Nikiangalia marafiki niliohitimu nao primary hadi naomba

Nikiangalia marafiki niliohitimu nao primary hadi naomba

Siku zote wasomi hawajawi kuwa matajiri ww subili kuajiliwa na kutumwa na hao ulio waacha std 7. "ngumu kumeza".
 
Nliosoma nao shule ya msingi wengi wapo nyumbani wamezalishwa watoto wametulia wanalea...Wa secondary na chuo ndo wananichallenge

Mda wangu wa kufunguliwa milango ya rizki haujafika tuu..!!! Ukifika kila kitu kitakaa sawa.
 
kikubwa ni malendo tuu,sasa ujitathimini wew malengo yako ni yapi na kwanini mpaka sasa upo chuo unasoma? na una mpango wa kupata maendleo kiasi na muda gani? huenda ndicho wenzako kimewafanya kuwa hapo walipo kutimiza ndoto zao.
 
AIsee hayo mambo yanatesa ...unanikumbusha mimi enzi hizo sijaamua kuacha bahasha na kuzifata fursa...Fanya maamuzi magumu...Niliacha vyeti vijijini mimi naenda dar kupambana bil aya vyetu now mambo safi.
 
Kila mja na riziki yake mkuu,inawezekana hata ungeishia hilo darasa la saba bado mpaka leo ungekuwa huna lolote,Mungu ndio hupanga lini na saa ngapi atakupatia,usilaumu,safari bado.shukuru kwa kila jambo kuna wengine hata hiyo elimu hawajaipata.


Maneno ya mkosaji., Mganga njaa
 
Maisha ni kitu cha ajabu sana kuna mwenzako pia anasema ningejua bora ningesoma. Elimu ni kitu muhimu sana ndugu asikudanganye mtu. Tatizo tunaishi kwenye jamii ambayo haitufanyi kuwa wabunifu na kuacha legacy hivi isack Newton alikuwa tajiri? Shaban Robert alikuwa na pesa? Kikubwa nikuamua hapa duniani nataka niache alama gani. Huko India jamaa alianza kupanda miti kuokoa kijiji chake na ukame na mabadiliko ya hali ya hewa .Leo national geographic society wametambua mchango wake. Tumia elimu yako kuacha alama duniani.
Utakula hizo alama
 
Nikiwaangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa, wana magari wameshaoa wana biashara za kueleweka lakini mimi niling'ang'ania kusoma hadi chuo kikuu, ajira sina, chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani, maisha ni kazi kweli kweli.
Pole sana...

Wenzako wamefanya maarifa ya ununuzi wa vyeti na wamenufaika kuwa mabosi wa mkoa mkubwa.

Wengine wakafoji vyeti wametumbuliwa...

Dunia sio mbaya, binadamu ndio wabaya.
 
Nikiwaangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa, wana magari wameshaoa wana biashara za kueleweka lakini mimi niling'ang'ania kusoma hadi chuo kikuu, ajira sina, chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani, maisha ni kazi kweli kweli.
WAIT FOR YOUR TIME ACHA KUGEZA LIFE
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Siku zote wasomi hawajawi kuwa matajiri ww subili kuajiliwa na kutumwa na hao ulio waacha std 7. "ngumu kumeza".
Acha kukatisha tamaa vijana,leta hio mifano ya std 7 ambae ni tajiri nchi hii hapa.
Fuatilia matajiri wa tz uone walivopiga kitabu kuanzia kwa Mengi,bakhresa,dewji etc mpk fobes inawatambua.hao std wana hela za kula tu na familia zao unadai matajiri.unaelewa maana ya utajiri ww?
 
Elimu yako itakua feki itabidi tuihakiki, ukisoma una add value ktk maisha haiwezekani ukawatamani waloishia la 7 lazima kuna kitu hakiko sawa mahali
 
Pengine una laana maana hata usome vyuo vyote duniani kama una laana sahau kufanikiwa
 
Nikiwaangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa, wana magari wameshaoa wana biashara za kueleweka lakini mimi niling'ang'ania kusoma hadi chuo kikuu, ajira sina, chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani, maisha ni kazi kweli kweli.
Umenichekesha sana kijana
 
Back
Top Bottom