Niki Mbishi:Tamasha la wasafi la mwaka huu halina mvuto wala msisimko kabisa huu ni ukweli.

Niki Mbishi:Tamasha la wasafi la mwaka huu halina mvuto wala msisimko kabisa huu ni ukweli.

Hapa wabongo ndipo tunapokosea, kama umeachwa inabidi ukae cool na ujibu maswali as a matured person, there is always a next time.
 
mtazamo wako huo fuvck fake nigger
[/
Hey Niki’s dick rider..go tell your fag he ain’t shit.not as dope As he think he is and he’ll never be.settle with that or just go kiss his di*k as u always do for a living.
 
Nikki mbishi ni mtu mshenzi sana kuwahi kutokea..
Jamaa hanaga rafiki... leo anaweza kutukana mtu mkamchekea kesho anakugeukia wewe unayemchekea.
Tatizo lake kubwa yeye huwa yuko right siku zote..
Kagombama na clouds ,kagombana na weusi , kagombana na rafiki yake kipenzi wakazi
Hahaha juzi nilikua nachek interview ya wakazi alikua anahojiwa kuhusu bifu lake na nikki.

Kiukweli nikki ni mtu mwenye paniki ya karibu sana, halafu hapendi kuficha ficha vitu. Hua anapenda kumchana mtu ukweli ila hatumii ustaarabu anapomchana mtu

Nikki alishawahi kuzinguana na godzilla, songa na godzila pia alikua ana bifu na wakazi lakini baada ya muda tu mabifu yakaisha

Kwaiyo hata hili bifu ni la muda tu
 
Joh makini kwa nick mbishi wapi na wapi anambebaji eti? Usichanganye mambo.
mwambie kwanza aache kubebwa na ndugu yake joh makini,,
Asimame yy kama yy tumuone pumzi yake kama atachukua raundi,
 
Tukiachana na ubishi wa Nikki,kiukweli wasafi festival mwaka huu haina mvuto,Nahis mwaka jana tamasha lilileta mvuto kutokana na uwepo wa fiesta.
 
Tukiachana na ubishi wa Nikki,kiukweli wasafi festival mwaka huu haina mvuto,Nahis mwaka jana tamasha lilileta mvuto kutokana na uwepo wa fiesta.
Unavyosema haina mvuto unapimaje? Hadi Sasa wanasponsors 7 Tena wote wakubwa wanna pepsi.tarcaids,Vodacom, Tanzania airways,gsm hall na nyingine nimeisahau na juzi serikali imeingia ubia na wasafi festival kutangaza utalii wa ndani ukiachana na happy ndio tamasha linalojaza watu wengi kila mkoa wanaoenda ukiachana na hapo hii tamasha limeweka record ya kutazamwa YouTube na watu laki 9 live kuliko matamasha yote yaliyofanyika Tanzania na hapo atujaza zungumzia waliotazama kwenye tv moja kwa moja ukiachana na hapo ndo tamasha ambalo linamapokezi makubwa tumeona dodoma,muleba na Tabora mitaa imefungwa kwaajili ya kuwapokea wasanii wa wasafi festival watu wengi wanajitokeza kuwapokea lakini pia tumeona tumeona sound check wanaofanya wasanii pia pia imekuwa mashabiki wengi wakujitokeza kwa wingi utazani show ndo imeanza je uku ndo kukosa mvuto?
 
Unavyosema haina mvuto unapimaje? Hadi Sasa wanasponsors 7 Tena wote wakubwa wanna pepsi.tarcaids,Vodacom, Tanzania airways,gsm hall na nyingine nimeisahau na juzi serikali imeingia ubia na wasafi festival kutangaza utalii wa ndani ukiachana na happy ndio tamasha linalojaza watu wengi kila mkoa wanaoenda ukiachana na hapo hii tamasha limeweka record ya kutazamwa YouTube na watu laki 9 live kuliko matamasha yote yaliyofanyika Tanzania na hapo atujaza zungumzia waliotazama kwenye tv moja kwa moja ukiachana na hapo ndo tamasha ambalo linamapokezi makubwa tumeona dodoma,muleba na Tabora mitaa imefungwa kwaajili ya kuwapokea wasanii wa wasafi festival watu wengi wanajitokeza kuwapokea lakini pia tumeona tumeona sound check wanaofanya wasanii pia pia imekuwa mashabiki wengi wakujitokeza kwa wingi utazani show ndo imeanza je uku ndo kukosa mvuto?
Magazeti yako me huwa sisomi.
 
WASAFI wamewaona Nikki Mbishi na wana Lunduno wenzake hawana impact, kazi kujisifia tu ila jukwaani hamna kitu. Nakumbuka mwaka jana show zao zilikuwa zinapoa sana, wanazidiwa hata na Young Killer, walikuwa wanachana watu wanawaangalia tu hamna amshaamsha
 
Nikki mbishi ni mtu mshenzi sana kuwahi kutokea..
Jamaa hanaga rafiki... leo anaweza kutukana mtu mkamchekea kesho anakugeukia wewe unayemchekea.
Tatizo lake kubwa yeye huwa yuko right siku zote..
Kagombama na clouds ,kagombana na weusi , kagombana na rafiki yake kipenzi wakazi
Aliwah kumdis Godzilla kua ni shoga "kipa katoka". Baada ya kumzika zilla akaanza kupost insta viclip vyake eti amemmis... Ilibid nimkumbushe matusi yake nikaishiwa kuwa blocked. The guy is very talented Ila ujuaji mwingi utamponza
 
Back
Top Bottom