TIKO TRICKS
Senior Member
- Jan 2, 2014
- 185
- 90
kwani si yeye na nyie kasomeni basi kama ni rahic kama mnavyovikiria
Hizo vitu kabla sijaingia chuo niliwapima familia na ndugu kuwa nataka nikasome hizo elimu rahisi za viroba vya konyagi...ni kaambiwa na familia r u a gay??? Sa ukimaliza chuo utagawa nn upate kazi??... Si bora ukasome muziki labda utapiga kinanda japo kanisani ama utampigia majani gitaa!
Siwezi kumsifu mwanaume mwenzangu alosoma hizo vitu..