Niki wa Pili arudi shule kusomea PHD

Niki wa Pili arudi shule kusomea PHD

asante tenaaa
niki somaaaaa
mwenye elimu mwenye elimu
anani inspire niongeze jiwe la pili
hata mi ntaitwa dk soon
hata km phd ya kuzoa taka ya kwako!!


Daah acha kabisa....

I wish you all the best....

Unaweza bahatisha kuokota dhahabu but kamwe huwezi bahatisha shule.....

Msomi na asiyesoma wanatenganisha na mstari Mnene Sana.....

Chezea title ya Dr.?? Hapanaaaa
 
Da mkuu hapo ndio umeongea, hamna kitu kilichokuwa kinachoharibu likizo yangu maridhawa kama Sup haswa kwa masomo yao yasio na kichwa na miguu hilo DS.


Kabla sijakanyaga madarasa ya chuo kikuu nilidharau baadhi ya kozi lakini baada ya kufika na kujionea sikuwahi dharau tena degree ya chuo kikuu kwakuwa hakuna inayopatikana kwa kuokota......

Nikifikiri safari ya elimu ilivyo ngumu siwezi mdharau au kumbeza anayeamua kwenda shule....

Daima thamani ya kwenda shule haitolinganishwa na chochote.
 
Kabla sijakanyaga madarasa ya chuo kikuu nilidharau baadhi ya kozi lakini baada ya kufika na kujionea sikuwahi dharau tena degree ya chuo kikuu kwakuwa hakuna inayopatikana kwa kuokota......

Nikifikiri safari ya elimu ilivyo ngumu siwezi mdharau au kumbeza anayeamua kwenda shule....

Daima thamani ya kwenda shule haitolinganishwa na chochote.

Elimu ni hazina pekee ambayo mzazi atayokurithisha hamna kitu kingine.Mimi sikatai huyo ndugu Niki kuchukua hiyo phd nilitaka afanye kazi angalau mwaka alichokisomea kabla hajaingia huo udaktari wa falsafa.Maana kuna kitu ambacho atakiona kitakachomsaidia hata kwenye huo udaktari pindi atumiapo huo mwaka.
 
Elimu ni hazina pekee ambayo mzazi atayokurithisha hamna kitu kingine.Mimi sikatai huyo ndugu Niki kuchukua hiyo phd nilitaka afanye kazi angalau mwaka alichokisomea kabla hajaingia huo udaktari wa falsafa.Maana kuna kitu ambacho atakiona kitakachomsaidia hata kwenye huo udaktari pindi atumiapo huo mwaka.


Katika maisha kuna msemo unasema " live your life"

Kwa tafsiri sisisi "ishi maisha yako"

Mimi nawewe hatujui anaitaka kwa lipi yaweza kuwa kazi au kwa status tu but yote kwa yote inabaki kuwa ni maisha yake na amechagua kufanya hivyo....

Ila shule itabaki kuwa shule MTU atazunguka atakavyo atafanya yote kujifariji ila kuitwa msomi si kitu lelemama......
 
Katika maisha kuna msemo unasema " live your life"

Kwa tafsiri sisisi "ishi maisha yako"

Mimi nawewe hatujui anaitaka kwa lipi yaweza kuwa kazi au kwa status tu but yote kwa yote inabaki kuwa ni maisha yake na amechagua kufanya hivyo....

Ila shule itabaki kuwa shule MTU atazunguka atakavyo atafanya yote kujifariji ila kuitwa msomi si kitu lelemama......

Inabidi huu mjadala niuachie hapa,natumai bwana Niki ametambua vitu fulani kwenye mjadala huu wetu.Ila tuzungukapo kote elimu itabaki kitu pekee cha urithi chenye thamani.
 
Inabidi huu mjadala niuachie hapa,natumai bwana Niki ametambua vitu fulani kwenye mjadala huu wetu.Ila tuzungukapo kote elimu itabaki kitu pekee cha urithi chenye thamani.


Ahsante....

utajiri Wa Mali unaweza ukawa kwa binadamu...sokwe....tumbiri...mimea......ardhi n.k n.k


Shule ni kitu pekee cha thamani ambacho binadamu Kama kiumbe mwenye akili na ufahamu anacho....

Jsikie fahari kuwa msomi Kama kweli umefika chuo maana safari ya shule si mchezo....

wapaka piko...wafuga kucha...wavaa milegezo....wafuga midomo....washika mic n.k n.k watafanya mbwembwe zote ila kwenye mstari mwekundu ndo mwisho wao dunia ya usomi acha kabisa......

Shule ni thamani kubwa.
 
Mbona unatutukana mkuu.sasa mulugo ashakua waziri so sie tuache kusoma ama nijiunge vipi na chuo bila TCU??so vizuri,mnakera sana

mkuu acha kuwa serious na hawa wanafki.. ww fanya yako kutimiza malengo yako.
 
dah wabongo majunguu! Tatizo hatuna kazi ndo shda hiyo.
 
Masters kasoma UDSM ana MBA....,
nampenda huyu kijana hadi nahisi kuumwa LOL
9b60f8844ec111e381ef125a95a1c163_8.jpg

Hii first degree, sociology.
 
Wengine wanahaso madarasani kuupata udoka lakini akina KIKwete wanajiokotea tu na kulazimisha kuitwa wakati waliopata kwa kuingia madarasani wala hawanaga mzuka wa kuweka hizi title mwanzoni mwa majina yao.
 
Last edited by a moderator:
mkuu acha kuwa serious na hawa wanafki.. ww fanya yako kutimiza malengo yako.

Kwahiyo sisi ni wanafiki kwa kusema kuna udahili wa TCU na kusema kuna divisheni 5.
Amkeni wa Tanzania kwenye rangi nyeupe sema nyeupe na nyeusi sema nyeusi.
Je, wewe ambaye si mnafiki kwa maboresho haya sasa ya elimu ya Tanzania(rejea Tangazo kuna aina ngapi za mwangwi kama nipo sahihi) kuna zao litakuwa bora kwenye soko la ajira la Afrika Mashariki?
 
Mungu akubariki mwalimu.


chezea kuruka vigingi vya sapu wewe?? chezea assignments na UE wewe??

Labda Kama hujui ladha ya kuitwa msomi.......

hawajui niki anaimpress vp vijana wetu wasome
mi mtu anaependa kusom namkubali sana
hapa watu si kuna wasanii wanawaponda kisaa hawana elimu
big up niki wa pili
binadsmu tumeumbiwa mapungufu
acha wengine wakuponde wengine tukusifie
 
Daah acha kabisa....

I wish you all the best....

Unaweza bahatisha kuokota dhahabu but kamwe huwezi bahatisha shule.....

Msomi na asiyesoma wanatenganisha na mstari Mnene Sana.....

Chezea title ya Dr.?? Hapanaaaa

thnx mi bwana target zangu ni kuwa dk
before 35 years napenda sana
nlipokua o level baba angu alitaka niwe dk by professional necta physics ikantenda nkapiga
ila kwa kua mwl ntaitwa tu dk kwa uwezo wa MUNGU
 
Elimu ni hazina pekee ambayo mzazi atayokurithisha hamna kitu kingine.Mimi sikatai huyo ndugu Niki kuchukua hiyo phd nilitaka afanye kazi angalau mwaka alichokisomea kabla hajaingia huo udaktari wa falsafa.Maana kuna kitu ambacho atakiona kitakachomsaidia hata kwenye huo udaktari pindi atumiapo huo mwaka.
Si nilikupa homework utafute alichokua anafanya mchizi kupitia taasisi yake,kumbe bado na unakomaa tu eti angefanya kazi hata mwaka mmoja? Hebu ingia bongo five usome ,usiwe mvivu kaka
 
Back
Top Bottom