City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Jamaa kamfananisha na Nikki wa pili๐๐๐๐ Nik mbishi na Joh makini wapi na wapi?
๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kamfananisha na Nikki wa pili๐๐๐๐ Nik mbishi na Joh makini wapi na wapi?
Kwenye maswala ya mziki siku nyingine usichangie...hujui kitu[emoji20][emoji20]mwambie kwanza aache kubebwa na ndugu yake joh makini,,
Asimame yy kama yy tumuone pumzi yake kama atachukua raundi,
Ha ha ha ha ha haaaร aaaaaKwenye maswala ya mziki siku nyingine usichangie...hujui kitu[emoji20][emoji20]
Kwenye maswala ya mziki siku nyingine usichangie...hujui kitu[emoji20][emoji20]
Nimeenda kuomba mkopo kituo cha polisiUmetisha babake,,,, wew na music naona chenga
mwambie kwanza aache kubebwa na ndugu yake joh makini,,
Asimame yy kama yy tumuone pumzi yake kama atachukua raundi,
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Ingekuwa sumu mapema tungebadili jinaWajomba nilizidisha kipimo kinachotakiwa,,
,nilienda chooni kukojoa kumbe ni kaunta,aisee mabaunsa walitaka kuondoka nafsi,0
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ingekuwa sumu mapema tungebadili jina
Bro umechanganya watu Niki wa pili ndio ndugu wa Joh ila Niki mbishi hawana undugu kabisamwambie kwanza aache kubebwa na ndugu yake joh makini,,
Asimame yy kama yy tumuone pumzi yake kama atachukua raundi,
Hahahahahahahahah ningeshangaa sana kama nisingekuta comment yako humu.Kuna ukweli ndani yake
Kama fiesta tu
Hahahahahahahahah ningeshangaa sana kama nisingekuta comment yako humu.
Noshaelewa,,nimechanganya mapokopoko manjaliBro umechanganya watu Niki wa pili ndio ndugu wa Joh ila Niki mbishi hawana undugu kabisa
Anafoka foka nini Mkuu?
mtazamo wako huo fuvck fake niggerNick is one veeery average MC ambae ana inda na uchungu mwingi moyoni akiona kitu chochote kikubwa kinatokea na hakimuhusu.Na hii kwasababu anajiona mkubwa sana kuliko uhalisia wa alivyo.Ndio maana anagombana na kila mtu.
Wa kawaida sana sana...ila anajiona mkaaaali.Mshamba mmoja kutoka "kanda maalum".
[emoji23] na wewe upo humu unaijua lakini sifa ya wana hip hop ?Angekuwepo kwenye list ya wanamuziki watakaoimba asingeyaongea haya
Wakazi ni mnafiki haiwezekani muitwe show moja alafu uwe dalali wa mwenzio kuwa analipwa bei gani huo ni udadaNikki mbishi ni mtu mshenzi sana kuwahi kutokea..
Jamaa hanaga rafiki... leo anaweza kutukana mtu mkamchekea kesho anakugeukia wewe unayemchekea.
Tatizo lake kubwa yeye huwa yuko right siku zote..
Kagombama na clouds ,kagombana na weusi , kagombana na rafiki yake kipenzi wakazi
ninazo mbili na ninampango wa kununua zote 4Umenunua album yake?