Nikaribisheni

Nikaribisheni

Karibu Aniva
Tutafutane baadae jioni jioni sijui nikukute wapi baby ?
Kama hutajali tukutane barakuda tabata
Naomba jibu
 
Panki Muache Ahangaike tuu. One day ntamfuta Kwenye USO Wa dunia na hata Amini Hadi akasimulie Kwa Maraika MToa Roho
Najua unajeuri zakufanya ila kumfuta mapank nishugul.

Ndo maana nilikupiga kijembe kwamba "" Ktk hii awamu Kim jong un kashinda[emoji23] [emoji23]
 
Leo haka kototo Aniva hakajaingia humu.... atakua anatumikia ndoa
 
I see yaani wewe unaonekana mwema sana ngoja nikutumie tu hiyo ya soda ila sasa hakuna hiyo option ya kutumiana hela JF
Nasubiri namba.
Hahaha sasa Fanya hivi. Weka dau hapa nijue kiasi gani napata. ILi watu wajue nauza namba Kwa shngap. Isije kuwa ela ya fanta[emoji23] [emoji23]
 
Umevunja record niliyoishikiri mimi kwa takribani miaka 6 iliyopita,, yani umekaribishwa na karibia members wote wa JF thats good, endelea kuogea maji ya chura....
Hahaha hahaha. Sema naona kawaida tuu kama mtu unaingia wasap watu kibao wanakukaribisha. ILa any way Mna ukarimu watu Wa humu. Hadi Raha ani.
 
Mfano


a9ba654ad7b43e9722266dad4b38b8f4.jpg
Hapana siyo picha.
 
Wakuu njooni tupige story Leo sina usingizi
 
Back
Top Bottom