Nikasikia Bonge la Msonyo nyuma yangu

Ndio maana yake.
SEma mi nimewapenda hao.
Hiyo confidense ya kumtapeli mtu wangeiwekeza kwenye kuuza bidhaa zingine zinazo matter, watafika
Nakubaliana na wewe chief,huenda siku moja wakija kula makofi huenda wakapata wazo hilo
 
Hii kitu ina uhalisia au ni story? Kuna jamaangu alinambia pale soko la Memorial scenario kama hii Ilitokea 2020
 
Hivi dunia ya leo njiani mtu anakuuliza jina lako na namba za simu unamtajia bila hata kumjua? Kweli Bongo nyoso!
 
Huwa hakuna kitu kama kuzubaishwa. Ni maneno matamu tu ya kupumbaza.
 
Hii kitu ina uhalisia au ni story? Kuna jamaangu alinambia pale soko la Memorial scenario kama hii Ilitokea 2020
Sio story, ni dem ambae nilikuaga napiga tukabaki washkaji... Alivopata nafuu ndo akanitafuta na kunipa hicho kisa. Sina ham hata kumsogelea saizi. Kimsingi bado anasumbuliwa na ganzi miguuni..na ni binti tu hata 30 hajafika
 
Kuna wengine walinifata hvyo hvyo nikawambia mm Ni afsa wa police Leo mmeingia kumi na nane za serekali
Nikaonesha ishara ya kusonga mbele kwa nguvu kumsukuma ndio akajuwa Niko serious nikawambia leo mtalala ndani mseme mko wangapi mnawatapeli watu

Mmoja kasema afande tuweza kuongea plzz plz

"Nikawambia twende tukaongeaa kituoni Huku nampigia jamaa angua ambae nae anajuwa kujifanyaga police faster nae akarespond vzr nikamuambia njoo na pira Kuna matapeli nimewadaka demu akaona Niko serious akapiga magoti kuomba msamaha yaishe tusifike mbali

Ndio nikawasikiliza kwa haraka nikawammbia mnataka kusema nn Seema haraka kbla wezangu hawajaja hapa

Akasema iko 30k Kash nikamuambia acha ujinga unatapeli watu Kisha unipe elf 30k ngoja utajuwa hujui akaongeza akafika
50k walitoa palepale nikaisimamisha boda inatembee nikapanda nikawaachia vumbi na Dole la Kati ,mm baaada ya kukaa vzr kwenye boda

Nikapata zangu 50k ya matapeli
 
Sidhani kama hao wadada ni matapeli, tunakimbilia sana kuita watu matapeli bila kuhakikisha hao ni wauza simu tu hio ni strategies wanazotumia kwenye sells zao ni vyema ungesikiliza mpaka mwisho ndio uhitimishe.

Bilashaka hao wadada wanakaaga pale sanamu la askari na gari Lao.
 
Duh utapeli wa madawa.
 
Dah Chief nakupa salute umetisha sana yaan sana

Nimependa Sana hapaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Akasema iko 30k Kash nikamuambia acha ujinga unatapeli watu Kisha unipe elf 30k ngoja utajuwa hujui akaongeza akafika
50k walitoa palepale nikaisimamisha boda inatembee nikapanda nikawaachia vumbi na Dole la Kati ,mm baaada ya kukaa vzr kwenye boda
 
Inawezekana aisee, ni dem ambae nilikuaga napigapiga tukabaki washkaji... Alivopata nafuu ndo akanitafuta na kunipa hicho kisa. Sina ham hata kumsogelea saizi
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Kwann?
 
Matapeli hao walikuwaga Mbagala Rangi 3
 
Siku nyingine kitendo cha kusogea kwenye gari tu, utajikuta ushatekwa.
 
Any ways unaweza kuwa sahihi siwezi kukupinga moja Kwa Moja,nilikutana nao baada ya ile sheli ya posta mpya ukitokea crdb bank

Ila lolote lawezekana chief
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…