Niki Mbishi:Tamasha la wasafi la mwaka huu halina mvuto wala msisimko kabisa huu ni ukweli.

Kuna ukweli ndani yake

Kama fiesta tu
 
0


[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ingekuwa sumu mapema tungebadili jina
,nilienda chooni kukojoa kumbe ni kaunta,aisee mabaunsa walitaka kuondoka nafsi,
 
mwambie kwanza aache kubebwa na ndugu yake joh makini,,
Asimame yy kama yy tumuone pumzi yake kama atachukua raundi,
Bro umechanganya watu Niki wa pili ndio ndugu wa Joh ila Niki mbishi hawana undugu kabisa
 
mtazamo wako huo fuvck fake nigger
 
Angekuwepo kwenye list ya wanamuziki watakaoimba asingeyaongea haya
[emoji23] na wewe upo humu unaijua lakini sifa ya wana hip hop ?

hatuogagi na pia hatunuki[emoji23]
 
Wakazi ni mnafiki haiwezekani muitwe show moja alafu uwe dalali wa mwenzio kuwa analipwa bei gani huo ni udada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…