Msomi unajuta eti umechelewa!Nikiwaangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa, wana magari wameshaoa wana biashara za kueleweka lakini mimi niling'ang'ania kusoma hadi chuo kikuu, ajira sina, chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani, maisha ni kazi kweli kweli.
Daah.. story yako imenisikitisha mnoo...niliwahi wazo hivi hivi ila kilichokuja tokea nilibaki najilaumu kwa nini niliwaza hivi
kifupi jamaa niliye soma nae aliishia diploma akalamba shavu flani la uhasibu, ile narudi mtaani jamaa ana miradi, nyumba 2, gari, .mke kifupi yuko njema. nikikaa nae anawazia kupata m100 aachane na uhasibu aingie kwenye mambo yake.
akaja nunua bajaji mkononi mwa mtu, mwenye nayo anadai iliibiwa na dereva wake kuuawa kauza kila kitu kujiokoa na kesi iyo. now ana hali mbaya mpaka najilaumu kutamani kuwa yeye.
kifupi mambo yatakuwa poa kwa muda wako, utakula mazuri na mabaya yako.
unipe elimu ya nini?Daah.. story yako imenisikitisha mnoo...
Mwanzo nlivyoanza kuisoma, nilijua jamaa alianza na maisha mazuri kukuzidi.. lakin baadae ukamfikia na kumzid.. lakin kumbe we umejiona umefanikiwa baada ya jamaa kurudi chin na kuwa na hali mbaya kukuzidi....
Hapo umefeli mkuu, na ukitaka nikupe elim juu ya hilo... itabd unilipe.
unipe elimu ya nini?
elimu niliyo ipata mtaani imenifanya nisijilinganishe wala kutamani mafanikio ya mtu. sifurahii jamaa kushuka ila imenipa funzo kwamba lolote laweza tokea kwenye maisha.
waweza tamani mazuri ya mtu kwa sasa ila badae akapata mabaya zaidi
wewe wazo na akili yako umefikiri nafurahia anguko la jamaa siko huko mimi? a
a
elimu yako kaa nayo tu mkuu
maisha ndiyo yako ivo mkuu leo uko chini, kesho utapanda ukiyatizama kwa namna ya kujilinganisha na ulio soma nao, cheza nao utaishia kuumia tuHamna sehem nliyosema unafurahi,
Ila tuu na we umejiona umefanikiwa baada ya jamaa kurud chin na kuanza kuish maisha kama yako....
lakin pia yawezekana ukitazama maisha kwa style hyoo.. inakusaidia kupunguza presha kutoka kwa wenzako waliofanikiwa
Lakin wenzako wanavyoshuka... haimaanishi wewe ndo umepandaa...maisha ndiyo yako ivo mkuu leo uko chini, kesho utapanda ukiyatizama kwa namna ya kujilinganisha na ulio soma nao, cheza nao utaishia kuumia tu
mkuu kila mmoja ana namna yake ya kutafuta mafanikio, kama unazimiani njia zako hata wenzako wakitangulia utawakuta tu kikubwa uzimaLakin wenzako wanavyoshuka... haimaanishi wewe ndo umepandaa...
Hlf maisha bila kujilinganisha na wenzako mlionza mbio pamoja... ni dalili ya kujikatia tamaa... lakin katika maisha.. kuna mda unahitaji kuchungulia wenzako wamefika wapi ili ujue kama spid unayotembea nayo ipo vizur au vp
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ... hapo tunapishana mitazamo tuumkuu kila mmoja ana namna yake ya kutafuta mafanikio, kama unazimiani njia zako hata wenzako wakitangulia utawakuta tu kikubwa uzima
kuna wakati hata ukijilinganisha huwez fika, leo aliyekua na dangote akajilinganishe nae utaishia pata msongo wa mawazo bure
ndo maisha yenyewe hayo, hatuwezi fanana kila kitu ndo maana kuna kuachana kiuchumi[emoji23] [emoji23] [emoji23] ... hapo tunapishana mitazamo tuu
Hujui uzushi wao ambao umeenea hata kwenye uzi huu?
Kweli mkuuEvery body is walking on their time zone mkuu relax uclazmishe vtu and dont compare yourself with them uez jua wamepata wap hizo hela
Ndio bossndo maisha yenyewe hayo, hatuwezi fanana kila kitu ndo maana kuna kuachana kiuchumi
Wasomi mna analyze risk kwa kila fulsa ya kufanikiwa kimaishaExplain please
Kweli mkuuWasomi mna analyze risk kwa kila fulsa ya kufanikiwa kimaisha
Wakati wasiosoma akiona fulsa anaingia kichwa kichwa na anapiga hela
Sasa we na usomi wako endelea kukaa njia panda