Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
alisema hatak kaz...sasa ckujua content...cjui hataki kuajiriwa..au hataki kufanya kaz..yeye nikusomatu...au...kashaajiriwa na ruge kwenye muziki
Ukimsikiliza vizuri katika mashairi yake, anasema hataki kazi ila anataka atengeneze ajira ili atafutwe na wanaotafuta kazi. Kichwani anawaza kuwa mwajiri