Nikiangalia marafiki niliohitimu nao primary hadi naomba

Tafuta mke huko chuo!
 
Maisha ni kitu cha ajabu sana kuna mwenzako pia anasema ningejua bora ningesoma. Elimu ni kitu muhimu sana ndugu asikudanganye mtu. Tatizo tunaishi kwenye jamii ambayo haitufanyi kuwa wabunifu na kuacha legacy hivi isack Newton alikuwa tajiri? Shaban Robert alikuwa na pesa? Kikubwa nikuamua hapa duniani nataka niache alama gani. Huko India jamaa alianza kupanda miti kuokoa kijiji chake na ukame na mabadiliko ya hali ya hewa .Leo national geographic society wametambua mchango wake. Tumia elimu yako kuacha alama duniani.
 
pole mkuu!
 
HAMNA UHUSIANO KATI YA UMRI NA MAFANIKIO,..



UKIJUA HATMA YA MAISHA YAKO ILIPO UTAFANIKIWA KIUWEPESI MNO (THO YOU'LL FACE CHALLENGASE IKA HUTAKATA TAMAA KWA HARAKA)

KILE KILICHOPO NDANI YA MOYO WAKO NDICHO IKIFANYIE KAZI",..¡!
JITAFAKARI ZAIDI NA ZAIDI..

KUFELI ELIMU SIO KUFELI MAISHA
KUFAULU ELIMU SIO KUFAULU MAISHA",..¡!

KUFANIKIWA KUMPO KWA MTU MWENYEWE,.. VINGINE NI KUIJUA ZAIDI DUNIA YA SASA INAVYOHITAJI

KUMBUKA **KAZI NA SALA PIA**
 
Kimsingi mleta uzi yupo sahihi,....Wengi walioishia Msingi au Form 4 ndio wenye mafanikio makubwa na wanamiliki vyombo vya kueleweka mijini.
Pia huwatuma wasomi kufanya shughuli mbalimbali kwa malipo kiduchu.
Elimu haina maana kama itashindwa kukutoa kamasi uweze kusonga mbele.
 
usikate tamaa pambana by any means...maisha hayana formula.sio lazima uajiriwe.
 
Angalau vijana tumeaza kujielewa sasa.
Cha kushangaza ambao wana elimu ya chini na yakati ndio wanaomiliki mashule magari biashara kubwa kubwa na wenye elimu ya juu ndio waajiriwaji.
ila ht mm nikiipigia hesabu miaka 2 ya a level, 3 ya chuo na 2 mingine ya kusugua bench kusubir kuajiriwa naona ningeitumia effectively nisingekuwa hapa nilipo leo,,ila famililaii sio kesi ni suala la muda tuu

Tunaomba utuunganishe na babaako tumuombe kazi ili nasi tufanikiwe
 
Reactions: SDG
Umeleeza vizuri sana asante bora nilime hata matunda mbogamboga
 
Umeleeza vizuri sana asante bora nilime hata matunda mbogamboga
 
Asante
 
Yaani we acha tu
 
Yaani we acha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…