macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Nililijua niko huru ndiyo maana nikakataa!Upo huru kukataa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nililijua niko huru ndiyo maana nikakataa!Upo huru kukataa...
Angalia niko hapa jamvini tangu lini kabla hujasema ujuaji wa FB. Mimi siyo limbukeni wa mijadala na forum za kwenye internet. Nimekuwepo tangu kipindi cha MySpace. Hili suala la kupumbuzwa tumeshalijadili sana hapa na huwa linakuwa na ubishani mkubwa. Pia kuna lile jingine la wezi kupuliza dawa ya usingizi dirishani na watu wanashauri ukitaka kujikinga eti lala na container lenye maji ndani! Pengine ni mjadala mpya kwako lakini siyo kwangu. Ni kitu ambacho nimekichunguza kwa kina na sikurupiki.Achana nae huyo jamaa analeta ujuaji wa fb humu