Nikiacha Muziki nataka kuwa Waziri-Diamond

Nikiacha Muziki nataka kuwa Waziri-Diamond

teh heh he! kumbe ule uropokaji wa nape, ndio umepelekea diamondo kujilinganisha nae! nape kapewa kama shukrani tu!
 
Kaona uwezo wa waziri aliyesasa na wake sawa tu big up nasibu yes you can!
 
ni ndoto kubwa na nzuri lakini ina changamoto na vigingi vingi sana kwa upande wake...akiamua kuacha mziki ni bora abaki kuwa mshauri tu mambo ya mziki,na aendelee kupika vipaji vichanga ktk taasisi yake ya WCB.
 
Ukitaka thread yako iwe na wachangiaji wengi, we andika chochote tu kuhusu huyu Diamond. Yaani we andika kichwa cha habari tu,"Diamond kasema hapendi kula matango". Utaona watu wanaanza kutoa mapovu kabla hawajasoma habari yenyewe.
 
Ukitaka thread yako iwe na wachangiaji wengi, we andika chochote tu kuhusu huyu Diamond. Yaani we andika kichwa cha habari tu,"Diamond kasema hapendi kula matango". Utaona watu wanaanza kutoa mapovu kabla hawajasoma habari yenyewe.
Ni kweli mkuu endapo utapost udaku.Mi binafsi sijawahi kumpost Diamond pasi na Ushaiidi fwatilia Thread zangu hapa celebrities. Ila pole kamaimekutachi.
 
Mimi nataka kuwa mchepuko wa waziri hapo baadae...
 
Hayo yaliishia enzi ya JK hapa msahau 2020 sifa zinabadilika na mbunge atakuwa mtu aliyeamua kutumikia umma tu
 
Acheni kumbeza Diamond. Kanye West tu alisema anataka kuwa raisi wa USA, Diamond kutaka uwaziri ndio mnamwona limbukeni.
 
Better to hv vision.....ila mond daaaaa ngumu kumeza hiii....
 
Ninachoipendea nchi yangu ni kwamba kila kitu kinawezeka ili mradi usiache kwenda kusalimiasalimia lumumba pale.
 
Kuna mwingine alihoji, nani mkali kati ya Diamond na Chris Brown.
 
Disneyland day dream..hahaha.,that's not video shooting bro!where you just choose the location..the issue your dreaming about is bigger and so complicated that the decider is not you!pole!
 
Diamond Platnumz amesema akiachana na Muziki anataka kuwa Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo ili kuweka vitu sawa na kutoa fursa zaidi kwa vijana.

Akizungumza katika kipindi cha Papaso cha TBC FM,Diamond alisema kama akiingia kwenye Siasa basi nia yake ni kuwa Waziri wa Michezo.

"Kwa sasa hivi siasa bado ila nikiingia kwenye Siasa baadaye akimaliza mheshimiwa Nape nachukua mimi kile cheo cha Waziri wa Michezo",alisema.

"Kile nakiweza kabisa kwa sababu mimi ukiniambia sijui kuhusu mpira,movie mimi naweza kabisa nikiwa Waziri nikavifanya navikawa na maendeleo.In kitu ambacho naweza siyo nasema kuwa mbunge ila mimi nataka ile siku nimeacha kufanya muziki naingia kwenye Siasa basi.Na kuwa Waziri wa Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo na kuboresha vitu",alisema.

Diamond ambaye hakuweka wazi kwamba ataingia kwenye Siasa kupitia chama gani,mwaka jana katika kampeni za uchaguzi mkuu uliomuingiza rais Magufuli kwenye za CCM na kutengeneza wimbo pamoja na video.
Source.Bongo5.com

Miziziology + Powder = FAME
 
Back
Top Bottom