tu una like 250+. KaribuHabari zenu. naitwa Aniva ni msichana 25-30's Age
Nimejiunga humu Jana. Naombeni Kiti Na miongozo ya humu ndani. Ntafurahi Kama nitapata marafiki Wa aina zote Asanteni.
Hiyo haina shida Aniva, unajua wazee tukiombwa ya soda tunatoa laki3 hahahaHahahahaa nipe tu ya soda.[emoji1] [emoji1] [emoji1] asante sana black
He he husna the bossladyMara nyingi id za kike zinazojitambilisha zikiingia jf huwa ni za kiume. Ili kuvuta attention.
Hahaaaa Kwa kweli ni Raha kila kitu kipo humu. Yaani mapenzi.mapishi.mitindo.siasa na uchafu woote katika maisha vipo humu. Usisahau lakin ya soda babu[emoji1]Hiyo haina shida Aniva, unajua wazee tukiombwa ya soda tunatoa laki3 hahaha
Natumaini umejionea mengi kwa siku 2 tu kijijini kwetu hapa.
Enjoy young lady
I see yaani wewe unaonekana mwema sana ngoja nikutumie tu hiyo ya soda ila sasa hakuna hiyo option ya kutumiana hela JFHahaaaa Kwa kweli ni Raha kila kitu kipo humu. Yaani mapenzi.mapishi.mitindo.siasa na uchafu woote katika maisha vipo humu. Usisahau lakin ya soda babu[emoji1]
Jiangalie tu kuna matapeli pia sio biashara zote au watu wote ni wemaHahaaaa Kwa kweli ni Raha kila kitu kipo humu. Yaani mapenzi.mapishi.mitindo.siasa na uchafu woote katika maisha vipo humu. Usisahau lakin ya soda babu[emoji1]