Nikiangalia marafiki niliohitimu nao primary hadi naomba

Nikiangalia marafiki niliohitimu nao primary hadi naomba

Umenikumbusha mbali sana,nakumbuka wakati naanza kazi mwaka 2011 nilikua na rafiki yangu mmoja ambaye yeye alikua na duka LA ....... ambalo lilikua ni Dogo sana kiasi kwamba wakati Mwingine ilinilazimu nimkopeshe mshahara wangu ili aweze kuongeza mataji

Baada ya miaka minne,nikashangaa jamaa amejenga,amenunua gari na anamtaji wa kutosha ambao bidhaa alikua anaagazia moja kwa moja toka. China,wakati huo Mimi bado tuu nasaga lami tena kazini hata cheo sijapata

Kibao kikageuka nikawa sasa Mimi ndo omba omba kwakwe ikifika tu kati kati ya mwezi Mimi hoi madeni kibao hahahaha nikaona isiwe tabu na Mimi mwaka Jana kama Utani tu tena kwa kuomba ushahuri himu humu jf nikajiongeza kudadadeki kazi tupa kule nikafaiti kama unavyojua mwanaume ni mwanaume

Sasa ivi na Mimi kila mwezi China mara mbili nilichogundua kwa maisha haya usipojiongeza hahahaha umekwishaa
Hadi roho inadundadunda[emoji27] [emoji27] [emoji27]
 
Nikiwaangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa, wana magari wameshaoa wana biashara za kueleweka lakini mimi niling'ang'ania kusoma hadi chuo kikuu, ajira sina, chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani, maisha ni kazi kweli kweli.
Mi nahisi swala la mke halina shida we tafuta pesaa kwanza watakujaa wenyewe utaniambia
 
897d14c0b49fd7f1402384c57016a16c.jpg
 
Umenikumbusha mbali sana,nakumbuka wakati naanza kazi mwaka 2011 nilikua na rafiki yangu mmoja ambaye yeye alikua na duka LA ....... ambalo lilikua ni Dogo sana kiasi kwamba wakati Mwingine ilinilazimu nimkopeshe mshahara wangu ili aweze kuongeza mataji

Baada ya miaka minne,nikashangaa jamaa amejenga,amenunua gari na anamtaji wa kutosha ambao bidhaa alikua anaagazia moja kwa moja toka. China,wakati huo Mimi bado tuu nasaga lami tena kazini hata cheo sijapata

Kibao kikageuka nikawa sasa Mimi ndo omba omba kwakwe ikifika tu kati kati ya mwezi Mimi hoi madeni kibao hahahaha nikaona isiwe tabu na Mimi mwaka Jana kama Utani tu tena kwa kuomba ushahuri himu humu jf nikajiongeza kudadadeki kazi tupa kule nikafaiti kama unavyojua mwanaume ni mwanaume

Sasa ivi na Mimi kila mwezi China mara mbili nilichogundua kwa maisha haya usipojiongeza hahahaha umekwishaa
Tupe ujuzi kaka na sisi tupigane
 
Mi mwenyewe sina ndg maana nimetuma uku nipate mawazo
 
Nikiwaangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa, wana magari wameshaoa wana biashara za kueleweka lakini mimi niling'ang'ania kusoma hadi chuo kikuu, ajira sina, chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani, maisha ni kazi kweli kweli.

Ukisemacho ni kweli chukulia kama ni changamoto tuu,Maisha kama Gwaride mkuu........ukiambiwa nyuma geuka wa kwanza anakuwa wa mwisho na wa mwisho anakuwa wa kwanza.
Cha muhimu amini bado una muda wa kurekebisha pale ulipo kosea na kufanikisha ndoto za maisha yako.
 
Mkuu usikate tamaa,na uachane na hayo mawazo ya wengn mbn wana hiki mimi sina yatakupeleka kubaya,coz utatumia kila njia ili upate
 
Ukiishi kwa kusikia miluzi na maneno ya watu utakosa raha ya Maisha bure.
Kila mtu anakimbia kwenye line yake na hatugongani wala hatushindani.
Ishi maisha yako
Wew unalilia kiatu kizuri lkn mwenzio hana hata mguu wa kuvaa kiatu.
Please live your life.
I remember nikiwa chuo jamaa alinicheka kwa vipe naishi hostel sina sub woofer n.k
Yeye akawa amepanga nje.
Nilimwambia sishindani na wew
Sitoshindwa kununua kitanda wala redio, vitu vya kawaida tu.

Hey guy! Amsha akili yako, jiwekee malengo yako na uishi maisha yako, utafurahi sana.
 
Mimi mwenyewe linaniathiri sana psychologically ..wenzangu wote niliowaacha lower levels sasa hivi wapo higher levels kiuchumi
Utaishia kucopy maisha ya watu tu
Be free, acha umbea na Kuwa na wivu na maisha ya rfk zako
Be yourself
Watu wangapi wamefanikiwa?
Au Kwa Sababu wachache Hao ulipata nafasi ya kusoma nao?
Please be You, yourself
 
Ukiishi kwa kusikia miluzi na maneno ya watu utakosa raha ya Maisha bure.
Kila mtu anakimbia kwenye line yake na hatugongani wala hatushindani.
Ishi maisha yako
Wew unalilia kiatu kizuri lkn mwenzio hana hata mguu wa kuvaa kiatu.
Please live your life.
I remember nikiwa chuo jamaa alinicheka kwa vipe naishi hostel sina sub woofer n.k
Yeye akawa amepanga nje.
Nilimwambia sishindani na wew
Sitoshindwa kununua kitanda wala redio, vitu vya kawaida tu.

Hey guy! Amsha akili yako, jiwekee malengo yako na uishi maisha yako, utafurahi sana.
Daa huo ujumbe barikiwa sana ndg sikutegemea ningepata ushauri mzuri kama huu.
 
mama yangu ni mhadhiri hapo udsm.. alituambia ukweli tangu tunasoma sekondari..

hataki mwanae yeyote asome kama yeye kama ana kichwa cha kufanya biashara..

yeye anasomesha mtoto hadi digrii tu zaidi ya hapo atakupa mtaji au kupush biashara yako.

kama unataka master au phd. jisomeshe mwenyewe sababu anasema ni ujinga kupoteza ada za master au phd kisha ukaajiriwe utegemee kuongezwa mshahara..

hataki maisha ya duni kwa kizazi chake kama aliyonayo yeye.. mshahara less than 5m huku ana mavyeti kibaooooo..

aliowapita darasani wengi wao ni matajiri wa kutupa...

yeye kaishia kufundisha watoto udsm tu huku hana financial freedom.
Je, uliwahi kufikiria aliwapita wangapi wanamaisha magumu ya kupindukia?
Mama ako angekuwa mfanyabiashara huenda mngekuwa na maisha magumu au hata asingekutana na baba ako
Yaache maisha yakupange,
Kila mtu ananjia yake ndugu
Kuna watu wameshajaribu biashara Mpk amekata Tamaa!
Fanya kile unachoweza kufanya na jinsi akili yako na mazingira uliyomo vinavyokupeleka.
Usicopy Maisha ya baba, Mama, mjomba, Rafiki ako wa shule n.k
Jiulize Kwa nini wafanya biashara wengi waliofanikiwa wakifa warithi wao hushindwa kuendeleza biashara?
 
Nikiwaangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa, wana magari wameshaoa wana biashara za kueleweka lakini mimi niling'ang'ania kusoma hadi chuo kikuu, ajira sina, chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani, maisha ni kazi kweli kweli.
Tatizo akili yako imekuwa corrupted na kale kamsemo ka "Elimu ndio ufunguo wa maisha"ona sasa wenzako wametafuta funguo nyingine na wanapeta wewe endelea kuutafuta huo ufunguo muda bado unakusubiri.
 
Nikiwaangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa, wana magari wameshaoa wana biashara za kueleweka lakini mimi niling'ang'ania kusoma hadi chuo kikuu, ajira sina, chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani, maisha ni kazi kweli kweli.
Uko sahihi
 
Back
Top Bottom