Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Hahahahaha...apanik nani...ain't wasting no Shit hapa..hoja ya nini mie nshamaliza...hayo mengine yako..
U can take it or leave it.......
Next time choose ya words careful.., hujamaliza hoja umeishiwa hoja ukashindwa ku stick kwenye mada ukaanza kukimbilia kufananishwa wakati hakuna aliefika huko.
Hahaha hiki ni kituko you sound as if nilikua nakulilia kua umenifananisha...and who the ---- are you kunipangia cha kuandika...hahahah eti next time I choose my words careful ushakua mwalimu wangu tena hahahah..sijaishiwa hoja mama ila ndo nimeamka sina mood za kuargue especially with any random bitch hapa jf.niko busy na mengine...relax boo...nshasahau hata hio main topic unless una personal issues ila nshamalizana na huyo bibi mwingine hapo juu so na wewe hatuna haja ya muendelezo..pita kule nipite huku..cheers pia
Ulikandia essay we umeandika gazeti...
Personal issue... sikujui hunijui nakuaje na personal issues na wewe??? hahaaaa kwaheri AM DONE.
Eti bandugu, hiyo kozi aliyosoma jamaa ina ma.titi kwan? Mbona inaitwa ya kike?
Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
yaani mi hata siwaelewi
yaani wanamponda mtu anasoma
mi mtu mwenye kupenda shule namuadmire hasa mwanamuziki
Si alisema hataki kuajiriwa?
... mtu akiwa hajasoma maneno akisoma maneno...
Keep on going Nikki,.......
Hongera zake......ila nakasirika sana wanaume kukimbilia course kama hizo wakati sisi mabinti tunakomaa na International Finance(IF), Corporate Finance(CA),Auditing,na mengineyo.
Njoon huku tupambane.....
Jamani elimu nayo ni passion ya mtu .. utaweza mlazimisha mtu asome udaktari kisa madaktari wachache hata kama hawezi au hapendi ok wengine waendelee na MBA.. so far TZ tangu uhuru mpaka sasa hatuna tegistered auditor hata 8,000 kule NBAA sasa sijui wengine wanapenda sifa tu kujifanya wasomi wa vitu vigumu wakati hata CPA zinawashinda..
By extension, wenye degree na equivalent kwenda mbele, kwa hesabu yangu isiyo rasmi hawazidi milioni 2. Ktk nchi ya watu milioni 45!!
Then mtu mzima GT anapata guts kudhihaki PhD ya mwingine. Mi huwa kuna vitu sivielewi. Mtu afanye lipi liwe jema?
Usirudie kumfananisha Niki na Nyerere. Nyerere elimu imemsaidia, niki elimu haijamsaidia mpaka leo ndio maana anaangaika angaika.
Hivi Nyerere akitafuta maisha hakuhangaika? Ni kweli wote mmeamua kujitoa udahamu ili murad mnamponda Nw2? Aibu na iwe juu yenu!
Sasa hiyo development studies iko applicable wapi wewe? kubali ukatae kozi zingine ni za kike tu Sociology wadada kibao wamejaa, vitu vingine kusomea ni complete wastage of time tuu
Nafanyia application mahakamani nikiwa nimetinga suti..pembeni nimepaki Fortuner...yenye 22 inches rim...black tinted windows with custom leather seat...whatchu say...??
Smh.. unadharau wanaosomea ECDE kisa wanafundusha chekechea... no wonder kesho utaponda elimu ya bongo mbovu kwa kuzoea watoto wenu wafundishwe na form four failures maana ndio mnaona wana hadhi ya kufundisha watoto...
Mnafikra mgando badilikeni
Wacha tupige hela tu hiyo shule ipo tuu haiendi popote...suti ndo kuonesha jezi tunazopiga..tukiwa mzigoni...sasa nisiijue DS kwani sijaisoma? kibongo bongo Development Studies hamna kitu yani mara mia ingekua mbele kweli tungekubali
I love you for this insight. Umenifungua jambo la msingi sana. Hivi atapeleka mwanae chekechea gani huyu? Watu bwana.......
Haaaaaaaaa....sijaongelea chekechea wala sina dharau na kazi ya mtu..ila sociology ni kozi ya wadada period!!!nimemaliza