Umevunja record niliyoishikiri mimi kwa takribani miaka 6 iliyopita,, yani umekaribishwa na karibia members wote wa JF thats good, endelea kuogea maji ya chura....Abeeeeeeee.
Hahahahaha urais nabeba mkuuHahaha wewe mwaka huu utaachia Kiti Hicho. Tutafanya figisu Tukutoee
Najua unajeuri zakufanya ila kumfuta mapank nishugul.Panki Muache Ahangaike tuu. One day ntamfuta Kwenye USO Wa dunia na hata Amini Hadi akasimulie Kwa Maraika MToa Roho
Hahahahaha wacha tungoje March 18 ..asubh kweupe nmeshindaHahaha wewe jitekenye tuu. Utaniambia hicho kama utarudi. Tunapiga figisu grade A+ bila kukosea
Hahaha sasa Fanya hivi. Weka dau hapa nijue kiasi gani napata. ILi watu wajue nauza namba Kwa shngap. Isije kuwa ela ya fanta[emoji23] [emoji23]I see yaani wewe unaonekana mwema sana ngoja nikutumie tu hiyo ya soda ila sasa hakuna hiyo option ya kutumiana hela JF
Nasubiri namba.
Hahaha hahaha. Sema naona kawaida tuu kama mtu unaingia wasap watu kibao wanakukaribisha. ILa any way Mna ukarimu watu Wa humu. Hadi Raha ani.Umevunja record niliyoishikiri mimi kwa takribani miaka 6 iliyopita,, yani umekaribishwa na karibia members wote wa JF thats good, endelea kuogea maji ya chura....
We lala tuu kesho ndo tyme wanasema ukiona mtu anakutaguta usiku huyo nisawa na mbu hvyo mkuu naomba ulaleWakuu njooni tupige story Leo sina usingizi
Aya bhnaUsingizi hamna. Mkuu
Njoo pm Aniva. Hapa wameshalala. Nimebaki Mimi na Wewe tu. Nakusubilia sawa mamaUsingizi hamna. Mkuu
[emoji122] unahitajika PMUsingizi hamna. Mkuu