Niki wa Pili arudi shule kusomea PHD

alisema hatak kaz...sasa ckujua content...cjui hataki kuajiriwa..au hataki kufanya kaz..yeye nikusomatu...au...kashaajiriwa na ruge kwenye muziki

Ukimsikiliza vizuri katika mashairi yake, anasema hataki kazi ila anataka atengeneze ajira ili atafutwe na wanaotafuta kazi. Kichwani anawaza kuwa mwajiri
 
Bachelor(sociology UDSM)
Masters(communty & economic development UDSM)
PhD(" " " i hope ni UDSM)

Mbwembwe zote hizo kumbe kasoma sociology kama siti mtemvu? Wenzake wamekosa kazi wamehamia kwenye fani ya kuonyesha uchi jukwaani. Mwacheni msomi koko aendelee kuwadanganya wapuuzi.
 

thanks thanks thanks
muacheni asome hata akimlamba nnya ruge
mwenye elimu ana elimu tu
 
Kuna Foundation naye anampenda.

Ishu sio kumpenda mtu, hapa wivu usio na sababu za msingi. Mara eeh PHD yenyewe haina deal, ni mlamba viat wa Ruge... mara watu wanaosoma sana hawana maendeleo..bla bla kwenda mbele. Asifiwe mtu kwa jambo jema na pia akosolewe kwa baya analofanya. Sasa mtu anaponda tu na hakuna jema.
 

Mfano kama mimi namkubali mistari yake tena nahisi naye ni kizazi cha matriculation kama mimi ila mimi sipendi kugeuza nyeupe kuwa nyekundu (nyeusi nimeogopa nisikukwaze).
 

asante tenaaa
niki somaaaaa
mwenye elimu mwenye elimu
anani inspire niongeze jiwe la pili
hata mi ntaitwa dk soon
hata km phd ya kuzoa taka ya kwako!!
 
Mfano kama mimi namkubali mistari yake tena nahisi naye ni kizazi cha matriculation kama mimi ila mimi sipendi kugeuza nyeupe kuwa nyekundu (nyeusi nimeogopa nisikukwaze).

Hunikwazi mkuu. Hata mimi ni kizazi cha Matriculation. Hata yeye ni binadamu ana mazuri na mabaya yake
 

Mbona unatutukana mkuu.sasa mulugo ashakua waziri so sie tuache kusoma ama nijiunge vipi na chuo bila TCU??so vizuri,mnakera sana
 
Nina uhakika wewe una elimu ya chuo kikuu na unaijua vzr!.waache wajitangaze na sociology zao. Halafu mwanaume? Shame!

Hivi vitu vingine unasomea halafu unaishia kuwa mkunga...

Sociology chuo nlichosoma asilimia 90 walikuwa mabinti.
 
Wivu tu unawasumbua. Mtu hajaja kukuomba Ada na wala humsaidii kwa lolote halafu unapiga majungu tu. Mnajipa stress za bure na mwishowe mnapata BP na Ulcers bure

Wewe ujielewi chalii yangu...yani tumuonee wivu mmachinga wa tishet kisa anataka kuchukua phd ?? mtu wa kunipa stress mimi ni watu kama Patrick Ngowi kina Ali Mufuruku sasa huyo asiyewai ata kufanya consultation leo anitishe mimi na hizi elimu za Prof Bana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…