Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
[emoji123][emoji123][emoji123].Maisha ni kitu cha ajabu sana kuna mwenzako pia anasema ningejua bora ningesoma. Elimu ni kitu muhimu sana ndugu asikudanganye mtu. Tatizo tunaishi kwenye jamii ambayo haitufanyi kuwa wabunifu na kuacha legacy hivi isack Newton alikuwa tajiri? Shaban Robert alikuwa na pesa? Kikubwa nikuamua hapa duniani nataka niache alama gani. Huko India jamaa alianza kupanda miti kuokoa kijiji chake na ukame na mabadiliko ya hali ya hewa .Leo national geographic society wametambua mchango wake. Tumia elimu yako kuacha alama duniani.