Niki wa Pili arudi shule kusomea PHD

Niki wa Pili arudi shule kusomea PHD

Acha dharau kwa hiyo wadada wote waliosoma Sociology hawajielewi wanataka nini??????

if the course is not applicable wangeshaitoa siku nyingi... imagine somebody ambae amesoma three years then she come across your comment.....

Ni uvivu huo...watu kibao wanagraduate hio kozi na bado wanasota kupata kazi then bado tu utasikia wengine wanaenda kusoma kozi hiohio,,hahaha amakweli umaskini tunautaka kwa nguvu....nawapa pole watakaopita hapo na kukwazika ila ndo nilishasema na neno langu wala si sheria waendelee kusoma tu hizo kozi meanwhile wajanja wachache wazidi kujipiga hela huko kwenye kozi wanazohisi ni ngumu
 
Hahaha wewe na alielike hio quote yako mnanishangaza...sociology ni kozi ya kike hio ndo ilikua point yangu na wala sikufika huko kwa kudharau mengine...your point ilikuwa hata mimi mwanamke nakubali sociology no kozi ya kike...yes narudia tena ni ya kike na huo ndo mtazamo wangu period...acha utoto nadhani mimi na wewe tunajua wote hapa tunafikiri kabla ya kuandika..wacha kujifanya unachoandika wewe ndo umekaa ukafikiri sana....sina dharau na naheshimu kazi za watu but sociology ni kozi ya kike hilo halipingiki...kama umesoma sociology poa tu kwani napungukiwa nini?

WORDS!........ Ila ya Nikki inakukata maini?
 
Ni uvivu huo...watu kibao wanagraduate hio kozi na bado wanasota kupata kazi then bado tu utasikia wengine wanaenda kusoma kozi hiohio,,hahaha amakweli umaskini tunautaka kwa nguvu....nawapa pole watakaopita hapo na kukwazika ila ndo nilishasema na neno langu wala si sheria waendelee kusoma tu hizo kozi meanwhile wajanja wachache wazidi kujipiga hela huko kwenye kozi wanazohisi ni ngumu

Kama si sheria then usitake kuaminisha watu kua waliosoma hivyo ni wasiojielewa au we rudia comment yako then uone kama umewatendea haki hao ambao wamesoma hiyo kozi........

Hao walioweka hiyo kozi hawakuona uvivu wewe ndio ue kuona ni uvivu... by the way unanikumbusha some years back ambao watu walikua wanaona HKL sijui HGL sio kozi wakati at the end of the day life is how you make it

Speaking of ajira... kuna watu wamesoma sheria wako mtaani wanahaha no ajira kitaa... Ajira zimekua ngumu despite ya wewe umesoma nini bora hata ualimu ambae ukimaliza unajua utapangiwa shule hata kama ni Katavi lakin una uhakika wa ajira mwisho wa siku.

Tusipende kudharau vitu hata kama unaona hivyo ulitakiwa ujue namna ya kupresent hoja yako sio kusema wadada waliosoma SOCIOLOGY hawajielewi wanataka nini...
 
Tatizo lako unataka nijibu utakavyo wew...Bibi wee tusichoshane..wewe ukiwa mwalimu mie nikawa rubani kuna tofauti..usinipigie kelele...sociology kazi ya kike hutaki basi msomeshe mwanao uone atakavyosota kutafuta kazi...kuna kozi ukimaliza huna hata stress za kazi...na huyo nikki anaongeza hadi PhD kwasababu foundation yake ni mbovu kwani uongo

Hahhhaaaaaaaaaaaaaa nicheke nipate afya miyeeeeeee
Kazi siku hizi bongo sio umesomea nini ni unamjua nani. Rushwaaaaaaaa. Shikamoo Tziiiiiiii
 
Kama si sheria then usitake kuaminisha watu kua waliosoma hivyo ni wasiojielewa au we rudia comment yako then uone kama umewatendea haki hao ambao wamesoma hiyo kozi........

Hao walioweka hiyo kozi hawakuona uvivu wewe ndio ue kuona ni uvivu... by the way unanikumbusha some years back ambao watu walikua wanaona HKL sijui HGL sio kozi wakati at the end of the day life is how you make it

Speaking of ajira... kuna watu wamesoma sheria wako mtaani wanahaha no ajira kitaa... Ajira zimekua ngumu despite ya wewe umesoma nini bora hata ualimu ambae ukimaliza unajua utapangiwa shule hata kama ni Katavi lakin una uhakika wa ajira mwisho wa siku.

Tusipende kudharau vitu hata kama unaona hivyo ulitakiwa ujue namna ya kupresent hoja yako sio kusema wadada waliosoma SOCIOLOGY hawajielewi wanataka nini...

Nijuavyo mimi wanasheria wengi wamesoma HKL na HGL
Maana vigezo ni pamoja na kuwa umefaulu vizuri kiingereza na historia..... Halafu mtu anajinadi anavaa suti... Huko mashuleni wako wapondaji pia huita masomo ya kike halafu hayo ya kiume yanawamwaga na kujikuta wakimbilia sheria.... Eti COMBI imekataa...... Under my foot... Jipangeni sawasawa
 
Hahhhaaaaaaaaaaaaaa nicheke nipate afya miyeeeeeee
Kazi siku hizi bongo sio umesomea nini ni unamjua nani. Rushwaaaaaaaa. Shikamoo Tziiiiiiii

Hahahah umeonaaaaa...sasa hizo sociology mpaka connection.na mtoto wa mkulima itakuaje..???hahaha rubani wala daktari haitaji hizo connection...sociology kozi ya kike mtoto wa kiume kama nikki kasoma za zinin??kanisa njema mama
 
Kuna hii Tabia ya watu kukosoa kila kitu. Hiyo ni dalili ya mtu kuwa mchawi. Tumpe Hongera zake kijana. It's true anafanya Ph.D na first and second degree zote kafanya kihalali UDSM. Acheni wivu usio wa maana. Mtaishia kuwa wachawi na kuloga watu wenye maendeleo kwa roho zenu mbaya.
 
Kama si sheria then usitake kuaminisha watu kua waliosoma hivyo ni wasiojielewa au we rudia comment yako then uone kama umewatendea haki hao ambao wamesoma hiyo kozi........

Hao walioweka hiyo kozi hawakuona uvivu wewe ndio ue kuona ni uvivu... by the way unanikumbusha some years back ambao watu walikua wanaona HKL sijui HGL sio kozi wakati at the end of the day life is how you make it

Speaking of ajira... kuna watu wamesoma sheria wako mtaani wanahaha no ajira kitaa... Ajira zimekua ngumu despite ya wewe umesoma nini bora hata ualimu ambae ukimaliza unajua utapangiwa shule hata kama ni Katavi lakin una uhakika wa ajira mwisho wa siku.

Tusipende kudharau vitu hata kama unaona hivyo ulitakiwa ujue namna ya kupresent hoja yako sio kusema wadada waliosoma SOCIOLOGY hawajielewi wanataka nini...

Let me be very clear ili usipate shida ya kuandika essay nyingine ndefu...siwezi kujifananisha mimi na aliesoma sociology period!excuse my ego
 
Hahahah umeonaaaaa...sasa hizo sociology mpaka connection.na mtoto wa mkulima itakuaje..???hahaha rubani wala daktari haitaji hizo connection...sociology kozi ya kike mtoto wa kiume kama nikki kasoma za zinin??kanisa njema mama

Connection ni kwa chochote unachosomea sio sociology pekee, thats why hata hao lawyers bado wengine wanasota mtaani
 
Let me be very clear ili usipate shida ya kuandika essay nyingine ndefu...siwezi kujifananisha mimi na aliesoma sociology period!excuse my ego

Iwe fupi iwe ndefu message sent and delivered....

Hakuna aliekufananisha wala atakaekufananisha otherwise unless nakuona kama mtu uliepaniki.. umeshindwa kuja na hoja. Got nothing to do with your EGO.

Cheers.
 
Kuna hii Tabia ya watu kukosoa kila kitu. Hiyo ni dalili ya mtu kuwa mchawi. Tumpe Hongera zake kijana. It's true anafanya Ph.D na first and second degree zote kafanya kihalali UDSM. Acheni wivu usio wa maana. Mtaishia kuwa wachawi na kuloga watu wenye maendeleo kwa roho zenu mbaya.

Mchawi sio lazima akuroge....

Mwisho wa siku we should learn to appreciate.
 
Nijuavyo mimi wanasheria wengi wamesoma HKL na HGL
Maana vigezo ni pamoja na kuwa umefaulu vizuri kiingereza na historia..... Halafu mtu anajinadi anavaa suti... Huko mashuleni wako wapondaji pia huita masomo ya kike halafu hayo ya kiume yanawamwaga na kujikuta wakimbilia sheria.... Eti COMBI imekataa...... Under my foot... Jipangeni sawasawa

Hahahahahaha...sio bora kusoma tu..have a vision ya future mwenye akili na ataelewa,ukisoma kozi ya maana degree tu inakutosha...tatizo watanzania wengi wanapenda kufanya vitu partially umaskin lazima ututawale...sasa mpaka PhD ya nini wakati hizo degree zake mbili bado hajazifanyia kazi..inasikitisha
 
Iwe fupi iwe ndefu message sent and delivered....

Hakuna aliekufananisha wala atakaekufananisha otherwise unless nakuona kama mtu uliepaniki.. umeshindwa kuja na hoja. Got nothing to do with your EGO.

Cheers.

Hahahahaha...apanik nani...ain't wasting no Shit hapa..hoja ya nini mie nshamaliza...hayo mengine yako..
 
Eti bandugu, hiyo kozi aliyosoma jamaa ina ma.titi kwan? Mbona inaitwa ya kike?

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
Back
Top Bottom