Kumbe bado hulifahamu...ule ni ushairi data!!!!!!
Akishakuwa na PHD atakuwa anaitwa msanii msomi kuliko wote.
Niki ni mmachinga...anauza tishet zimepigwa mhuri wa Nyeusi.
Baadae utasikia lecturer somewhere wakati hajawahi kukifanyia kazi chochote alichokisomea na dissertation yake utakuta ilikuwa magumashi hapo full magumashi kwa watoto wa TCU. Wengi watoto wa TCU misingi yao ni ya kimulugomulugo ndio tusubirie bomu litakalolipuka.
Its a mavi degree how can u manage development???!!!.... Wakati we mwenyewe hujadevelop anakumanage peter mchomvu... Degree zingine zifutwe tu...
Anaimba hataki ajira wakati yeye analamba viatu vya Ruge.Mimi mtu namkubali ni Ruge yeye haangalii una digrii sijui ushuzi wa masters lazima umlambe viatu. Kama hataki ajira kweli angewaiga waakina Patrick Ngowi wenye digrii zao wanaoingia Forbes lakini hawamlambi mtu viatu zaidi ya mtaji aliopata kwa mama.
we hivo vitu vya kikubwa ulivyosomea ni vipi?
tatizo huyu dogo hajitambui,,
bado anajitafuta. Hajipati.
Ameimba hataki kazi, anataka kuwa boss ili aajiri watu.
Haoni kama anakiuka maneno yake.
He is not yet grown up.
SAD
1.Bachelor yake ni ya nini na alisomea chuo gani na ya miaka mingapi? GPA? 2.Masters alisomea nini na miaka mingapi na chuo gani?
3.Hiyo PHD ya nini na anasomea chuo gani?
Eti sitaki kazi! Pumbaff?
Haelewi hapo anaporekodi verse zake yuko chini ya mtu.
PUUUNNNKKK..!!
bora mimi theology nachunga watu kanisani wanipa sadaka zao kuliko huo upuuzi mnaosomea..hivi hamna hata wazazi ama marafiki wa kuwashauri??
Bachelor(sociology UDSM)
Masters(communty & economic development UDSM)
PhD(" " " i hope ni UDSM)
Kwa hiyo hata hujui nick alikua/anafanya nini na taasisi ipi hadi unaamua kuna na conclusion hiyo? Just Google utapata majibu yote
kwan ukisoma huwez kuwa boss!?
kuna watu hawataki kabisa kusikia nick anasoma phd mara hajafanya kazi mara alishasema hataki kuajiriwa, guys kuweni wapole afanye kile ambacho anaona ni sahihi kwake kama umemaliza bachelor yako ukakimbilia ajira na mkopo wa gari and now its too late kurud shule mana wanao nao wanataka ada kodi nayo ni tatizo vitz nayo inataka mafuta kausha you chose that life usihamishie stress zako kwa watu acha asome hata akimaliza phd akaendelea kuimba its oky for hime he is responsible for his life btw tutakuwa na mwanamuziki mwenye phd is that not enough!?
Thumb up nick
huenda wewe hukuelewa nicky alimaanisha nini ktk mistari yake,
alikua na lengo la kuwapa nguvu vijana wa mtaani ambao elimu haikua bahati yao
wawe na mawazo mapya kwamba hata kama hawana vyeti, bado wangeweza fanikiwa ktk maisha.
., sasa!!
Kuna vijana walisha amini maneno yale.
How come yeye atafute ma p.h mbuzi ambayo hayana hata maana.
Kwanini asingetumia masters yake kuwapanga vijana mtaani kutumia vipaji vyao.??
Umenielewa?
Hhhhaaaaaaaa yaan hivi kwa nini ambao husoma sana hua wanakua na maisha ya kawaida, tofauti na aliesoma kawaida tuu
Una uhakika na unachosema?
Aiseee umenichekesha sana kwa hiyo ndicho anacho tafuta?