Nikienda Sokoni namuungisha mfanyabiashara Mwanaume na kumuacha mfanyabiashara Mwanamke Kwa sababu zifuatazo:

Umeongea vema
 
Lakini uwe unaangalia ,wanawake wengine wanatafutia familia ambazo wanaume wamezikimbia ,so mimi huwa nawaungisha zaidi wakinamama na wanaume ambao ninahisi wanamajukumu au ninaoona wanaheshima na hela yangu haiendi bure.

Pia nikikuta wauzaji wawili sehemu moha huwa nawaungisha wote nusu nusu

Hio ndio kanuni yangu ,mnisahihishe kama nina attitude mbaya
 
Hata ukifa unazikwa na wanaume sio wanawake ,😂😂
Ngoja waje wa 50/50 uambiwe unaleta ubaguzi.
Ni,kweli mkuu na,hata kinafasi ya uumbaji na mgawanyo wa majukumu ya viumbe wote. mwanaume ndio kiumbe pekee aliyepewa vitu vingi na mitihani akawekewa mingi vile vile ,,na wale,wa 50/50 wasichokijua ni,kuwa Pepo na Dunia alipewa kwanza mwanaume.
 
Mm ni me siungishi me wenzangu labda nikose kwa ke.naungisha k cause anaweza ofa kipochi manyoya wan dei.weee me utaofa kisamnvu cha kopo wakati me napenda nyama laini kama mapupu tena yale ya gizani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…